Below 40
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 884
- 1,739
Niligundua nina hili tatizo toka mwaka 2013 hadi sasa bado inanitafuna slowly.
Nimeshindwa kuishi in present time muda mwingi nawaza yaliyopita na yajayo hata nikijifanya kujisahaulisha na company za washkaji na nini ila nikitulia tu peke yangu balaa linarudi palepale.
Na kama kitu kinawanyima watu usingizi basi ni over thinking unaweza ukajiuliza mtu kwa inakuaje anachelewa kulala na anawahi kuamka ni kutokana na hiyo kitu sometimes unashindwa kulala kabisa.
Ndugu zangu kwa wenye experience na tatizo au kama unajua namna ya kuliepuka tusaidiane maujuzi.
Nimeshindwa kuishi in present time muda mwingi nawaza yaliyopita na yajayo hata nikijifanya kujisahaulisha na company za washkaji na nini ila nikitulia tu peke yangu balaa linarudi palepale.
Na kama kitu kinawanyima watu usingizi basi ni over thinking unaweza ukajiuliza mtu kwa inakuaje anachelewa kulala na anawahi kuamka ni kutokana na hiyo kitu sometimes unashindwa kulala kabisa.
Ndugu zangu kwa wenye experience na tatizo au kama unajua namna ya kuliepuka tusaidiane maujuzi.