Sakata la Diddy limeonesha wengi wanachukia masuala ya ushoga

Sakata la Diddy limeonesha wengi wanachukia masuala ya ushoga

Wale watu fuse huwa zimekata.
Ukikeni hawapo ukiumeni hawapo, wana dunia ya peke yao.

Wanaowafukunyua wana libido la hatari dadeki.
Hiyo ya ukikeni haupo kiumeni haupo inawapa mateso sana.
Na yapo mengi yanawaumiza kisaikolojia ni hiyo basi tu wanajikaza ila ningekua na power ningewatafutia tiba.
Mwanzoni nilikua nawachukia sana ila sasa hivi huwa nawaonea huruma.SANA

Hata hao wanaowalala wenzao ni wagonjwa tu na wao.Hawako sawa.
 
Diddy anaweza kuepukana na hili kama tu,walioguswa vinyeo hawakutoa taarifa means walifanywa willingly ama kuna jambo nyuma ya uchaguzi,
Ila kama amewagusa watu wengi kiasi hicho inabidi malaika wakaokote kuni wenyewe wamsaidie jamaa wa motoni
 
Kabisa mkuu!
Ni wagonjwa kichwani na chakusikitisha badala itafutwe tiba wapone inatumika nguvu kubwa kuharibu wengi na kujaribu ku normalize ila ndo hivyo hata wazungu wameshindwa kufanya kiwe kitu cha kawaida matokeo yake mashoga wengi wanaishia kujiua.

Hata anayewafanya wanaume wenzie pia kuna fyuzi zimekata the sec ameanza kuvutiwa na mwanaume mwenzie.Huwezi kuwa mentally okay ukadindisha kwa me mwenzio.HAIWEZEKANI.
Sahihi kabisa mkuu! Kwa Mimi binafsi jinsi nilivyo selective hata kwa wanawake hivi, Kuna wanawake naweza lala nao kitanda kimoja lakini nisiwe na hisia nao kabisa sembuse mwanaume mwenzañgu?? Labda mpaka baadhi ya fuze zikate kwakwel!
 
Kuwa shoga mchezo nini! Lazima uwe na mental issue.

Utasikia mbona mwanzilishi wa nini nini ni shoga mara tajiri gani ni shoga, kwamba we una akili kumzidi, I be like 🤔 hamjui utofauti wa kuwa na akili na kuwa na changamoto ya afya ya akili? (Mental issues)

Huwezi kukubali kuingiliwa kinyume na asili kama kuna fuse hazijakatika kichwani.

Kama Huko marekani weñye michezo hiyo wanakimbiamo, hawataki hata kujihusisha na Kesi hizô lakini kûna WA huku ushumbwindi wanakuambia waô wanaiga wazungu au Watu WA magharibi
 
Hata hao America wenyewe hawataki kulisikia ila sijui sheria ya kulipitisha walitoa wapi, au iliwekwa ili ije kua kinga kwa wahanga kama huyu!!? Maana huyu kwa kosa la ushoga kwa nchi yao hana kesi, ila hayo ya unyanyasaji, madawa na pesa haramu ndio yatampeleka
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Sakata hili limerahisisha Sana kujua kuwa hata mashoga waliopo Duniani hawapendi kuwa vile walivyo isipokuwa kûna Ñguvu ya ziada zinawalazimisha kufanya Yale wanayoyafanya.

Mataifa Makubwa na Watu wengi wa Ulimwengu wa Kwanza wamekuwa Mstari wa mbele Kúpigania HAKI za mashoga lakini Sakata la Diddy limewakimbiza Mastaa wôte Duniani Kwa tàbia Zake.

Diddy mwenyewe hataki hata kuhusishwa na tàbia hizô.
Watu wake wôte wakaribu Wamemkimbia.

Hakuna anayetaka aibu. Nani aikubali fedheha ya kuhusishwa na mambo ya kishoga?

Siku zote nyeupe NI nyeupe. Ubaya NI ubaya. Haijawahi kutokea Mtu mwenye Akili timamu akajivunia ushoga. Mara nyingi na ukichunguza wanaosema waziwazi huwa hawapo timamu kisaikokojia na Kiakili. Wengi waô Wanatumia madawa ya kulevya àmbayo inawafanya Akili zào zisifanye Kazi.

Miaka kadhaa ikipita hujuta, na kuona kuwa Yale waliyokuwa wakiyafanya hayakuwa mambo mazuri. Walikuwa wamechanganyikiwa tuu.

NI Sawa na wale wanaojuta kuchora tattoo, Kutumia madawa ya kulevya miongoni mwa mambo mengine.

Ingawaje wàpo wanaosema ushoga ni tatizo la kihomoni na kimaumbile lakini Kwa Sisi wenye Elimu àmbayo haijaghushiwa tunajua ni uongo na utetezi wa hovyo.

Pia soma: Kesi ya Diddy: Hakimu azuia uamuzi wa Diddy kumlipa Derrick Cardello Smith Dollars 100 Million Kama alivyoamuliwa na Mahakama

Ukisoma comments za walimwengu hasa za nchi za Magharibi na Marekani utagundua kuwa Hakuna Mtu anayependa na kujivunia Ushoga. Siô wazungu Wala sio Waafrika, siô wachina Wala siô waarabu.

Ushoga na Ufiraji ni miongoni mwa Blackdeals Ambazo wengi hawataki kuhusishwa nazo hata kama wanazifanya Kwa sababu hata Siku Moja Huwezi ukapewa heshima Kwa kufanya Jambo Baya.

Jambo Baya NI baya tuu.
Huwezi shika kinyesi usinuke na usichafuke.

NI kama Fisadi, au ujambazi, au Mwizi, au Mchawi, au mfitinishaji. Yaani Mtu anaweza kuwa tajiri Kwa sababu ya ufisadi lakini Kamwe hawezi kujivunia ufisadi mbele za Watu. Na hata ukimwambia yeye NI Fisadi NI kwamba mnaweza kufikishana Mbali Kwa sababu ataona unamshushia heshima.

Ndivyo ilivyo Kwa mashoga,
Hata alipwe shilingi ngapi, kutetea ushoga utamwona Kabisa body language Yake inakataa yaani mdomo anasema hivi Mwili unasema vinginevyo.

Watakaoumia zaidi ni Watoto na kizazi chako.

Ubaya hauchafui tuu Mtu Bali unachafua Mpaka Eneo analotoka.
Siô ajabu Mtu akasema mambo ya Mombasa Hayo. Kisa kûna Watu Fulani walioharibu title ya Mji WA Mombasa. Hii imefanya hata àmbao hawahusiki na hizô Kesi kujikuta katika Wakati mgumu.

MTU mwenye Akili timamu hata kama anafanya Jambo Baya Kamwe hawezi kulitangaza. Kwa sababu anajua kuwa ubaya huo utatembea siô kwàke tuu Bali Mpaka Eneo àmbalo ametoka.

Ubaya Kamwe hauwezi kuwa Sifa Njema. Ndio maana Watu weñye Akili na wasiopenda jamii zào zichafuliwe humfukuza mwenye Sifa mbaya iliyopitiliza au kumuua Kabisa lakini kumuacha na kumlinda Mtu mwenye Sifa mbaya hupelekea ku-label jamii hiyo kama ndîo tàbia Yao.

Siô ajabu wazungu wanahusishwa na ushoga lakini siô ajabu jamii zingine zikawa na mashoga wengi wa Siri kuliko wazungu wènyewe.

Ubaya ukiachwa huwa utambulisho wa Mtu, jamii na Eneo alilotoka.
Mfano Mwingine ni Wanawake WA kichaga hasa wamachame kuhusishwa na Kuua au kutanguliza Waume zào baàda ya kupata Mali.
Hii huenda ilifanywa na Watu wachache kadhaa Huko uchaggani lakini mpaka Leo imeleta athari mbaya Kwa kizazi Hiki.

Mambo haya huwaathiri wale ambao hawafanyi na Hawana tàbia hizô kukosa kuaminiwa.

Hakuna Mtu atakubali amkaribishe Shoga au msagaji au mfiraji kwèñye familia yake akae na Watoto wake. Huyo mtu hayupo.
Sasa Mtu akisikia umetoka Mombasa hata kama Huna tàbia za kunyemelea tigo za Watu au Kutoa tigo Watu huogopa kukuacha na Watoto waô.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam.
Ebu nisaidie, P Diddy anashtakiwa kwa kosa/makosa gani?
 
Kwanza ile ni faragha ukute mabasha nao wanaenda na upepo wa Diddy Wanakataa hadharani wanafanyw/a kwa siri ili wapate magari mazuri wacha inyeshe tuone panapovuJa
 
Back
Top Bottom