comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
The man is SICKHuyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The man is SICKHuyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo jina litakatwa kwenye kura za maoni.Tungekuwa na bunge lenye akili wabunge wote wangemuunga mkono
Mwekezaji haji na chochota ,lakini atondoka na mabillion ,alivyovuna kutoka shamba la bibi"Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
...
Mnhh.. huyu jamaa wamoto.."Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa
Atleast yeye amekuwa persistent"Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani...
Khamis Tabasam kapotelea wapi?Luhaga Mpina ni mtu makini na mbunge anaejielewa ana hoja ya msingi Sana
Hili li mkataba la DP lina laana litakuwa na matokeo mabaya mbeleni
AmeenMungu Amlinde...
Kuna muda hua unajitoa ufahamu ,usirudie mkuuLuhaga mmoja ni zaidi ya Wabunge wote wa Upinzani
Tatizo tuna wachumia tumbo tu!! na wacheka hovyo!!Tungekuwa na bunge lenye akili wabunge wote wangemuunga mkono
Umemchoka wewe mla rushwa.Huyu nae apumzike tumemchoka sasa
Tena sio mjinga!! una laana ya wazazi wako.Mjinga mwenyewe
Uko kiwango Cha degree.Upumbavu wako leo upo kiwango cha juu sana.
Kama hilo pumbavu kwenye post #7.Sisi wenye akili na wachapa kazi, Huwa tunachukiwa na wajinga, wapumbavu, wavivu na wazembe.