Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Kimahesabu huo msongo kama unao ndani ya miaka mitatu, basi maanayake awamu hii ndio imesababisha shida zote hizo kuanzia pale ilipo ingia madarakani October 2015.
Inabidi uwe mvumilivu tu hadi huyu Baba amalize awamu yake.
 
Kimahesabu huo msongo kama unao ndani ya miaka mitatu, basi maanayake awamu hii ndio imesababisha shida zote hizo kuanzia pale ilipo ingia madarakani October 2015.
Inabidi uwe mvumilivu tu hadi huyu Baba amalize awamu yake.
shida sio pesa mkuu
 
njia nzuri ya kuondoa msongo wa mawazo, kwanza tambua kinachosababisha msongo, then pata ufumbuzi, mfano kama ni mkeo anakupa stress fukuza nasema Fu-Ku-Za yaan herufi tatu FU-KU-ZA., kama ni hela tafuta hela ziwe nyingi, zingine mbwembwe tu
 
hamna mkuu
Wewe Una miaka 3 hujatomb.ana penda mwanamke mvue chupi tomb.ana mkuu hiyo ni tiba tosha ya msongo wa mawazo,mimi pia nlikuwa kama wewe miaka 2 sijapanua mapaja ila nlipopapa nikawa sawa japo mtu mwenyewe ananiongezea stilesi tu
 
Back
Top Bottom