Sakata la Bandari: Hayati Magufuli apewe maua yake

Anazimiki China Ina uendeshaji ni private operators..

Ukimuweka mtaalamu ndio utaondoa sense ya Mali ya Umma kuwa shamba la bibi? Aliyekwambia walioko bandarini sio Wataalamu nani?

Urasimu unaondolewa Kwa mtu kuwa mtaalamu? Nimeshakwambia mliweka Wanajeshi,Tisa na mkafanya Hadi ziara za kushtukiza vipi leteni mrejesho Ufanisi uliongezeka?

Private sector ni kiboko ya maujinga ujinga ya Mali ya Umma kuwa Shamba la Bibi.
 

Jinga kutouona ujinga wake ni kipaji cha watanzania wengi tu.

Ndugu, umewakilisha.
 
Madini yote mliouza mmenufaika na lipi wewe juha, kwa akili za kuendea chooni mlizokuwanazo unaamini mtapata maendeleo kwa kuuza na bandari!?
 
hainiingii akilini muwekezaji eti apewe miezi 12 tu !dah hii ni nchi yangu
 
Aliua upinzani na kutengeneza bunge la chama tawala, na sasa haya ndio matunda yake wanafanya wanavyotaka. Bila yeye huenda CCM ingekuwa historia leo hii
 
Aliua upinzani na kutengeneza bunge la chama tawala, na sasa haya ndio matunda yake wanafanya wanavyotaka. Bila yeye huenda CCM ingekuwa historia leo hii
Aliuawaje huo upinzani? Kama wapinzani walishindwa uchaguzi ulitaka wapewe viti bungeni bure bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…