Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Vichaa wamegawa bandari yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua mnaishia kusema hivyo lakini hamjawahi kuleta ushahidi wa tuhuma zenuHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Hao unaowatetea wanaishi kwa mabeberu ww kl kukicha unakimbizana na foleni mjini lkn yule aliopo/alietumwa na beberu unamuona ndio mtukufu. ..tutauzwa mpk sisi wenyewe take my noteJamaa alitoa go ahead ya kumchapa risasi Tundu Lissu mchana kweupe.
Hapana aisee, Ishu ya Bandari ya Dar ni tofauti na ya Bagamoyo.
Kwa bandari ya Bagamoyo chuma alichemsha, ile bandari tunaihitaji!
Alimuua nani na alimpiga nani risasi tuweke ushahidi hatutaki majungu na unafikiHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Mgongo wa mama yakoHapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Natamani nikupe neno baya ila tu moyo wangu umejaa mema...Una ujasiri wa kutenda uovu tena hadharani, ni bahati mbaya sana mimi kuzaliwa nchi moja na mtu kama wewe, aise Mungu akusamehe!Huyo mtu wenu alibobea Kwa uongo Ili avute attention ya wajinga kama nyie..
Mbona hamutoneshi namna alivyoongeza mapato via Bandari?
Nadhani ni kichaa tuu na mwenye mentality za kijinga ndio anaweza Pinga kubinafsisha Bandari ambayo yeye binafsi imemshinda Toka uhuru.
Acha ulaghai, haifai...HUU NDIO UKWELI JUU YA MKATABA WA .
✅Mkataba huu kati ya DP World na TPA kwa niaba ya Serikali ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu una faida gani kwetu, kwanini mkataba huu ni muhimu sana wakati huu kuliko wakati wowote ule?
✅Kwanza, achana kabisa na propaganda za UFIPA juu ya kwamba tumetoa bandari yetu 100% iendeshwe na DP World, huu ni uwongo na wala huitaji degree wala elimu ya darasa la 7 kujua kuwa huu ni uwongo.
✅Hadi muda huu tunachojua ni kwamba, makubaliano ya awali yamesainiwa Dubai wakati Rais Samia Suluhu alipokwenda kwenye maonesho ya Dubai Expo 2020, na kama makubaliano ya mwisho yatasainiwa, basi mkataba huu utakuwa na thamani ya USD 500 milioni.
Nini Mtanzania unapaswa kujua kuhusu mkataba huu?
Kwanza, unatakiwa kujua kwamba DP World itapewa
kushughulikia gati ya 5 hadi 7.
DP World mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya kikanda na kimataifa.
▶️Kama mkataba huu utasainiwa, ndani ya miaka 10 ijayo, ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam utaongezeka kwa asilimia 233.7%
▶️Mapato ya Bandari ya Dar es Salaam kuongezeka kutoka Trilioni 7.79 kwa mwaka hadi Trilioni 26, ndani ya miaka 10 ijayo.
▶️Ufanisi wa Bandari utaongezeka, mizogo itatoa haraka, ajira zitazalishwa kwa wingi na pia pato la taifa kuimarika maradufu.
▶️Mapato yakiongezeka kwenye kupitia Bandari ya Dar, serikali itapunguza mzigo wa kodi kwa Watanzania hivyo kuboresha hali ya maisha ya watu.
▶️DP World hawatowekeza bandari ya Dat tu, bali na bandari nyingine nchini na pia, wataalamu wetu watakwenda kupewa mafunzo na kuongezewa ubunifu kwenye utendaji wao.
Even if notice there is nothing you can do. You are like those who claim to be players but we fvck their wives.Mark my words nothing will go unnoticed!
Nawaona hapo wanapiga makofi na bado mpaka leo wapo serikalini na bandari ndo hiyo tunazungushwaa mara imeuzwa mara laaMnyonge mnyongeni haki yake apewe.
View attachment 2648522
"Pamoja na ubinadamu wako nabii jiwe upumzike Kwa amani."
Hii ni vita Mura, watu wapo kazini 24/7!Even if notice there is nothing you can do. You are like those who claim to be players but we fvck their wives.
Jiwe hata nikifa halafu nikafufuka nitamchukia na kumtukanaAlikupiga risasi wapi??? Kwenye ukoo wako amewapiga risasi wangapi???? Usibebeshwe chuki na wewe ukazibeba bila kujua unabeba kitu gani.
Hao wahuni waliopigwa risasi walikuwa mamluki wa nchi na walistahili kupata walichopata.
Itakusaidia nini sasa kama alikutumbua vyeti feki wewe tafuta kazi nyingine kubali makosa yako kwanini hukusoma?Jiwe hata nikifa halafu nikafufuka nitamchukia na kumtukana
Alikubaka mpaka ukamwekea kisasi hicho?Jiwe hata nikifa halafu nikafufuka nitamchukia na kumtukana
Kabinafsishe hizo taka huko I don't care, lakini sio bandari.Actually kuna maeneo mengi sana tunatakiwa kubinafsisha!! Hata uzoaji taka umetushinda bro?? !!
So wakija waarabu wakisema wanaweza kuzoa taka haraka Kwa miaka 100 kuna shida gani ya kumpa ??
Mtu unakaa na matakataka 2 weeks jamaa hawajatokea!!
Serikali za CCM zimeshindwa ku create efficiency kwenye most of the sectors
They cant coordinate even uzoaji taka!! Wataweza bandari ?? [emoji23][emoji23]
Hata Mimi natamani sio tuu nikupe neno baya Bali nikutokomeze kabisaNatamani nikupe neno baya ila tu moyo wangu umejaa mema...Una ujasiri wa kutenda uovu tena hadharani, ni bahati mbaya sana mimi kuzaliwa nchi moja na mtu kama wewe, aise Mungu akusamehe!
Hoja yako ni tatizo sugu la kuwapa majukumu wasiokuwa na kuamini wanachosimamia.Nawaona hapo wanapiga makofi na bado mpaka leo wapo serikalini na bandari ndo hiyo tunazungushwaa mara imeuzwa mara laa
Ha ha ha.... Ulitamani uwe wewe? Anyway kwa sasa hayupo wengine tumerudishwa kazini.Hujui tu kuwa naye alikuwa anamnanii Makonda
Haya ni mawazo yako tu. Ndiyo hukuwaona "wasiojulikana"? Hukuona mauaji, uporaji, utekaji na kupiga watu risasi??Sema alipoudhi ni kukataa ushoga na kufukuza wenye vyeti feki kazini. Hapo aliharibu sana ndo maana tunamchukia sana hasa sisi wa vyeti fake.
Unaweza kueleza haya mambo yameiadhiri nchi kiasi gani? Na watu wangapi wameuawa na nani muhusika wa watu wasiojulikana na wewe uliwahi kutekwa na nani aliporwa fedha zake maana vyeti feki mnatumia haya mambo kama kichaka chenu cha kumchukia MagufuliHaya ni mawazo yako tu. Ndiyo hukuwaona "wasiojulikana"? Hukuona mauaji, uporaji, utekaji na kupiga watu risasi??
AmeuaAlikubaka mpaka ukamwekea kisasi hicho?
Jiwe ni jini mbwa asiyesafishika. Hqngaika uwezavyo hatosafishika. Ndiyo maana ni mwaka wa pili tu lkn kishasahaulikw na kumbukizi yake ilipuuzwa na serikali.Unaweza kueleza haya mambo yameiadhiri nchi kiasi gani? Na watu wangapi wameuawa na nani muhusika wa watu wasiojulikana na wewe uliwahi kutekwa na nani aliporwa fedha zake maana vyeti feki mnatumia haya mambo kama kichaka chenu cha kumchukia Magufuli