Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakujaga na briefcase tu zilizojaa makaratasi kila kitu wanakipata hapa hapa baada ya mlalahoi kukamuliwa.Baada ya muda wameshavuna chao wanaishia zao.Mwekezaji haji na chochota ,lakini atondoka na mabillion ,alivyovuna kutoka shamba la bibi
Atampa Wizara au ubalozi kama alivyofanywa Polepole.Samia asivyo taka taabu achelewi kumpa wizara huyu ili anyamaze
Umemchoka wewe Nani, acha kuunganisha wengine kwenye uzembe na uvivu wako wa kufikiri.Huyu nae apumzike tumemchoka sasa
Huyu ni elected ana jimbo hawezi kumpa baloziAtampa Wizara au ubalozi kama alivyofanywa Polepole.
Hata wakumpigia makofi hamna, Ni Kama mijitu iliyomwagiwa maji, au watu wanaojua binti zao wanabakwa lakini wamepewa big G Kama kifuta jasho wakijua kabisa utamu wa big G Ni wa muda tu lakini watafanyaje big G walishatia mdomoni.Luhaga mmoja ni zaidi ya Wabunge wote wa Upinzani
Ndo maana wabunge wanaongezewa posho na mishahara kimya kimyaTungekuwa na bunge lenye akili wabunge wote wangemuunga mkono
yaani hoja itolewe na mpina then ilete kizungukuti?"Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa
Tunawahitaji wengi wa aina hiyo wakati huu kuliko wakati mwingine wowote..Huyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa makubaliano ya kuwekeza sh? Jibu swali.Bado hajawekeza ndio kwanza wamesain mkataba ili wawekeze. Wangewekeza kwa makubaliano yapi
Hakuna hatakaye thubutu kueleza ukweli wa huo mkataba kwakuwa hauna ukweli hata kidogo."Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa
Fatilia viambata vya ukomo wa ubungeHuyu ni elected ana jimbo hawezi kumpa balozi
Na nyengine zilizolala humu. Inakuwaje kila mtu anaekosoa kwa maslahi ya taifa anapigwa vita na kuonekana hafai atapewa ubalozi kumpoteza kabisa?Wacha Mpina aendelee kuzichangamsha bongo zilizolala kule bungeni.
CCM siyo wapumbavu kama mnavyofikiria. Wanaangalia upepo, kanda ya ziwa imani imeshuka, washafanya tathmini, jjii wa Naibu PM na paulo.Tatizo jina litakatwa kwenye kura za maoni.
Mwekezaji amewekezewa! Hii nchi tamu sana kuitafuna tafuna, lainiiiiMbunge wa Kisesa mh Mpina amehoji Muwekezaji DP World amewekeza kiasi gani Bandarini?
Mlale Unono [emoji1]