DOKEZO Sakata la binti wa Yombo lilishatokea kama hilo Kilindi -Tanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna tatizo kubwa kwenye haki jinai kubwa sana
 
BILA PICHA AU KAVIDEO NI UZUSHI
 
Mwezi wa nane kuna matukio matatu muhimu nchini kwetu ambayo ni nanenane, simba day, na siku ya wananchi. Sasa ili kukomesha haya mambo ya ubakaji na maovu mengine ni rasmi sasa rais atangaze iwe ni mwezi wa kujichukulia sheria mkononi ili kukomesha usengerema wa namna hii 😀.
 
Ukinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Habari mama. Zinaendelea kufanyika juhudi hata kupatiwa namba ya simu ya binti au mzazi wake
Ahsante mama
 
Mambo ya hovyo sana
 
Kazi ya mwamposa ni kuhubiri tu ila kukamata,kushitaki na kufunga ni kazi ya serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…