Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandege joni yote ya kijaniWewe na mwenzio nani?
Kwa huu ujinga ni kweli aseeNdo maana wabunge wanaongezewa posho na mishahara kimya kimya
Wagonga mezaTatizo tuna wachumia tumbo tu!! na wacheka hovyo!!
Point notedJamaa ana akili , yaan ukisikia tofauti ya Education na Intelligence ndo hii.
Jamaa Si tu ana Elimu, la Hashaa , ana uelewa mkubwaa kwelikweli, anaongea Point mwanzo mwisho ,na huoni akijichanganya
Sisi wenye akili na wachapa kazi, Huwa tunachukiwa na wajinga, wapumbavu, wavivu na wazembe.
Lkn sisi Kwa sisi tunapendana na tunaelewana.
Kwa kweliHuyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisimamia sheria mzee.huyu akiwa waziri kwenye utawala wa jiwe alifanya mambo ya hovyo sana.
Nidokeze mkuu. Mbali na kujiuzuruFatilia viambata vya ukomo wa ubunge
Lkn kumbuka akipewa uteuzi tu anakuwa zoba wa kupima samaki kwa rulaJamaa ana akili , yaan ukisikia tofauti ya Education na Intelligence ndo hii.
Jamaa Si tu ana Elimu, la Hashaa , ana uelewa mkubwaa kwelikweli, anaongea Point mwanzo mwisho ,na huoni akijichanganya
Sisi wenye akili na wachapa kazi, Huwa tunachukiwa na wajinga, wapumbavu, wavivu na wazembe.
Lkn sisi Kwa sisi tunapendana na tunaelewana.
Wewe ndo mjinga kumwamini MpinaWewe ni Moja ya wajinga nlowaandika hapo juu, ni kwann mjinga anamchukia mwerevu
Na ht ss bado ni jitu la hovyo sana!huyu akiwa waziri kwenye utawala wa jiwe alifanya mambo ya hovyo sana.
Kama naanza kukuelewa vile!!! Lakini, hawa watu...Mungu ndiye anajua.Huyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
maccm watamzimisha subiri tu"Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa
Katika bunge hili hakuna mwingine kama Luhaga Mpina. Kuna wakati huwa najiuliza hivi huyu ni mbunge wa CCM kweli!Huyu Luhanga sii mbunge wa jimbo kama tunavyofikiri.
Huyu ni mbunge wa taifa[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu jamaa anahitaji ulinzi wa watanzania wote. anawasemea watu wengi sana."Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa
Mkuu ukute huyo naye kamaliza chuo lakin ndo hivyo.Umemchoka wewe Nani, acha kuunganisha wengine kwenye uzembe na uvivu wako wa kufikiri.
Mwenye akili huwezi kuchoka hoja za kitaifa Kama za Mpina.
Wapumbuvu kama nyie mnatia hasira sana
Naona hawana majibuMbunge wa Kisesa mh Mpina amehoji Muwekezaji DP World amewekeza kiasi gani Bandarini?
Mlale Unono [emoji1]
Tunasubiri na ya uwanja wa ndege wa KIA !!"Mkataba wa bandari kati ya TPA (Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania) na DP World hadi hivi sasa Waziri ameshindwa kueleza huyu DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi? Na anakwenda kuwekeza maeneo gani.
Kama tathimini imeshafanyika kuna shida gani kutueleza huyo DP WORLD anakwenda kuwekeza shilingi ngapi?
Na tathimini imefanywa na nani kuthibitisha mahitaji ya uwekezaji tunaoutaka" Luhaga Mpina, Mbunge wa jimbo la Kisesa