Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sidhani kama ni jukumu la mwanahalisi kuthibitisha ugoni!! Wao wamereport habari za ugoni toka kwa mhusika "Mwakilima" sasa ni jukumu la askofu kukanusha habari za ugoni au kuzitolea maelezo!! Na si lazima uzinzi ufanyike guest hata ofisini unaweza fanyika..
Kipigo kwa mkewe kinaweza kikawa ni matokeo ya huo uzinzi wa mke refer kitu kinaitwa HEAT OF PASSION after all huyo mgoni alifanya hayo baada ya kukuta ujumbe mfupi wa simu......
Mnazungumzia askofu kudhalilishwa hamuongelei kudhalilushwa kwa ndoa takatifu wala mme wa mchungaji!!
Suala likienda mahakamani nahisi harufu ys fedha hapa , kushabikia tuhuma zisozo na uthibitisho kuna kajinai hapo.
 
hizi dini zingine ni biashara tu
Mbona hata jambo dogo kama hili mnashindwa kulielewa? Hapa ni suala la dini au ni tabia ya mtu inajadiliwa? Hata wewe dini yako ikianza kujadiliwa utasuangazwa na ukweli usioujua. Jadili hoja na wala usiipindue
Kama hujaielewa ni bora zaidi kuiacha kama ilivyo.
 
askofu kanogewa na papuche hahahahaha hapo sadaka za waumini zitatumika kama fimbo ya kumchapia mwanamume
 
Kivipi?? Kwani kamati kuu ya CDM imelitolea tamko?? Acha ufaatani wewe!! Ungekuwa na Hekima ungeuliza kwa nini Mwanahalisi wanaifuatilia KKKT?? Maana kama unakumbuka mwanahalisi bro lilireport Issue ya Askofu Kweka, na issue ya mgogoro wa Dayosisi ya Njombe na iliweka hadi Barua za Mungai..
Mwanahalisi ni gazeti la Kubenea si la chama kama ilivyo TanzaniaDaima ni la Mbowe si la chama kwa hiyo saa nyingine wanaandika their interests sio za chama
Kuna watu ambao upeo wao wa kuelewa hata jambo dogo ni mdogo. Kwa kuwa imeandikwa na Mwanahalisi tayari kwake yeye ni Chadema. Hii ni mijitu iliyokimbia shule. Sasa subiri Juni ifike hizi simu feki zifungwe. Bila shaka post zisizokuwa na umakini zitapungua. Wanadhani kila kitu cha Kubenea ni cha chama. Ovyo kabisa.
 
Mwanahalisi halijathibitisha ugoni wa Malasusa.
Lilete gesti ufuska huo ulipofanyika la sivyo kijigazeti hiki kinatumika kumchafua Malasusa.

Vile vile gazeti haliongelei jinsi Mwakilima alivyo mdhalilisha mke wake ambaye ni mchungaji, kumpiga hadi kupelekwa hospitali.
Kesi hiyo inaendeleaje polisi?
Mwanahalisi wamepigiwa simu juu ya hili hawana majibu na simu haipokekewi!
Ungesoma kwa makini usingeandika ulichoandika.
 
Namashaka Na mwanahalisi kuliandama KKKT walianza Na kweka wakaja Na dayosisi ya njombe sasa naona wanamwandama malasusa Na story za upande mmoja tu wakati wanajua ofisini kwake mke Wa jamaa pia yupo hospitalini pia kituo cha polisi kipo kwa nini wasitafute kaukweli waye na habari za pande zote mbili malasusa ni Kiongozi mkubwa kiimani mwanahalisi acheni kuichafua KKKT
 
.....kama ilivyo ktk isidingo inayoendelea sasa mchungaji anajilia tu...!
 
Ninini kimetokea,nipo nje ya mstari kidogo naombeni mniambie ilikuwaje hadi kufikia askofu kutaka kutorosha watoto wa mtu?
 
Kutoka kuandika habari za ufisadi hadi kuandika habari za udaku
 
Kuna kampeni kubwa inayoendelea ya kumchafua Bishop mstaafu Malasusa na KKKT
Mkuu hii ishu ilianza tangu anaingia kuwa Askofu Mkuu... Nashangaa sana hata gazeti lililo heshimika sana kuandika huu upuuzi
 
Sidhani kama ni jukumu la mwanahalisi kuthibitisha ugoni!! Wao wamereport habari za ugoni toka kwa mhusika "Mwakilima" sasa ni jukumu la askofu kukanusha habari za ugoni au kuzitolea maelezo!! Na si lazima uzinzi ufanyike guest hata ofisini unaweza fanyika..
Kipigo kwa mkewe kinaweza kikawa ni matokeo ya huo uzinzi wa mke refer kitu kinaitwa HEAT OF PASSION after all huyo mgoni alifanya hayo baada ya kukuta ujumbe mfupi wa simu......
Mnazungumzia askofu kudhalilishwa hamuongelei kudhalilushwa kwa ndoa takatifu wala mme wa mchungaji!!
Ndugu ulichoandika umetumia akili yako au umeazima?......Kwahiyo Mwanahalis kazi yao nikuchafua watu tu....sio kuthibitisha
 
sitaki kuongea umbea, lakini kuna taarifa ninazo kwamba, kuna waziri mmoja wa zanzibar marehemu kwa sasa, ameshawahi kuibiwa
 
Ungekuwa na hekima KAMWE usingethubutu kuandika post ya aina hii. Hakuna jambo baya kama mtu kuwa na shule ndogo na kisha kukosa hekima. Mbona ukada wa vyama unawaondolea watu ufahamu?

Pengine wewe una uelewa na hili jambo, sasa tueleze kwa nini issue ya Askofu Malasusa imeshupaliwa na CHADEMA? Kuna nini? Msifanye watu mazezeta kama mlivyofanya na ule uhuni wa kuimba mafisadi miaka 8 halafu mkaishia kula matapishi.
CHADEMA wana ugomvi gani na Askofu Malasusa?
 
Kila uozo wa kijamii kitovu chake ni wachungaji makanisani.

Kuoana jinsia moja wao.
Kulawitiana wao.
Kuharibu watoto wao.
Viungo vya Albino wao.
Uzinzi wao.
Uasherati wao.
Madawa ya kulevya wao.

Na misukule bado wanawafata hao hao eti wawafutie dhambi.

Hakika wajinga ndiyo waliwao.
 
Pengine wewe una uelewa na hili jambo, sasa tueleze kwa nini issue ya Askofu Malasusa imeshupaliwa na CHADEMA? Kuna nini? Msifanye watu mazezeta kama mlivyofanya na ule uhuni wa kuimba mafisadi miaka 8 halafu mkaishia kula matapishi.
CHADEMA wana ugomvi gani na Askofu Malasusa?
Hivi kumbe gazeti Mwanahalisi ninla Chadema. Akili ndogo.
 
Kila uozo wa kijamii kitovu chake ni wachungaji makanisani.

Kuoana jinsia moja wao.
Kulawitiana wao.
Kuharibu watoto wao.
Viungo vya Albino wao.
Uzinzi wao.
Uasherati wao.
Madawa ya kulevya wao.

Na misukule bado wanawafata hao hao eti wawafutie dhambi.

Hakika wajinga ndiyo waliwao.
Baki na majini yako yanyokuongoza ambayo hayakuoneshi jinsi ambavyo dini yako inaongoza kwa kuchinja watu.
 
Back
Top Bottom