Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Saidia Mwana Halisi Saidia Said Kubenea

Kindly revisit your posts with open mindness...you sounding coercing the JF to follow ur suit......

Ushi


I am not forcing anyone and if so please pass me the evidence. I merely stating my case against what i see as none sense mwanahalisi bowl going around JF. I havent as far as I can remember, asked for the MWANAHALISI to be banned. No one has denied the right of newspapers to print what they like, within the limits of the law. But i object turning JF members into a charity that bails our failed rags like Mwanahalisi
 



Kama kweli KUBENEA anatembea na wake za watu sijui hapa atatetewa vipi hebu imagine ingekuwa wewe ungefanyeje kama ukijua mtu ana fanya mapenzi na mkeo?

One hand kubenea anajiproject kama mpiga vita ufisadi na corruption lakini usiku ukiingia natembea na wake za watu(allegedly)

sasa nyie wana JF mngefanyeje kama ni wake zenu ndio wanafanyiwa hivi na Kubenea?

Wewe umewahi kutembea au kutotembea na mke wa mtu? baadaye utasema nini, kuwa kubenea ana majini?!!!

GT, unajiaibisha mkuu kwenye udaku kama huu!
 
mwanahalisi ni gazeti, na gazeti kazi yake ni kutuhabarisha.
na gazeti linapotuhabarisha uzuri linapata soko zuri.
sasa mwanahalisi labda ukilinganisha na magazeti mengine limetuhabarisha uzuri, lakini NI KAZI YAKE.
kwa nini tulimpe mchango gazeti lililofanya kazi yake?
na pengine limeshitakiwa kwa sababu halijafanya kazi yake vizuri?
 
GT,

Hebu soma posts zako uone kama hii inamdefine nani zaidi kati yangu na wewe!

You assume that because I accused MWANAHALISI of pushing its own editorial line as the expense of accuracy.You seem to equate criticism with pushing one's own personal preferences, and the attempt to force one's own orthodoxy on the object of criticism.
 
Hivi MwanaHalisi/Said Kubenea waliomba msaada au tunataka tu kuwasaidia bila hata kuwauliza? Kwa nini wasingeulizwa badala ya kukurupuka tu? Why JF kusaidia ones personal business?

Wao hawakuomba msaada ila wana JF wanaolipenda hili gazeti wameamua kuchangisha pesa hapa for them. Wewe huna sababu kabisa ya kuchangia mwanahalisi kama hupendi.
 

You assume that because I accused MWANAHALISI of pushing its own editorial line as the expense of accuracy.You seem to equate criticism with pushing one's own personal preferences, and the attempt to force one's own orthodoxy on the object of criticism.

I didnt make any assumptions ab't ya!
It is about who you are and what you do here!
 
sio habari ya kulipenda au kutolipenda.
watu wanapenda kufanya kitu for a cause......
na nafikiri watu wengi wangependa kufahamishwa as to why wachange.
na sio mtu akiuliza kwa nini achange anaambiwa kaa hulipendi usichange
 
Wewe umewahi kutembea au kutotembea na mke wa mtu? baadaye utasema nini, kuwa kubenea ana majini?!!!

GT, unajiaibisha mkuu kwenye udaku kama huu!

That still doesn't stop the initial argument. MWANAHALISI has been preaching about morals to politicians left and right while its editor (KUBENEA) is alleged to be adulterer that it is so much easier to consume junk but the knock on effects to mind and body are so unhealthy and makes for an unhealthy society. Perhaps MWANAHALISI should come with a public health warning, "Reading this paper could severely impair your rational judgement".
 

Mimi nilikuwa naongea na wewe na si Mwafrika wa Kike kwenye issue ya COMORO.Kama si mahala pake kwa nini uliropoka kuwa pesa zilitolewa na Libya au ndio attention seeking?

Aliyeanzisha mambo ya comoro ni wewe mkuu!



Both are bad but Mwanahalisi is by far the most TOXIC! The ideal MWANAHALISI story, intends to leave anyone reading it leave you hating someone or something -sometimes i wonder if this were MWANAHALISI'S a mission statement, and if it was then it shows remarkable consistency.The anger it stirs requires no action, no moral or intellectual effort, but simply confirms existing prejudices. Its victims are judged before they are given a chance to defend themselves and yes i think its a rag that we can do without.

The same way you make judgements about mwanahalisi


Another misguided Patriotism rant.

M

It amazes me that for quite a few people, the Mwanahalisi is their main source of news on the world. Possibly an explanation for why they cant think critically.

The bottomline is this Mwanahalisi rag is a hateful, unconstructive, bigoted paper for hateful, unconstructive, bigoted people.Surely, JF members have better charities to give their money than this little twisted rag under the name of MWANAHALISI

So now you call yourself a critical thinker?



You cant come up with any thing new than quoting the same words i wrote before..this says alot about your journalistic standards. Not saying that RAI et al are better but in my opinion if MWANAHALISI were a car, it would be a VW Beattle, navy blue or green, stuck in the middle lane doing 60, not using mirrors, oblivious to reality while everyone else is forced to undertake/overtake/beep/flash. And of course, completely unable to reverse safely.

A joke: how do you confuse a Mwanahalisi reader?

Tell them KUBENEA (their alleged adulterous journalist) was on LOWASSA'S payroll...

NOw this tells alot about your "critical thinking"
 
Nimefika Katika Office Za Mwanahalisi Hapa Mwananyamala Wanasema Kwamba Hawakuwahi Kuomba Msaada Wala Mchango Toka Kwa Mtu Kikundi Au Dini Yoyote Ile Na Wanashangaa Sana Wanasema Watakja Jf Wenyewe Kuongea Zaidi Kuhusu Jambo Hili Kwa Sasa Hawako Tayari Lakini Wameshangaa Sana Kwanini Wanachangiwa Wakati Hawakuwahi Kuomba Kufanyiwa Hivyo Na Mtu Au Kikundi Au Chama
 

haikatazwi watu kuonyesha emotions lakini pia usisahau kuwa we need to think critically and analytically kabla ya kuanza kubwabwaja kama forums zingine. Leo mimi siwezi kumwita mtu ni FISADI kwa sababu Mwanahalisi limesema eti ni fisadi. Kama hatutokuwa na rule of law then whats the whole point ya kungangania watu wapelekwe mahakamani?


Rule of law unayoisema hapa ni ipi? ya kusaini mkataba wa kifisadi wa richmond?

That said, I still believe Mwanahalisi/Kubenea are in the wrong forum kuomba misaada. You slander people, you get sued. Its taht simple. Halafu you don't have to be a trendy latte-swilling JF member, Masaki living type to hate the Mwanahalisi, do you? It's a much more universal feeling than that - except for the poor brainwashed sheep who buy the damn thing hata kama ni shilingi 300. Lets face it, its just a horrible, paranoid, pessimistic paper.

Mwanahalisi hawajaomba msaada bali memba wa JF wameamua kuwachangia. Wewe unaweza kupeleka mchango wako kwa mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata rostam azizi ili kujenga hiyo "rule of law"

How can people enjoy reading such hatred and anger every day? When did people stop believing that it was healthy to look on the bright side?

The same way they enjoy reading your hatred and anger against mwanahalisi.
 
How do we know if its the truth? where is the evidence to support it? Ever heard rule of law? The only societies that last for a significant time are those that require accountability by a system of law (or traditions that have the effect of law). Such societies expect everyone to meet common standards of behavior or face punishment.


Mwanahalisi has exposed the devilish actions of Rostam Azizi. It is now up to Kikwete and his govt to clear/punish him through the cour system.

Law defines obligations (what is right) and unacceptable behavior (what is wrong) for civilized societies..I believe Tanzania is one of them. Its not up to KUBENEA or MWANAHALISI to decide on our behalf but we do have courts of law to do that by looking at arguments from both sides.

The same law gives our president and his govt an opportunity and "power" to sign contracts with fake and evil companies like richmond.
 
You are insulting JF members intelligence! do you seriously hope you can get away with this without any hard questions from members?

The first post in this thread was rubbish, a giant back slap to remind us all how bloody clever and enlightened we are for being JF members.

PS: And now for the obligatory tedious personal disclaimer. I don't read the Mwanahalisi.

The same way you aint getting away with your rubish!
 
can somebody tell me, mfano mwanahalisi limechangiwa, kila mtu katoa kidogo kidogo, RA akafuta kesi.
zile pesa zitafanywaje?
 

I am not forcing anyone and if so please pass me the evidence. I merely stating my case against what i see as none sense mwanahalisi bowl going around JF. I havent as far as I can remember, asked for the MWANAHALISI to be banned. No one has denied the right of newspapers to print what they like, within the limits of the law. But i object turning JF members into a charity that bails our failed rags like Mwanahalisi

you dont help JF members make their money thus you cant decide on where and how they spend their money.
 
MCHANGO WA NINI???????????????PESA AU MAWAZO? WA KULIPIA MWANASHERIA???SIJAELEWA. KWA VILE TU CHENGE ANAWASHITAKI SASA NDIO MNATAKA MCHANGO?YAANI SASA KILA KITU ITAKUWA MCHANGO? TAFADHALI NIELEWESHENI
 
=mwafrika wa kike;185986]Mwanahalisi has exposed the devilish actions of Rostam Azizi. It is now up to Kikwete and his govt to clear/punish him through the cour system.

You are wrong again, ROSTAM AZIZ is still innocent until proved otherwise by the courts of law beyond reasonable doubt. He has the right or fair trial(if there will be one) in which he can defend himself against accusations. MWANAHALISI as a rag has just gone nuclear by declaring him as corrupt without any sustantive evidence to support them. Thats where my problems with this rag and its editor are.Ohh you talking about punishing...well how can you punish someone without a fair trial?

The same law gives our president and his govt an opportunity and "power" to sign contracts with fake and evil companies like richmond.
Another misguided response from you. Richmond is not a fake company and secondly its not evil...how about directing your inuendos to TZ govt officials who couldnt be arsed to read the small print??
 
Back
Top Bottom