Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Ukijua chanzo cha hizo stress itakuwa rahisi sana kukabiliana nazo zaidi ya kuwaza hayo unayo yawaza kwa sasa hayawezi kukusaidia zaidi utapoteza mda tu
 
Sasa mkuu utafurah na nan mpz huna marafik huna labda ukatege majin fukwe za bahari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Mkuu Nina mpango wa kununua jini sasa hivi,

Nilikuwa na marafiki lkn mwisho wa siku niligundua jambo, sikuona umuhimu tena wa rafiki,

Mpenzi nilikukuwa nae lkn si wajua maisha hayana fomula? Yupo selo, sikukuu nilimtembelea, kesho tena ntaenda kumwona walau nijaribu km ntakuwa sawa,
 
daa! we unasema stress,mim naotaga mandoto ya ngono tu tena na ngonoka na ma xx wangu wote, sema sipitishi week sija kula mzigo nijitese kisa nini bhana.
 
Tatizo unaweza ukawa unatafuta ngono kwa ajili ya kuondoa stress lakini ikakuletea stress maradufu.

Kuna magonjwa, kutumia pesa, mimba usizotarajia na yaweza kukuletea msongo wa kiimani pia kama ni muumini wa imani yoyote mojawapo.
 
Pow mpe salam zetu mwambie jf tunampa hi sana mpelekee na haka kaglasi kangu[emoji481]
Asante,

Hivi haki za binadam wako wapi?

Inamaana mahabusu au mfungwa hana haki ya kupata malavi?

Kwann hawalioni hili,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…