Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Uhalali wa hizo dili ndio unatakiwa.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Kaweka pesa zake za Halali nje, au pesa za haramu?Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
View attachment 3051622
Britanicca
Sawa Mama January, mimi niseme nini tena wakati anayejua baba wa mtoto ni mama .Hata kama ni uongo huu wako umezidi. Hakuna haja ya DNA kujua kuwa Januari ni mtoto wa Makamba.
Kwa hiyo wakati anapiga deals hamkujua..mambo mengine ni km majadiliano ya wapumbavu kutaka kupumbaza wengine.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
An advocate trying to legalize crime. Poor Tanzania.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Wote majizi tuCCM kuna msafi?
Ni wale wanafiki wanaopenda sema Fulani yule mtoto kasingiziwa ni WA Fulani,wakati wao hawafanani na baba zao na Wala hawajitii tabu kuchunguzaHow mkuu ikiwa mzee wake ni msambaa?
Mkuu ni wewe huyuu au kuna mtu anatumia account yako yani kiongozi aibe hela za watanzania masikini unasema aachiwe, kisa wengine wanapiga deals??? Pascal mayala mwanasheria.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Tatizo lako ni umriMkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Uwe unaelewa hata kwa lazima. Kama unabisha,bisha!Mama yake ni mhaya najua na amesomea ihungo ila baba yake ni msambaa
USSR
TISS fuatilieni! Britanicca hajawahi kukoseaMheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
View attachment 3051622
Britanicca
Ruge 🐼Januari ni Mhaya siyo Msambaa, kama Nape alivyo Mnyakyusa na si Mmakonde
bro ujue tunakuheshimu ...!Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Ni mnyarwanda ,itajulikana tu. Mlifikir cdf anataniaYes yule ni muhaya pure
Tunaambiwa Hazina imekauka kumbe Kuna majizi yameficha hela njeMheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
View attachment 3051622
Britanicca