fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
watanzania tuache uongoUnachukua "article" moja na kutuletea hapa....
Mikataba yote mikubwa ya kimataifa ina "clause" hizo....
Kama huu ndio mkataba usemao basi jibu amekupa mh.Spika Dr Tulia....kuwa bunge halijaamua....mnakwama wapi ?!!!
Nani anayetetea majizi na mafisadi ni mlokole? Hilo kanisa ni la mpinga kristo!Tulia ni Mlokole tangu akiwa Zanaki alikuuwa akisali pale TAG Upanga CCC
Mungu wa mbinguni azidi kumbariki!
Umesema ni Mlokole si Mkristo. Naamini ndio maana alipokea ubunge hewa. Angekuwa Mkristo asingepokea ubunge hewaTulia ni Mlokole tangu akiwa Zanaki alikuuwa akisali pale TAG Upanga CCC
Mungu wa mbinguni azidi kumbariki!
"mifisadi ya bandarini"....Wanaopinga wote either ni wadini au mafisadi ya bandarini so wanaona mirija inaenda kukatwa
Hamrudi ng'o hata mfanyeje
Kama hujui hilo basi!!!Kwa hiyo wewe ukioa umenunua mke?
Anachokataa ni Nini?. Maana tayari azimio limeshapitishwa kwenye kamati za bunge.Spika anasema wacheni kupotosha:
--
Spika wa Bunge, Dr Tulia Ackson ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizosambaa zikidai kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari limesharidhia Azimio la Bunge kuhusu pendekezo la mkataba wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai ambapo amesema Bunge bado halijaridhia.
Spika Dr. Tulia amesema taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari na mitandao kuwa azimio hilo limesharidhiwa na Bunhe si za kweli kwani azimio husika kwa sasa bado lipo katika ngazi ya kamati ya pamoja kwa mujibu wa kanuni na mara baada ya kamati kumaliza kazi yake azimio hilo limepangwa kuingia Bungeni tarehe 10 June 2023 kwa ajili ya mjadala.
ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππHawa washenzi walifikiri wtz ni wajinga sana?
Na bado tutabeba bunduki tuingie kitaa ndio akili zitawakaa sawa
Hii point sana, tunyooshane kidogoAnamtisha nani sasa?
Hi nchi Hadi tunyooshane viungo na damu imwagike ndiyo hawa watu akili itawakaa sawa. Vinginevyo watazidi kutuona watz ni madunduka tusiojielewa.
Tulia ni Mlokole tangu akiwa Zanaki alikuuwa akisali pale TAG Upanga CCC
Mungu wa mbinguni azidi
Spika anasema wacheni kupotosha:
--
Spika wa Bunge, Dr Tulia Ackson ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizosambaa zikidai kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari limesharidhia Azimio la Bunge kuhusu pendekezo la mkataba wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai ambapo amesema Bunge bado halijaridhia.
Spika Dr. Tulia amesema taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari na mitandao kuwa azimio hilo limesharidhiwa na Bunhe si za kweli kwani azimio husika kwa sasa bado lipo katika ngazi ya kamati ya pamoja kwa mujibu wa kanuni na mara baada ya kamati kumaliza kazi yake azimio hilo limepangwa kuingia Bungeni tarehe 10 June 2023 kwa ajili ya mjadala.
Panya road nao ni watanzania wana haki kwenye bandari. Ama ulijua panya road ni wakenya!!??ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππ
Mnakimbizwa na panya road tu ndio mtaweza huku?
Hahahahahahahahaha
You made my day
sasa tukuamini wewe?