Sakata la Bandari: Hayati Magufuli apewe maua yake

Sakata la Bandari: Hayati Magufuli apewe maua yake

Kwani hiyo clip ameongelea bandari ya Dar?
Hapo alikua anaongelea bandari ya Bagamoyo,

Mleta mada kwani wewe thd yako imelenga kuongelea Bandari gani?
Kama aina ya mikataba inafanana hapo automatically ameizungumzia
 
Huyo mtu wenu alibobea Kwa uongo Ili avute attention ya wajinga kama nyie..

Mbona hamutoneshi namna alivyoongeza mapato via Bandari?

Nadhani ni kichaa tuu na mwenye mentality za kijinga ndio anaweza Pinga kubinafsisha Bandari ambayo yeye binafsi imemshinda Toka uhuru.
Kwanini ibinafsishwe, kama ni swala la utendaji wanaweza kutunga tu Sheria itakayosimamia vema utendaji
 
Ameua

Jiwe ni jini mbwa asiyesafishika. Hqngaika uwezavyo hatosafishika. Ndiyo maana ni mwaka wa pili tu lkn kishasahaulikw na kumbukizi yake ilipuuzwa na serikali.

Hakuna kulienzi shetwani hili
Hawezi kusafishika kwa nyie vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, wapigaji, wanasiasa matapeli,wauza madawa ya kulevya, mashoga ila sisi tutamkumbuka nafsini
 
Maoni na Ushauri wa Wataalam wa Bunge ulikuwa ni huu - Je ulizingatiwa? Ndio ni kweli Bandari yetu ina shida kubwa hasa ya uzembe, kuendeshwa kwa hasara na upigaji - Je swala la kubinafsisha ni lini ilifanyika Mjadala wa Kitaifa watu watoe maoni- Uwekezaji ni mzuri ila ni hatari sana usipopelekwa kwa umakini na uzalendo. Kwanini miaka 100
Wataalam a wa bunge wanasemaje? Kutokana na uchambuzi tuliofanya hapo juu, ni maoni na ushauri wetu kuwa, Bunge lipate ufafanuzi kutoka Serikalini katika maeneo machache yafuatayo:-

19 a. Ibara ya 25 (1) inaeleza kuwa kuna shughuli za awali za mradi (Early Project Activities) zitaanza kufanyika mapema baada ya kusainiwa Mkataba. Shughuli za awali za mradi zitafanyika kabla ya Bunge kuridhia Mkataba na kabla ya Mkataba kuanza kutumika rasmi kwa mabadilishano ya Hati za Uridhiaji kati ya Serikali zote mbili.
Shughuli za awali za mradi zimetafsiriwa katika Ibara ya 1 kuwa ni kufanya upembuzi yakinifu pamoja na kufanya tathmini ya kimazingira na kijamii ya mradi huu (environmental and social due diligence), kujenga barabara za muda kuwezesha kufika eneo la mradi, n.k.
Tunashauri Serikali itoe ufafanuzi katika eneo hili, ambapo shughuli za Mradi zinaanza kabla ya Mkataba kuridhiwa na Bunge.

b. Ibara ya 20 kuhusu usuluhishi wa migogoro kufanyika Afrika Kusini na kwa kutumia Sheria za Usuluhishi za Kamisheni ya Umoja wa Mataifa juu ya Sheria zinazohusika na Biashara za Kimataifa (UNICITRAL Arbitration Rules), ni kinyume na maelekezo ya kifungu cha 11 cha Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na Umiliki wa Rasilimali na Maliasili ya Mwaka 2017 (The Natural Wealth and Resources [Permanent Sovereignty] Act, 2017).
Sheria tajwa inaelekeza kuwa mgogoro wowote unaotokana na matumizi ya rasilimali na maliasili za nchi hautatatuliwa katika mahakama na mabaraza ya nchi za nje, bali utatatuliwa na vyombo vya sheria vya Tanzania na kwa kutumia sheria za Tanzania.
c. Ibara ya 23 (4) kuhusu kusitisha Mkataba, inaeleza bayana kuwa Serikali husika katika Mkataba hazitakuwa na haki ya kuvunja Mkataba (denounce), kujitoa (withdraw from), kuahirisha (suspend) au kusitisha (terminate) Mkataba katika mazingira yoyote, ikiwa ni pamoja na mazingira ya uvunjaji mkubwa wa masharti ya Mkataba huu (material breach), mabadiliko ya msingi katika mazingira ya utekelezaji Mkataba (fundamental change of circumstances), mgogoro mkubwa wa kidiplomasia (severance of diplomatic or consular relations), au sabau zozote zile zinazotambulika katika sheria za kimataifa.
Masharti ya Ibara hii yanatakiwa kufafanuliwa na Serikali.

d. Muda wa utekelezaji Mkataba huu haujawekwa bayana, bali Ibara ya 23 1) inasema kuwa ukomo wa Mkataba huu ni mpaka hapo shughuli za mradi huu zitakapokuwa zimekamilika. Serikali iombwe kutoa ufafanuzi kuhusu jambo hili la ukomo wa Mkataba.

e. Ibara ya 27 inaweka masharti kwamba, pale ambapo Mkataba huu utaanza kutumika rasmi, Serikali yeyote katika Mkataba huu haitaingia au kuwa sehemu ya makubaliano ya ndani ya nchi au ya kimataifa wakati wa utekelezaji wa Mkataba.
Serikali iombwe kutoa ufafanuzi wa Ibara hii. Mkataba huu haujaweka muda wa ukomo, hivyo Serikali haitakuwa na nafasi ya kuingia makubaliano mengine kuhusu kuendeleza au kuboresha na kuendesha bandari zake.
f. Ibara ya 30 inaweka masharti ya kuwa na uthabiti, uimara na uhakika wa kutoyumbisha Mkataba huu (Stabilization). Eneo hili lipate ufafanuzi wa Serikali. Kwa kuzingatia kuwa Mkataba huu hauna muda wa ukomo. Hivyo, kuna mazingira sheria zitahitaji kufanyiwa mabadiliko kulingana na wakati, ambapo mabadiliko hayo yanaweza kuathiri masharti ya Mkataba huu na kuchukuliwa kuwa ni kuyumbisha Mkataba huu.

g. Kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mamlaka ya kusaini mMkataba huu yametolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hata hivyo, kwa upande wa Serikali ya Dubai haijawekwa wazi. Tunashauri Serikali itoe ufafanuzi kuhusu mamlaka ya kusaini Mkataba huu kwa upande wa Serikali ya Dubai
Imeandaliwa na Sekretariati ya Bunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana
 
Ukiona watu wanalazimisha upumbavu ujue wananufaika nao..

Zanzibar Inajenga na itabinafsisha Bandari zake na itaendelea kuichapa Tanganyika na Kilio Cha ujinga wenu wa eti hela za Bara zinatumika kitazisi kusikika zaidi..

Eg unapoxungumzia Watalii Kwa Tanzania unazungumzia Zanzibar elewa hili,mwaka Jana Kwa mara ya kwanza uwanja wa ndege wa Zanzibar ndio unaongoza kuingiza Wageni wengi hapa Tanzania yaani kiufupi ndege nyingi za Kimataifa zinatua Zanzibar..

Nyie endeleeni na ujinga wenu maana ujamaa ni kama upumbavu tuu.
Inategemeana unazungumzia ujamaa wa aina ipi, kumpa tenda mtu ambaye unaiterest naye hiyo pia ni ujamaa. Unachukia ujamaa wa wenye kipato kidogo kuungana huku unasifia kuwa ujamaa wa wakubwa kuungana huku wakiwazuia wenye kipato kidogo kuungana kwa kuhofia hawatapata faida
 
Inategemeana unazungumzia ujamaa wa aina ipi, kumpa tenda mtu ambaye unaiterest naye hiyo pia ni ujamaa. Unachukia ujamaa wa wenye kipato kidogo kuungana huku unasifia kuwa ujamaa wa wakubwa kuungana huku wakiwazuia wenye kipato kidogo kuungana kwa kuhofia hawatapata faida
Ujamaa ni upuuzi hakuna Cha aina ipi wale Ile
 
Endeleeni kung'ang'ania upumbavu au la hasha Kuna maslahi ya directly unapata kwenye inefficiency ya Bandari ya Dar..

Mwendazake kwangu ni empty set Sina Cha kujifunza pale hamna kitu
Inefficiency ya bandari inasababishwa na nini.
 
Actually kuna maeneo mengi sana tunatakiwa kubinafsisha!! Hata uzoaji taka umetushinda bro?? !!

So wakija waarabu wakisema wanaweza kuzoa taka haraka Kwa miaka 100 kuna shida gani ya kumpa ??

Mtu unakaa na matakataka 2 weeks jamaa hawajatokea!!

Serikali za CCM zimeshindwa ku create efficiency kwenye most of the sectors

They cant coordinate even uzoaji taka!! Wataweza bandari ?? [emoji23][emoji23]
Unaonaje tukibinafsisha taasisi ya Urais
 
Sokoine ni kind ya wale wale wajinga waliokuwa wakikenua meno watu kushindia vilaka in the name of uhujumu uchumi..

Watu dizaini ya hao ningeshiriki kuwatokomeza na sijui mabeberu walimuachaje na yule aliyeleta ujamaa Tanzania maana amezalisha majinga mengi kama wewe..

System inayotegemea hisia na propaganda ni mfumo wa kipumbavu
NATO ni ujamaa au siyo ujamaa
 
Huyo mtu wenu alibobea Kwa uongo Ili avute attention ya wajinga kama nyie..

Mbona hamutoneshi namna alivyoongeza mapato via Bandari?

Nadhani ni kichaa tuu na mwenye mentality za kijinga ndio anaweza Pinga kubinafsisha Bandari ambayo yeye binafsi imemshinda Toka uhuru.
Ni wapuuzi wanaofurahia assert muhimu za nchi kupigwa bei hata nchi za ulaya hawafanyi hivyo
 
Ni wapuuzi wanaofurahia assert muhimu za nchi kupigwa bei hata nchi za ulaya hawafanyi hivyo
Kama Nchi gani hiyo ambayo haijabonafsisha Bandari?

Mpuuzi ni wewe ambae unafurahia kutamka neno asset wakati hatunugaiki nayi Bali kakikundi ka majizi kama wewe.
 
Kama Nchi gani hiyo ambayo haijabonafsisha Bandari?

Mpuuzi ni wewe ambae unafurahia kutamka neno asset wakati hatunugaiki nayi Bali kakikundi ka majizi kama wewe.
Bandari za china anazimiliki nani?badala ya kuweka wataalam wenye vigezo bandarini na kwenda kujifunza namna ya uendeshaji wa bandari kwenye nchi zilizoendelea tunabinafsisha kila kitu?angalia mashirika a
Yaliyobinafsishwa Leo zipo wapi?huyo Mama siku zake zimekaribia ataondolewa soon kwa aibu
 
Back
Top Bottom