- Thread starter
- #61
Pamoja na yote hata OCD anajua na atatajiwa akimuuliza.Umeambiwa na Mheshimiwa hapo kwamba umtaje aliyefanyiwa hicho kitendo ili iwe rahisi kumsaidia haki yake ipatikane, kama unaogopa kumtaja hadharani mtumie hata PM.
Hata majina ya wahalifu akitaka umri wao,shuhuli zao ataambiwa