Tetesi: Saidi Yakubu Anahusika kwenye kuficha Pesa za Makamba Dubai na Mauritius

Tetesi: Saidi Yakubu Anahusika kwenye kuficha Pesa za Makamba Dubai na Mauritius

Kama huyo unayemwambia hakujua hadi mtu anaficha hela huko unakotaja..unadhani ni umbumbumbu au kutojali au na yeye anafanya hivyo..jiulize kwanza!
Mkuu uko sahihi, mimi nashangaa wale wanaojihangaisha kumpa taarifa huyo wanaempa, kana kwamba hata ana utashi na dhamira ya kufanya hicho anachoombwa kufanya, baadhi ya watanzania tena wenye akili timamu kama mleta mada sijui wamepigwa upofu! kusoma yawezekana hawajui, je hata picha hawaioni?
 
Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !

Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake

View attachment 3051622

Britanicca
Mkuu JM ameshuhudia Dili nyingi za mama Abdul huko ughaibini
Huenda amempumzisha ili alinde vizuri Dili zake alizopiga
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Hizo ni fedha za Umma; Siyo za hao Wahuni!!

Warudishe pesa zetu
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Nyie ndio kizazi kinachotakiwa kupita ili vile vizazi vyenye kuelewa nini tunataka kama taifa. Mtu kakwapua fedha za serikali unasema "fedha zake halali"? Kizazi chenye mentality kama yako kinatakiwa kiishe kabisa Tanzania.
 
Back
Top Bottom