Tetesi: Saidi Yakubu Anahusika kwenye kuficha Pesa za Makamba Dubai na Mauritius

Tetesi: Saidi Yakubu Anahusika kwenye kuficha Pesa za Makamba Dubai na Mauritius

Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Uhalali wa hizo dili ndio unatakiwa.
 
Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !

Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake

View attachment 3051622

Britanicca
Kaweka pesa zake za Halali nje, au pesa za haramu?

Maana kufungua account nje, peke yake, haliwezi kuwa kosa. Viongozi wengi tu Wana viakaunti nje huko kwa sababu mbali mbali.
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Kwa hiyo wakati anapiga deals hamkujua..mambo mengine ni km majadiliano ya wapumbavu kutaka kupumbaza wengine.
 
Binafsi siwezi shabikia hizi pozy ..maana izo pesa wakichukua hazina msaada wowote kwa mwananchi,
zaidi ni wata jiamishia wao kwenye account zao while waki tumia kodi zetu kuzipata na vyombo vyetu so ni yale yale tu .
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
An advocate trying to legalize crime. Poor Tanzania.
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Mkuu ni wewe huyuu au kuna mtu anatumia account yako yani kiongozi aibe hela za watanzania masikini unasema aachiwe, kisa wengine wanapiga deals??? Pascal mayala mwanasheria.
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
Tatizo lako ni umri
 
Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !

Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake

View attachment 3051622

Britanicca
TISS fuatilieni! Britanicca hajawahi kukosea
 
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.

Leave JM alone
P
bro ujue tunakuheshimu ...!
 
Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !

Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake

View attachment 3051622

Britanicca
Tunaambiwa Hazina imekauka kumbe Kuna majizi yameficha hela nje
 
Wote wapumbavu tu, mleta mada na anaowasikizisha ujinga wake..huyo anayemwambia anajua kabisa alishawahi kulalama pesa za pre-bargain za kina biswalo kufichwa ughaibuni na hakuna hatua zozote zmechukuliwa kuzirudisha au kushughulikia wahusika..anajua, km si ujinga ni nini kuleta jambo hili la makamba hapa..
 
Back
Top Bottom