Saido mmoja ni sawa na foward nzima ya Yanga

Saido mmoja ni sawa na foward nzima ya Yanga

Ashura UTI..yule mwingine Ashura cheupe
 

Attachments

  • 5ee8a4e4645546abb69c20636924eb17.jpg
    5ee8a4e4645546abb69c20636924eb17.jpg
    47.7 KB · Views: 1
View attachment 2464160

Uwezo wa Saido hauhitaji uchambuzi mwiiiiiiiingi. Sitaki kujiba kazi ya kuchambua, kama unataka uchambuzi chambua mwenyewe. Mimi nakuwekea sinema tu. Kwa wewe ambaye hukumuona jana basi jionee, maana unaweza kupotoshwa na haters.

Ukiangalia kwa jicho lisilo na husda utakubaliana na mimi kuwa Saido mmoja ni sawa na foward yote ya Yanga.

Ni jambo la afya kuona wachezaji wa Yanga wamekataa kuwa wanafiki, wamesema "Shikamoo Saido". Kuanzia Mayele, Farid, Aucho, Boxer, Sure Boy
Huu usajili ni wa mgunda au bodi???
 
Hivi tukiilinganisha Yanga na simba kwenye hicho kitengo cha ushirikina; nani atatangazwa mshindi saa 2 tu asubuhi?

Tuanzie kwenye lile tukio la kuingia na paka uwanjani kwenye mechi na Platinum, kuwasha moto uwanjani kule Afrika ya Kusini, Gadiel michael kuingia uwanjani saa 4 asubuhi ili kuweka mambo sawa, nk.
Tuje na lile tukio la kumwagia wale waarabu taifa maji ya maiti mkiongozwa na privaldino
 
Huyu mwehu tayari amesahau uzi wake wa kumlinganisha Mayele na Kibu Dennis. Ule uzi utaishi muda mrefu sana.

Kwa sasa, watu wa maktaba wanauchukua na huu pia. Siku sio nyingi, hili kaburi litafukuliwa!
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom