Sakata la Diddy limeonesha wengi wanachukia masuala ya ushoga

Lakini jamaa kasambaza sana upako, yaani kawamiminia mafuta ya kuwaweka wakfu wenzake🤣🤣🤣

Pdidy ni kuhani wa shetani yaani Samweli wa mafuta upande ea Lusifa🤣🤣
Imefika zamu yake sasa akifungwa huko jela watasaidia kuwalipia visasi.
 
 
Hata mimi nilikua nawachukia ila nikaja kujua nafanya matumizi mabaya ya chuki.
Haifai kuwachukia, wengi wao hawaopendi hiyo hali.

Ni ngumu kifanya kitu ambacho haiko proud of nacho. Mbaya ni ile kulegea kama mlenda aisee
 
Hakika umenena vyema...


Cc: Mahondaw
 
Hata mimi nilikua nawachukia ila nikaja kujua nafanya matumizi mabaya ya chuki.
Haifai kuwachukia, wengi wao hawaopendi hiyo hali.

Ni ngumu kifanya kitu ambacho haiko proud of nacho. Mbaya ni ile kulegea kama mlenda aisee
Kabisa mkuu.
Ni huruma sana
 
Diddy mwenyewe ni lishe tu ndio maana anakua na sherehe za lishe wenzie yaani Diddy ndie ananunua wahuni wampelekee moto pia..
 
Habari za majukumu wakuu.Hivi kweli wakuu tupeane code za kuhusu p didy.jana mida ya usiku nilikuwa online tiktok sasa nikakutana na clip ya kwanza ilikuwa inasikika sauti ya burna boy na didy kama jamaa anapelekewa moto.

Sijakaa vzr nikaona nyninge jamaa akiichambua hyo sauti na kusema burna boy alikuwa studio na didy wakiimba wimbo unaitwa take it back.

Sasa mbona kama mm sielew wakati sauti ilikuwa kama ya kunyanduliwa.Na kama nimekweli basi didy amedid.

clip ya 2 anaonekana na mtoto af kashika karatasi na anataja maj4na na mtoto anafutisha na mishwo anasema we did.

Na ya mwisho alimshawishi jay z ili akamle mkewe beyonce kwa 200 bilion kwa usiku mmoja na jay z akakubali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…