Saikolojia ya mwanamke - Fahamu kuhusu mtoto wa kike

Saikolojia ya mwanamke - Fahamu kuhusu mtoto wa kike

Mtu unakaaje na kumchambua au kijadili kiumbe ambacho hakiweki kichwa chake maji ndani ya wiki mbili au zaidi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jokes!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umeona eehhh wengine miez sita haweki maji kweny kichwa
 
Nitakuwa bize kutafuta hela na kuzificha kimya kimya siri yangu simwambii mtu mpaka uzeeni ndiyo nitawaonyesha wanangu mahali nilipozificha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uzee upi unaozungumzia na ukifa ghafla kwa ajali utampa nani wosia au maelekezo
 
Kama ambavyo hatuelewi mwanamke aliongea Nini na shetani pale edeni,

Ndo hivyo hivyo ilivyo vigumu kuelewa ana akilini mwake anawaza Nini.

Mwanamke Ni kiumbe dhaifu ila complex na katili Sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wanawake hatuko hivyo tunawapenda sana wnaume na tunahuruma mno sema shetani tu anaingilia kati
 
Na kina kucha bandia..nywele bandia..kope bandia..rangi ya uso bandia sabab ana makeup ...urefu bandia...kavaa mchuchumio awe mref...lips za mdomo kaweka rang..yaan hawa watu hii tabia sjui ilitoka wap?..sjui ndo nyoka aliwafundisha pale bustanin...halaf mtu anachkua muda wake et kuwaelewa mara sjui kuwa please
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jaman tusipo fanya hivyo situtaitwa wazee hivyo wacha tuendlee kuwavutia kwa sauti fake na maisha fake mtaelewa tu urembo ni nin
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uzee upi unaozungumzia na ukifa ghafla kwa ajali utampa nani wosia au maelekezo
Siwezi kufa kwa ajali naishi porini huku hakuna magari napishana nayo

Kuhusu aina ya uzee, hiyo ni siri yangu
 
Sasa wazungu nywel zao laini na ndefu hawahangaik kusuka. Sisi waafrika tunahangaika kuska na utunzaji wa nywel sifur
Ni upotofu,kuiga iga na kutokuthamini mungu alichokuumbia.

Matokeo ya Ni kujipa tabu Sana na kunuka vichwani
 
Inshort,
[emoji117]Mwanaume wa Mtwara au tanga anampiga mkewe kwa upande KANGA.[emoji12]

WAKATI

[emoji117]Mwanaume wa kagera au Mara anampiga mkewe kwa upande wa PANGA[emoji12]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Siwezi kufa kwa ajali naishi porini huku hakuna magari napishana nayo

Kuhusu aina ya uzee, hiyo ni siri yangu
Jipe moyo ila ajali ni kokote waweza kudhuliwa na viumbe hatar naukapotelea porini hivyo nivyema uwe na mwanasheria wako ili kulinda usalam wa malizako na kusaidiwa wanao wasidhurumiwe Mali na ndugu zako
 
Ni upotofu,kuiga iga na kutokuthamini mungu alichokuumbia.

Matokeo ya Ni kujipa tabu Sana na kunuka vichwani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa ukisema hivyo tukinyoa si tutakimbiwa barabaran vichwa vyetu tunavijua wenyew bora muendelee kuvumilia harufu za nywele hakuna namna
 
Jipe moyo ila ajali ni kokote waweza kudhuliwa na viumbe hatar naukapotelea porini hivyo nivyema uwe na mwanasheria wako ili kulinda usalam wa malizako na kusaidiwa wanao wasidhurumiwe Mali na ndugu zako
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea.

Kama upo bize kuwaza utakufa kwa ajali ni kweli utakufa kwa ajali

Mimi sina wazo la kufa kwa ajali

na ninakushauri uendelee na kazi zingine usipoteze muda kujibizana na mimi
 
Kwani unafikiri ni hayo tuu basi!? Kutuelewa kihivyo bado ni ngumu ndio maana maandiko yanasema "Muishi nao kwa akili"
Kwani lazima tuwaelewee?

Hapa tulipo TU hatuwaelewi lakini maisha yanaenda.
 
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea.

Kama upo bize kuwaza utakufa kwa ajali ni kweli utakufa kwa ajali

Mimi sina wazo la kufa kwa ajali

na ninakushauri uendelee na kazi zingine usipoteze muda kujibizana na mimi
Umeelewek ndugu nawala sikuhitaj majibizano yakukerana hivyo tusameheane kwa yote siku njem
 
Vijana tujikite zaidi katika kutafuta mpunga kuliko kupoteza muda kusoma saikolojia ya mwanamke.
Ukiwa na mzigo mfukoni hawa viumbe utawapanga mpaka utaanza kuwakimbia
Hii Nchi inawatu wa hovyo sana
 
Je wenyewe wanaielewa saikolojia yetu nadhani itakua ngumi sana kutuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom