Zitto sio yatima hadi achangiwe. basi muongo anaogopa mahakama.au karithi kwa SHIDA BINT SALUM?Sikujua kuwa pesa ya serikali ya Tanzania ni za JK!
kweli mama unaishiwa hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto sio yatima hadi achangiwe. basi muongo anaogopa mahakama.au karithi kwa SHIDA BINT SALUM?Sikujua kuwa pesa ya serikali ya Tanzania ni za JK!
kweli mama unaishiwa hapa!
unataka kuleta tabaka za kidini hapa. mie hunipatie uonesha wapi nimesema kuwa wakristu wote makafiri? endelea na bakuli lako ni maumbile kuomba.ukimaliza hii utaanza ipi?
Matusi kuwa wakristo wote ni makafiri kama ulivyofanya London?
Zitto sio yatima hadi achangiwe. basi muongo anaogopa mahakama.au karithi kwa SHIDA BINT SALUM?
KUBENEA keshatusaidia nini hapa JAMBO FORUMS?
MWANAHALISI lishasaidia nini kuhusu JF?
Whats so special kuhusus Mwana halisi?
KUBENEA mbona hakuisaidia JF zile pesa alizoopewa na LOWASSA?
unataka kuleta tabaka za kidini hapa. mie hunipatie uonesha wapi nimesema kuwa wakristu wote makafiri? endelea na bakuli lako ni maumbile kuomba.
unataka kuleta tabaka za kidini hapa. mie hunipatie uonesha wapi nimesema kuwa wakristu wote makafiri? endelea na bakuli lako ni maumbile kuomba.
Kuandika habari kuhusu Mafisadi peke yake ni mchango mkubwa tena si kwa JF tu ila kwa umma wa watanzania.
Tunawaandishi wangapi kama saed kubenea Tanzania?Tena hilo mwanahalisilenyewe ni shilingi mia 300 sijui hata kama wanapata faida kweli ila ukweli unabaki wao wanafanya kazi kuelimisha watanzania na kuwaaamsha waliolala.
Saed Kubenea akipewa pesa na mafisadi azifanye nini?azipokee azitafune kwani hizo ni zetu sisi wavuja jasho la damu. Azipokee kisha awaandike uozo wao.!!
We Chinga!
Kubenea hakuenda kutibiwa India kwa pesa za JK, JK anapesa?sema ameenda kutibiwa India kwa pesa za walipa kodi! plz edit hiyo post yako uandike kuwa alienda India kwa pesa za walipa kodi!
tafadhali acha matusi, je unataka na sie tukutukane kwa kutufundishia watoto wetu matusi? wanaingia kwa hii forum kwa taarifa yako. Nini hasa mbona mie sikuelewi? Nimesoma matusi hapa lakini wewe kiboko, nimekuvumilia sasa naona uvumilivu unanishinda
Thread under review....
MoD tafadhali na chonde chonde mfungulieni Chinga.
Please.
Nina heshima kubwa kwako,kusema kuwa Mwanakijiji ak.a mwafrika wa kike si muaminifu ni kosa? ungeuliza ushahidi sio kunishambulia tu. nina ushahidi wa utapeli wa huyu Mwafrika wa kike kitendo cha yeye mwanaume kutumia majina ya kike ni utapeli tosha,
huyu alituchangisha maiti ya Tobby huku walikuwa pamoja kwenye biashara zao chafu.
michango ya Ukraine alikula Mwanakijiji acha kupenda kijinga kama zezeta.
Gazeti pekee Tanzania kuandika list ya mafisadi mwaka jana ambapo magazeti mengi yalisita kufanya hivi. Mwanahalisi wamekuwa wakiandika kile ambacho kinasemwa hapa JF ili wale wasio na mtandao wa internet wakipate.
Kubenea ametumia "hizo pesa za Lowasa" kummaliza Lowasa hadi kupelekea mke wa Lowasa kulia bungeni kwa aibu.
Hivi ule uvumi wa kwamba alikuwa anakula pesa kwa mafisadi ili asiwaandike ni kweli?
Pesa alizopewa na Lowasa kama fidia (au pole) ya kumwagiwa tindikali?
Jf na MwanaHalisi - common interest? Kupambana na mafisadi? Au mmoja wao ni mlinzi wa mafisadi? (implying pesa za Lowasa)
wanafikiri watu wajinga humu.Asante sana
uwaulize na ruzuku wanakula wao.Kubenea huyo huyo alipelekwa INDIA kwa pesa za JK. wanafanya biashara bila kuwa na insurance?
wakiumwa mchango. wakifikishwa mahakamani mchango.majambazi haya achana nayo.
Mimi hapa ndio nimeuliza kuhusu hilo swali, sasa mbona tena unageneralise, be specific. Kwani kuuliza ni kosa?
Zitto sio yatima hadi apitishe bakuli la njaa. anyway kazoea kuomba na utapeli ndio maana Dada yetu (Shida) alinyea debe ukonga miezi sita. sheria si mchezo. kumbe kuomba omba ni maumbile ya watu.
Pia ni gazeti ambalo lilka kimya nchi ilipopeleka wanajeshi wetu kule COMORO bila kueleweka kuwa tunalipwa na na nani...in the end hili gazeti lilikaa kimya wakati tunatumia ma bilioni COMORO. Zaidi ya hayo gazeti hili ambalo mtu angetegemea lingekuwa na waa ndishi makini limekuwa kimya kuhusu Utata wa URAIA WA SALVA RWEYEMAMU, ZANZIBAR KUJIUNGA NA OIC ,WANAFUNZI WETU UKRAINE na mengineyo mengi tuu humu Jambo Forums.
Je ni mara ngapi MWANAHALISI LIMEWAPA BIG UP JAMBO FORUMS?
KUBENEA hakutumia pesa kummaliza LOWASSA bali alipomaliza pesa za mwanzo na akaahidiwa kuwa zinaandaliwa fungu la pili ndipo akakasirika kwa nini hakuewa as soon as possible
Kilichomwondoa LOWASA si MWANAHALISI kwani tayari KUBENEA laikuwa kwenye PAYROLL YA LOWASSA bali ni ile ripoti ya MWAKYEMBE ndio iliyomwondoa Lowassa kibaruani
Kama alikula pesa za Lowassa what makes you think alikuwa hali na hao mafisadi wengine?
Hapa kuna watu wanataka kuforce NDOA betweem MWANAHALISI na JAMBO FORUMS hiii mimi siitaki hata kuona kwani sisi kama JF tunatakiwa tuwe independent kama tulivyokuwa siku zote
KUBENEA alipewa pesa kabla ya Tindikali, akatuliza ball for a while ..baadae akalalama kuwa biashara ya Gazeti ni matangazo hivyo akaomba wampe matangazo wakati bado wanaendelea kulishughulikia hilo ..ohoooo KUBENEA akaanza kuwatukana hao wao waliompa pesa hapo awali sasa kabla episode ya Tindikali haijafika walimchomea gari lake kama message ...sasa leo kibao kimegeuga anata hii UN HOLLY ALLIANCE na JF
simuelewi huyu mtu, je kesho akitokea mwtu mwingine akimuoffer mapesa atashindwa kutugeuka huyu?
At most naweza kumfananisha na wale watu wa pale mtaa wa Ohio.
Kubenea ni mtu wao na hili linajulikana sasa nashangaa inawezekana kabisa kuwa hii ni strategy ya kutuyeyusha au kutuletea longo longo.
Kama anashida sana aende kwa Salva ,maana i am 100% mindset zao zinafana fanana.
huu ni wenda wazimu ltuna mengi ya kufanya humu na kama huyu angekuwa anataka ku keep it real angetulipia bill tya server ya miaka 2 ndio walau tungefikiria namna ya kumsaidia. Wee mtu akiumwa serikali inamlipia matibabu India lakini sie wenzetu wakikamatwa toka humu ndani alikuwa kimya
what a leech he is
hatokujibu straight kwa sababu hana jibu