wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mahakama gani? au unaongelea hizi Mahakama za CCM?
Mahakama ya mafisadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama gani? au unaongelea hizi Mahakama za CCM?
Naomba nikuunge mkonoNatamani kujitoa mhanga pale katikati ya bunge.
[emoji23]
nisepe na kijiji cha wajinga
Rostam, myamwezi wa Tabora ameshasema Mahakama zetu za Kisutu haziaminiki; zinazoaminika ni zile za South Africa ambako ndege yetu ya Boeing inashikiliwa kwa karibuni mwaka mmoja sasa na inaweza ikapigwa mnada. Serikali ilisha mute kuhusu suala hilo la ndege yetu. Sasa tayari tumeshasaini na bunge kuridhia mkataba wa IGA wa bandari zetu zote kushitakiwa South Africa kama tutavunja hiyo IGA.Mahakama gani? au unaongelea hizi Mahakama za CCM?
Isijekua wanatumika ili ishu hii ije ihalalishwe!Wakili Msomi Alphonce Lusako akishirikiana na Wakili msomi Chengula Emmanuel pamoja na wenzao wawili wameiburuza serikali mahakamani kwa kupitisha mkataba wa ubinafsishaji wa bandari zetu bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Washtakiwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi, Waziri wa Ujenzi Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi Gabriel Migire na Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi.
Wote wanne wanashtakiwa kwa makosa yafuatayo;
1. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini Makataba wa kimataifa na kuupeleka bungeni kwa ajili ya kupitishwa bila kushirikisha umma na kutoa nafasi ya kutosha kwa wananchi kutoa maoni yao, kinyume na sheria ya rasilimali za taifa no.5 ya mwaka 2017 kifungu cha 11 (1) na (2).
2. Washtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kuwaongoza wabunge vibaya, kupiga kura ya ukasuku (ya kupayuka NDIOO) badala ya kura ya Mbunge mmoja mmoja kama sheria inavyotaka (Natural Wealth and Resource Contract Act) no.6 ya mwaka 2017 kifungu cha 5 na 6.
3. Mshtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kushindwa kuliongoza bunge vizuri kufanya kazi yake ya kushauri serikali na kusimamia maslahi ya umma kwenye mikataba ya kimataifa kinyume na ibara ya 63(2) na (3) ya Katiba ya nchi.
4. Mshtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai wenye vipengele vinavyovunja Katiba (ibara ya 28(3) pamoja na sheria mbalimbali za nchi.
5. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba wa "hovyo" unaozigawa rasilimali zetu za kimkakati kwa mamlaka ya nje ya nchi, kinyume na Katiba ibara ya 1, 8 na 28.
6. Kwamba Mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai una vipengele vinavyoweka rehani enzi kuu ya taifa letu (National sovereignty) na kuuza uhuru wetu, kinyume na ibara ya 1, 8 na 28 ya Katiba.
7. Kwamba Mkataba kati ya Serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai haukufuata sheria ya manunuzi ya umma no.64 ya mwaka 2011 na hivyo Mkataba huo kuwa batili tangu mwanzo (null & void ab-initio).
Washtakiwa wote wameitwa Mahakamani tar.3 July 2023 kujibu tuhuma zinazowakabili. Kesi hiyo itasikilizwa na Jaji Dunstun Ndunguru na Jaji Abdi Kagomba.!
View attachment 2670319
Hakuna kitu hapo ni Wakili anatafuta kiki kwenye CV yake. Hakuna Mahakama onevu na oga kama Mahakama ya Tz. Mahakama inayochukuwa haki ya mbuzi inampa fisi. Ndiyo maana DPW wameistudy Mahakama ya Tz na kugundua ni tarishi na nyapara wa serikali, DPW ikaogopa na kutaka kesi zote za kimkataba ziende Afrika Kusini. Mahakama ya Tz inaendeshwa kwa akili za Pilato, Herode, Herodia na Yuda wa Iskariote.View attachment 2670932
Hatima ya uhalali wa mkataba wa makubaliano ya ushirikiano baina ya Serikali ya Tanzania nay a Dubai sasa kuamuriwa na Mahakama baada ya jopo la mawakili wanne kuiburuza Serikali mahakamani kupinga mkataba huo.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala mkali kuhusu uhalali wa mkataba huo baina ya Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World kuhusu uboreshaji na uendeshaji wa bandari nchini.
Juni 10, 2023, Bunge la Tanzania lilipitia azimio la kuridhia ushirikiano.
Licha ya Bunge kuridhia, mjadala umeendelea kuhusu ushirikiano huo huku Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwaeleza Watanzania kutokuwa na wasiwasi kwani Serikali haitadharau maoni, ushauri na mapendezo yatakayokuwa yametolewa.
Hata hivyo, wakati mjadala huo ukiendelea kutoka kwa makundi mbalimbali, jopo la mawakili wanne wamechukua hatuza za kisheria kwa kuufikisha mjadala huo mahakamani.
Mawakili hao, Alphonce Lusako, Emmanuel Kalikenya Changula, Raphael Japhet Ngonde na Frank John Nyalusi, wameiburuza mahakamani Serikali, kutokana na kupitisha mkataba huo kwa kile wanachodai hauzingatii maslahi ya nchi.
Kwa mujibu wa nyaraka ambazo Mwananchi limeziona kuthibitishwa na wakili Lusako leo Jumanne, Juni 27, 2023, mawakili hao wamefungua kesi hiyo Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na Katibu wa Bunge la Tanzania.
Madai dhidi ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi pamoja na Katibu Mkuu wake wanadaiwa kusaini mkataba huo wa kimataifa na kuupeleka bungeni kwa ajili ya kupitishwa bila kushirikisha umma na kutoa nafasi ya kutosha kwa wananchi kutoa maoni yao.
Wanadaiwa kwa kufanya hivyo wamekiuka Sheria ya Rasilimali za Taifa namba.5 ya mwaka 2017, kifungu cha 11 (1) na (2).
Kwa upande wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Katibu wa Bunge madai yanayowakabili katika shauri hilo ni kuwaongoza wabunge vibaya, kupiga kura ya kuitikia kwa ujumla kwa pamoja (yaani kura ya ndio) badala ya kura ya Mbunge mmoja mmoja.
Wadai hao katika shauri hilo wanadai kuwa wadaiwa hao kuwaongoza wabunge kupiga kura ya namna hiyo ni kinyume cha Sheria.
Kwa mujibu wa hati ya wito wa kufika mahakamani, ambayo Mwananchi limeiona nakala yake, shauri hilo limepangwa kuanza kutajwa Julai 3, 2023 saa 3:00 asubuhi na Serikali (wadaiwa) wametakiwa kufika mahakamani siku hiyo bila kukosa.
Shauri hilo la maombi mchanganyiko namba 5 la mwaka 2023, limepangwa kusikilizwa na jopo la majaji watu lianoloongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru, akishirikiana na majaji Mustafa Ismail na Abd Kagomba.
AG hana kazi, Spika anafanya kazi ya AG.Ni vizuri sasa TLS ikajiunga kwenye kesi hii kama interested party ili munyukano huu wa kisheria mahakamani uwe na nguvu kubwa hadi kieleweke. Na uendelee hadi mahakama yetu ya upeo (rufaa) na mahakama ya katiba. Hii itakuwa funzo kwa spika wetu huyu Tulia kuacha kuliburuza bunge letu kwa msimamo ya kisiasa. Spika wa bunge anapaswa kuwa neutral katika mijadala ya bunge na kuruhusu free debate ya pande zote mbili: ile inayounga mjadala wa serikali na ile inayopinga mjadala wa serikali. Huyu spika kajionesha wazi wazi kuwapinga na hata kuwazuia wasiseme wale wote wanaopinga mijadala ya serikali kama akina Mpina. Amepoka demokrasia kwenye bunge letu. Yeye kapoka kazi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali (AG) ya kuitetea kisheria mijadala / misuada ya serikali inayofikishwa bungeni. Huyu spika ndiye amesababisha suala hili la mkataba wa IGA kufikia hatua hizi tunazozishuhudia. Kwa spika mweledi hatungalifika huku.
Kusoma ni jambo moja, kusaliti elimu yako na uzalendo wako ni jambo jingine.Wakitoka huko baada ya kushindwa kesi ‘fair and square’ unajua sampuli ya aina hii itakachosema, “judge amepokea maagizo kutoka juu”.
Kama mpaka dakika kuna mtu ajaelewa majibu ya serikali huo sio mkataba rasmi wa kibiashara; awezi elewa tena.
Unapata picha kwanini ata inapotokea serious breach ya mtu kutekeleza shamba kwa miaka kadhaa, wazi serikali ipo sahihi kutaifisha; kesi ikienda arbitration wanashindwa na ndege kukamatwa.
Kwa wanasheria hawa awashindi kesi ya biashara nje ya nchi.
It’s time UDSM ianzishe business law; hakuna hao wanasheria Tanzania.
Ifundishe pia module za introduction to contract law, tort law and business law. Kwenye degree za masomo ya biashara. It’s standard mtu anaesoma masomo ya biashara na finance awe na elementary knowledge ya hayo mambo. Uelewa wa jamii kwenye hayo maswala unapwaya to say the least.
Wafuatao waunge mkono jitihada za Wakili hawa ili tujiridhishe na uhalali wa ufunguaji wa shauri hili:-Ambacho hujui ni kwamba hatutegemei kushinda, bali huu ni mchakato mahsusi wa kuamsha nguvu ya UMMA! Be careful
Duh
Nasemaje.. Nasemaje...! Wa husika wote yaani na wale wamjengoni Dodoma waongeze ulinzi hadi vijijini kwako... Babu na bibi zao wawe na mabody guard.. Wasije kusema sijawaonya... 😁 😁 😁Natamani kujitoa mhanga pale katikati ya bunge.
[emoji23]
nisepe na kijiji cha wajinga
Safi sanaWakili Msomi Alphonce Lusako akishirikiana na Wakili msomi Chengula Emmanuel pamoja na wenzao wawili wameiburuza serikali mahakamani kwa kupitisha mkataba wa ubinafsishaji wa bandari zetu bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Washtakiwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi, Waziri wa Ujenzi Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi Gabriel Migire na Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi.
Wote wanne wanashtakiwa kwa makosa yafuatayo:
1. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini Makataba wa kimataifa na kuupeleka bungeni kwa ajili ya kupitishwa bila kushirikisha umma na kutoa nafasi ya kutosha kwa wananchi kutoa maoni yao, kinyume na sheria ya rasilimali za taifa no.5 ya mwaka 2017 kifungu cha 11 (1) na (2).
2. Washtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kuwaongoza wabunge vibaya, kupiga kura ya ukasuku (ya kupayuka NDIOO) badala ya kura ya Mbunge mmoja mmoja kama sheria inavyotaka (Natural Wealth and Resource Contract Act) no.6 ya mwaka 2017 kifungu cha 5 na 6.
3. Mshtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kushindwa kuliongoza bunge vizuri kufanya kazi yake ya kushauri serikali na kusimamia maslahi ya umma kwenye mikataba ya kimataifa kinyume na ibara ya 63(2) na (3) ya Katiba ya nchi.
4. Mshtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai wenye vipengele vinavyovunja Katiba (ibara ya 28(3) pamoja na sheria mbalimbali za nchi.
5. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba wa "hovyo" unaozigawa rasilimali zetu za kimkakati kwa mamlaka ya nje ya nchi, kinyume na Katiba ibara ya 1, 8 na 28.
6. Kwamba Mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai una vipengele vinavyoweka rehani enzi kuu ya taifa letu (National sovereignty) na kuuza uhuru wetu, kinyume na ibara ya 1, 8 na 28 ya Katiba.
7. Kwamba Mkataba kati ya Serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai haukufuata sheria ya manunuzi ya umma no.64 ya mwaka 2011 na hivyo Mkataba huo kuwa batili tangu mwanzo (null & void ab-initio).
Washtakiwa wote wameitwa Mahakamani tar.3 July 2023 kujibu tuhuma zinazowakabili. Kesi hiyo itasikilizwa na Jaji Dunstun Ndunguru na Jaji Abdi Kagomba.!
View attachment 2670319
Kazi ipo!!Fisadi Rostam alisema nendeni mahakamani
Ujue tayari mfumo wa mahakama umejuaanda kuwadhulumu watanganyika na kuwahalalisha waarabu kuuziwa nchi
Hapa ni kula sahani moja na hawa mafisadi
100%Wakili Msomi Alphonce Lusako akishirikiana na Wakili msomi Chengula Emmanuel pamoja na wenzao wawili wameiburuza serikali mahakamani kwa kupitisha mkataba wa ubinafsishaji wa bandari zetu bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Washtakiwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi, Waziri wa Ujenzi Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Uchukuzi Gabriel Migire na Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi.
Wote wanne wanashtakiwa kwa makosa yafuatayo:
1. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini Makataba wa kimataifa na kuupeleka bungeni kwa ajili ya kupitishwa bila kushirikisha umma na kutoa nafasi ya kutosha kwa wananchi kutoa maoni yao, kinyume na sheria ya rasilimali za taifa no.5 ya mwaka 2017 kifungu cha 11 (1) na (2).
2. Washtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kuwaongoza wabunge vibaya, kupiga kura ya ukasuku (ya kupayuka NDIOO) badala ya kura ya Mbunge mmoja mmoja kama sheria inavyotaka (Natural Wealth and Resource Contract Act) no.6 ya mwaka 2017 kifungu cha 5 na 6.
3. Mshtakiwa no.1 na no.4 wanashtakiwa kwa kushindwa kuliongoza bunge vizuri kufanya kazi yake ya kushauri serikali na kusimamia maslahi ya umma kwenye mikataba ya kimataifa kinyume na ibara ya 63(2) na (3) ya Katiba ya nchi.
4. Mshtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai wenye vipengele vinavyovunja Katiba (ibara ya 28(3) pamoja na sheria mbalimbali za nchi.
5. Washtakiwa no.2 na no.3 wanashtakiwa kwa kusaini mkataba wa "hovyo" unaozigawa rasilimali zetu za kimkakati kwa mamlaka ya nje ya nchi, kinyume na Katiba ibara ya 1, 8 na 28.
6. Kwamba Mkataba kati ya serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai una vipengele vinavyoweka rehani enzi kuu ya taifa letu (National sovereignty) na kuuza uhuru wetu, kinyume na ibara ya 1, 8 na 28 ya Katiba.
7. Kwamba Mkataba kati ya Serikali ya Tanzania na Emirate ya Dubai haukufuata sheria ya manunuzi ya umma no.64 ya mwaka 2011 na hivyo Mkataba huo kuwa batili tangu mwanzo (null & void ab-initio).
Washtakiwa wote wameitwa Mahakamani tar.3 July 2023 kujibu tuhuma zinazowakabili. Kesi hiyo itasikilizwa na Jaji Dunstun Ndunguru na Jaji Abdi Kagomba.!
View attachment 2670319