Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa


Pole buku 7 kwa kutumika vibaya, ila ukumbuke kunatoa hesabu kwa kila jambo baadaye.
 
Ukitaka kupiga hela kirahisi kwa waafrika, au kupata wanawake wa kiafrika kiurahisi we anzisha tu kanisa!
 
Baki na majini yako yanyokuongoza ambayo hayakuoneshi jinsi ambavyo dini yako inaongoza kwa kuchinja watu.
Mkuu umesahau majini ndo biashara kubwa ya wachungaji wa makanisa hasa makanisa ya kiroho,kila siku ni kutoana tu mapepo, eti miujiza! Ujinga mtupu
 
Kuna kampeni kubwa inayoendelea ya kumchafua Bishop mstaafu Malasusa na KKKT
Nina maswali mengi sana kichwani kuanzia media iliyotumika kulireport hili swala! Mwisho wake utajulikana tu! Ngoja tuone!!!
 
Vipi wale walimu wa madrasa wanaowafukunyua inya wanafunzi wao huko vyuoni kwenu nao ni wachungaji wa kanisa gani?
 
Ukitaka kupiga hela duniani, na kuwazini wake na mabinti wa watu we anzisha tu kanisa Afrika, utaishi kwa raha mustarehe hapa duniani, na kwa heshima zote!
Una akili mfu
 
Mashekhe wanapolawiti watoto wa madarssa usikii na wanapofungisha ndoa za jinsia moja huoni.
 
Mkuu umesahau majini ndo biashara kubwa ya wachungaji wa makanisa hasa makanisa ya kiroho,kila siku ni kutoana tu mapepo, eti miujiza! Ujinga mtupu
Vipi kuhusu uchinjaji wa watu kwa kuwa tu siyo waislamu?
 
Ubarikiwe sana mkuu pukudu kwa kukifafanua vizuri hili suala maana tayari watu wameamua kuingiza siasa
 
Punguza povu lako ambalo tayari limezunguka kwenye kona za midomo yako
 
Ungekuwa na hekima KAMWE usingethubutu kuandika post ya aina hii. Hakuna jambo baya kama mtu kuwa na shule ndogo na kisha kukosa hekima. Mbona ukada wa vyama unawaondolea watu ufahamu?
Asante sana kwa kutema nondo za 16mm
 
Baada ya june jf itaheshimika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…