Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
KKKT ITASIMAMA DAIMA KKKT NI ZAIDI YA MTU wanaotumia Hilo scandal kulichafua kanisa washindwe Na walegee. May God bless KKKT with her all firms . Amen
Yale Yale ya Gwajima.., mbona wanawake vigori ni wengi tu.., nini kujihangaisha na limke la mtu?!
Ngoja na wewe yakukute ukinyang'anywa mke utulie usiinue mdomo wako kupiga mayowe.ishu IPO kupendaMwanahalisi sasa rasmi ni gazeti la UDAKU
Huyo jamaa ni mentally unstable huyu caroline ni mkuu wa idara ya kina mama watoto na jinsia DMP, Waandishi wa habari pia wanatumika kumchafua Askofu na kanisa this guy must be contained otherwise atasababisha usumbufu mkubwa kwa Askofu, na kanisa kwa ujumla/QUOTE]
Huyo jamaa ni mentally unstable sio wa kuaminika, abuser na huyo mama anayesemekana kuchukua ho watoto ni mkuu wa idara ya kina mama jinsia na watoto wa DMP, apuuzwe tu na gazeti lenyewe lipuuzwe.Kuna uwezekano huyo jamaa amenyanyaswa sana mpaka akafikia kuweka mambo hadharani especially pale inakuja kumtuhumu mtu mwenye hadhi ya Malasusa. Hawa ni watu hatari, wanaaminika kwenye jamii, anaweza kukupoteza kweli sababu hakuna mtu ataamini story yako.
Watu kama Malasusa wakiamua wanakufanya maisha yako yawe miserable kabisa sababu wao wanaonekana hawawezi kutenda dhambi Kabisa na pia kanisa haliwezi kukubali kuingia kwenye kashfa za namna hiyo wao watamuadhibu askofu kwa utaratibu wao ila sio public ijue.
Huyu jamaa kama story yake ina ukweli na ana ushahidi basi anahitaji kutumia akili ya hali ya juu kufight hiyo battle maana mke anahakikisha status yake inalindwa na Malasusa nae anafanya hivyo hiyo na kanisa pia linafanya hivyohivyo so ni vita nzito he must be brave and fight bravery!
Nachoweza kusema ni kwamba hawa wanawake tuwaone tu kwenye sketi akiwa mkeo jifunze kuishi nae kwa akili na busara kubwa otherwise wanakuingiza kwenye mambo ya ajabu mwishowe unajikuta umempiga na kumuabuse lazima uwe na akili.
Mwanamke anakukosea na anakufanyia visa, ukiwa na ubongo mwembamba utajikuta umemuabuse, mwanaume lazima ufikirie mara mbili, kwa nini amekukosea? Kwa nini anakujibu hovyo? Lakini kwa nini umpige hata kama anakujibu hovyo na kweli una ushahidi amekukosea? Hapo unamuacha and just move on hata kama mna watoto kumi go and live your life.
Jibu zuri sana, watu wanadhani hawa watu hawawezi kutenda dhambi na ndio maana wengi wamewaamini kuwaacha wakae karibu na wake zao mwishowe wake zao wakatafunwa if not kugegedwa.
They are just ordinary human beings made of flesh and blood. Wamezaliwa kama sisi na watakufa vile vile so be careful with them. Listen to what they preach and let them stay away from your marriage.
Lakini pia ni watu muhimu kwenye jamii sababu wanaleta hofu ya Mungu kidogo wanadamu tunapunguza uovu
Kumbe si wachungaji wanadaiwa.masopakyindi
Monday, 22 September 2014
Watoto sita waliobakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji
Watoto sita wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wamwharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa kuwa ni wachungaji.
Wakiwa katika Hospital ya Mountmeru, Arusha walikipelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya Zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti na wachungaji watatu wa kanisa hilo lililopo eneo la Feed Force, Kwamorombo jijini Arusha. Mmoja wa watoto hao anayesoma darasa la nne aliyeleza kuwa yeye na wenzake walikuwa wakifanyiwa mchezo huo mchafu na wachungaji hao baada ya kuwapatia sh. 2000 za kufunga mdomo.
''Siku moja nilipofika shuleni wenzangu wakaniambia niende kanisani hapo nikapewe hela nilipofika niliwaona wenzangu wakifanyiwa mchezo mchafu na mimi mchungaji aliniambia niiname akanifanyia mchezo huo mchafu na kunipa sh 2000 niliumia sana'' alisema mwanafunzi mmoja.
Mwanafunzi mwingine alisema alikuwa anatoroka shuleni na wenzake na kwenda kwa watumishi ambapo huwaingiza katika kanisa hilo na kujifanya wanawaombea na baadae kuwafanyia mchezo mbaya ''Tukifika wanatufungia ndani na kutuambia tuwanyonye ,baadaye wanatuambia tukusema tu wanatubaka na kutuambia tukisema kwa mtu yoyote watatuchinja na kutuzika ndani ya kanisa lao'' alisema mwanafunzi huyo
Wanafunzi hao walisema watumishi hao wa Mungu huwarubuni kuwa watawasaidia watawasomesha iwampo watakuwa anaenda kwenye kanisa hilo na kuwaingilia. Mzazi mmoja wa watoto hao Julius , mkazi wa Kwamorombo alisema mtoto wake alikuwa akifanyiwa mchezo mbaya baada ya kupatiwa sh 2000.Alisema amegundua hilo baada ya mtoto wake kuchelewa kurudi Nyumbani.
Watoto baadae walihamishiwa katika Hospitali ya Seriani kwa ajili ya vipimo huku taarifa za awali na madaktari wa Hospitali hiyo kuwa Baadhi yao walikuwa na michubuko na kupanuka sehemu za siri hali inayoonyesha kuingiliwa.Watuhumiwa hao wameshikiliwa katika kituo kikuu cha polisi Arusha kwa uchunguzi zaidi na Kamanda wa Polisi Arusha Rebelatus Sabas amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Malasusa anamkeAma kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
KKKT wanaoa si kama wa Katoliki.Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Maaskofu na wachungaji wa kilutheri kama malasusa wanaruhusiwa kuoa. Ni wakatoliki peke yake ambao hawaruhusiwi.Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
..MSETO…
Mbona mwandishi wa habari hii ni mkiristo, kwani mtu kuwa na mke inazuia yy kuwa na mchepuko ? mbona watu wamekiri kuwa na kiongozi wa kidini mkoa iringa ambaye anawala mademu saana, hawa viongozi wa kidini ni binadamu kama wengine kwa hiyo na wawo wana madhaifu
Acha kuyakimbia maandiko yako mwenyewe ambayo hata wino hayajakauka! Ulichosema ni kwamba, hizi ni tuhuma za uzushi zenye lengo la kumchafua Malasusa simply because Saed Kubenea ni Mwislam!!! Yaani kwako wewe hili unahusisha na Uislamu wa Kubenea ingawaje Mwandishi sio Kubenea!! Post yako hii hapa:Nilikuwa namjibu huyu mwenzio aliyeshauri maaskofu waoe. Nadhani hukupaswa kunijibu hivi.
Jisikie aibu!....Hata hivyo nimeshaona kuna chembechembe za udini zinapandikizwa hapa ili kuonyesha dini fulani haifai! Ukichukulia ukweli kuwa mmiliki wa Mwanahalisi anatokea ile "dini ya haki!"
Lutheran wanaoa .ni wakatoliki tu ndo hawaoiAma kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!