John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
Mie nipo grupu la dam tofaut Uyo Ant tena mgawe [emoji14] [emoji14] [emoji14]Antmagufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nipo grupu la dam tofaut Uyo Ant tena mgawe [emoji14] [emoji14] [emoji14]Antmagufuli
Tunashukuru kwa huu uzimaTumepoteana sana
Inakiwaje aisee
Huyo mwanamke inaonekana hiyo ndiyo huwa mbinu yake ya kupata hela halafu asifanye ngono maana ni wanaume wachache sana wataweza kufanya ngono kwenye mazingira kama hayo....Kwny mazingira salama apo umenikumbusha kitu jamaa aliopoa aga dem alale nae kufika ndan jamaa cha kwanza kakunjwa shat na dem anamwambia nipe changu kwanza jamaa anamwambia c nakupa dem akawa aelewi kamuuliza we ndezi utatoa hutoi ilibid atoe ata kusex hakusex hamu yote ilimuisha hata jogoo hakuwika mpk anaondoka kwny mtanange [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahahahaHuyo mwanamke inaonekana hiyo ndiyo huwa mbinu yake ya kupata hela halafu asifanye ngono maana ni wanaume wachache sana wataweza kufanya ngono kwenye mazingira kama hayo....
Huyo dawa yake akutane na vichaa wenzie,atalambwa na hela anaweza akanyang'anywa vile vile....
Anais jamaa labda kabadil mcmamo wa 0713Unaendelea kutaka kuwasiliana naye ili iweje?
Au unajilaumu ulichoamua siku hiyo?