DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Mkuu uko sahihi, mimi nashangaa wale wanaojihangaisha kumpa taarifa huyo wanaempa, kana kwamba hata ana utashi na dhamira ya kufanya hicho anachoombwa kufanya, baadhi ya watanzania tena wenye akili timamu kama mleta mada sijui wamepigwa upofu! kusoma yawezekana hawajui, je hata picha hawaioni?Kama huyo unayemwambia hakujua hadi mtu anaficha hela huko unakotaja..unadhani ni umbumbumbu au kutojali au na yeye anafanya hivyo..jiulize kwanza!
Mkuu JM ameshuhudia Dili nyingi za mama Abdul huko ughaibiniMheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
View attachment 3051622
Britanicca
Umenena vema.Mkuu JM ameshuhudia Dili nyingi za mama Abdul huko ughaibini
Huenda amempumzisha ili alinde vizuri Dili zake alizopiga
Hizo ni fedha za Umma; Siyo za hao Wahuni!!Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Nyie ndio kizazi kinachotakiwa kupita ili vile vizazi vyenye kuelewa nini tunataka kama taifa. Mtu kakwapua fedha za serikali unasema "fedha zake halali"? Kizazi chenye mentality kama yako kinatakiwa kiishe kabisa Tanzania.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P