Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kazi inaendelea mh.waziri wetu kipenzi [emoji7]Mhe Mkuu wa Mkoa amepokea anafuatilia. Tutapata mrejesho
[emoji7][emoji7]Kweli, anitumie sms kwenye 0765345777 Ili turahisishe mambo kidigitali tuokoe muda wa ufuatiliaji
Unamdogosha mtumishi wa BWANA....Mwamposa ni andunje la sisiemu!
Kuna tatizo kubwa kwenye haki jinai kubwa sanaHabari zenu wanajukwaa. Nimatumaini yangu kwamba mmeamka salama salmin
Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba lipo sakata linalofanana na la binti wa Yombo ambapo limetokea wilayani Kilindi mkoani Tanga. Ni zaidi ya wiki kama tatu hivi tangu tukio hilo lifanyike lakini rushwa ndio inatembea.
Tukio hilo limetokea jirani na mji wa Songe Kijiji kiitwacho Kwamwande ambapo binti huyo aliitwa na jamaa aliyekuwa amezaa nae kwamba eti akachukue matumizi.
Baada ya msichana huyo kufika kumbe walijiandaa vijana nane kumuingilia dada huyo ambae alikuwa amejifungua hata siku arobaini hajamaliza.
Inasemekana vijana waliofanikiwa kumuingilia walikuwa watano. Ingawa baadhi walikamatwa na polisi pia walipewa dhamana kwa sharti la kila mmoja kutoa laki tano. Kilichopo ni ukimya usiokuwa na majibu.
Rushwa imetumika kumkosesha binti huyu haki yake.
OCD Songe achunguzwe kwa kulikalia kimya suala hili na kutowafuatilia wabakaji wengine Ili kumpatia haki msichana huyo.
Hata baada ya kutoka hospitalini msichana huyo aliendelea kupata tabu maumivu makali ya kubakwa na watu watano huko akiwa bado alijifungua siku sio nyingi.
Natoa rai kwa makundi mbalimbali wasaidie haki ya mtanzania huyo
Yule kasema Songe, wewe unasema Songwe, yupi yupo sahihi?OCD Songwe nnianze kwa kumpa pole kama tukio ni la kweli, JF ni zaidi ya serikaĺi..
Songe ipo ,Kilindi_Tanga,Songwe ipo mkoa wa Songwe.Kwa mada hii ni songe.Yule kasema Songe, wewe unasema Songwe, yupi yupo sahihi?
BILA PICHA AU KAVIDEO NI UZUSHIHabari zenu wanajukwaa. Nimatumaini yangu kwamba mmeamka salama salmin
Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba lipo sakata linalofanana na la binti wa Yombo ambapo limetokea wilayani Kilindi mkoani Tanga. Ni zaidi ya wiki kama tatu hivi tangu tukio hilo lifanyike lakini rushwa ndio inatembea.
Tukio hilo limetokea jirani na mji wa Songe Kijiji kiitwacho Kwamwande ambapo binti huyo aliitwa na jamaa aliyekuwa amezaa nae kwamba eti akachukue matumizi.
Baada ya msichana huyo kufika kumbe walijiandaa vijana nane kumuingilia dada huyo ambae alikuwa amejifungua hata siku arobaini hajamaliza.
Inasemekana vijana waliofanikiwa kumuingilia walikuwa watano. Ingawa baadhi walikamatwa na polisi pia walipewa dhamana kwa sharti la kila mmoja kutoa laki tano. Kilichopo ni ukimya usiokuwa na majibu.
Rushwa imetumika kumkosesha binti huyu haki yake.
OCD Songe achunguzwe kwa kulikalia kimya suala hili na kutowafuatilia wabakaji wengine Ili kumpatia haki msichana huyo.
Hata baada ya kutoka hospitalini msichana huyo aliendelea kupata tabu maumivu makali ya kubakwa na watu watano huko akiwa bado alijifungua siku sio nyingi.
Natoa rai kwa makundi mbalimbali wasaidie haki ya mtanzania huyo
Mh ktk ubora wako uliotukuka natumai mawazir wote wangekuwa kama weweUkinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Ikiwa ni video ya ndugu Yako utaipenda?;!Sikitikia tukio Mkuu.BILA PICHA AU KAVIDEO NI UZUSHI
Ikiwa ya ndugu yako nitaipendaIkiwa ni video ya ndugu Yako utaipenda?;!Sikitikia tukio Mkuu.
Safi sana mamaUkinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Yanapokuja kuvumbuka jamii imeozaMengine kuyaficha inakua aibu hata kwa serikali
Aliyeleta MadaYule kasema Songe, wewe unasema Songwe, yupi yupo sahihi?
Habari mama. Zinaendelea kufanyika juhudi hata kupatiwa namba ya simu ya binti au mzazi wakeUkinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Mambo ya hovyo sanaKama wale wakipata hukumu basi watakamatwa wengi sana , hiyo michezo ya kijinga wanaita ''mtungo'' wanafanyia sana mabinti za watu , halafu wanajisifu kabisa kwenye maskani zao .
Hawa vijana wenye vyumba wanaita ''geto" wengi ni wajinga sana kweny kutesa mabinti za watu.
Kazi ya mwamposa ni kuhubiri tu ila kukamata,kushitaki na kufunga ni kazi ya serikaliAkina Mwamposa na wenzake badala wakemee haya mapepo kwenye madhabahu yao wao kila siku ni matamasha. Leo ya kuwasha mishumaa, kesho tochi za simu mara sijui komboa nyota. Vitu vya ujingaujinga tu mradi wapige hela. Haya mapepo ya ukatili yaliyoibuka ndo ya kudili nayo kama huo uwezo wanao
Hivi hotel ya Mwamposa unaruhusiwa kuingia na demu wako?Kazi ya mwamposa ni kuhubiri tu ila kukamata,kushitaki na kufunga ni kazi ya serikali