Sakata la DP WORLD bado kizungumkuti, Mbunge Luhaga Mpina ahoji uhalali wa Mkataba Bungeni

Point noted
 
Lkn kumbuka akipewa uteuzi tu anakuwa zoba wa kupima samaki kwa rula
 
maccm watamzimisha subiri tu
 
huyu jamaa anahitaji ulinzi wa watanzania wote. anawasemea watu wengi sana.
 
Umemchoka wewe Nani, acha kuunganisha wengine kwenye uzembe na uvivu wako wa kufikiri.

Mwenye akili huwezi kuchoka hoja za kitaifa Kama za Mpina.

Wapumbuvu kama nyie mnatia hasira sana
Mkuu ukute huyo naye kamaliza chuo lakin ndo hivyo.
Yan sijui nini kimelipata taifa kias kwamba mtu anajua ku log in jf lakin badala ya hoja andeal na mtoa hoja! Tunataraji aliyeko humu kuna mstari ameshavuka wa ujinga na upumbavu.
 
Tunasubiri na ya uwanja wa ndege wa KIA !!
Luhaga shikilia na hii pia !
Kwakweli iko kazi !! 😱😱😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…