Huyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Wengine wetu tunapenda kumsikia hata kama anatudanganya kimtindo!Huyu nae apumzike tumemchoka sasa
Wewe ni Moja ya wajinga nlowaandika hapo juu, ni kwann mjinga anamchukia mwerevuHuyu nae apumzike tumemchoka sasa
Mjinga mwenyeweWewe ni Moja ya wajinga nlowaandika hapo juu, ni kwann mjinga anamchukia mwerevu
Ndo asset pekee tumebakiza kama taifaHuyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana kwa kupotezewa muda.Wengine wetu tunapenda kumsikia hata kama anatudanganya kimtindo!
Niamin nachokuambia, wee ni mjinga, mvivu na mzembe.Mjinga mwenyewe
HahahaNiamin nachokuambia, wee ni mjinga, mvivu na mzembe.
Kwenye bunge kibogoyo la majizi ya kura.Luhaga mmoja ni zaidi ya Wabunge wote wa Upinzani
Anafanya maigizo.Huyu mwamba hivi Huwa haendi kwenye vikao vya CCM maana anawakera kinyama.
Wewe na mwenzio nani?Huyu nae apumzike tumemchoka sasa
Upumbavu wako leo upo kiwango cha juu sana.Huyu nae apumzike tumemchoka sasa