Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge

Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge

Naisikia hata ile mahakama ya Marekani iliyoipa ushindi VIP nayo imekula Escrow.
 
Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la ESCROW. Mtakumbuka kuwa IPTL na PAP walitoa taarifa ya kupinga maazimio hayo na kuyaita ni ya kipuuzi.

Inaonekana IPTL na PAP wametafskari vya kutosha na wameona kuwa kuna haja ya Mahakama Kuu kutoa ufafanuzi juu ya maazimio hayo hasa kutokana na kuonekana kuwa yanaingilia mihimili mingine ya dola na yanajichanganya.

Source: TBC1

Unaweza kujitetea kwa mengi...kwamba unachofanya ni sehemu ya siasa za mtandaoni za Tanzania

Unaweza kuiridhisha nafsi yako na kuufurahia uhuru na uficho wa utambulisho wako humu mtandaoni..

Nimefuatilia post zako nyingi sana

I tell you one thing; HISTORIA NA VIZAZI VYA HII NCHI VITAKULAANI
 
Kwaiyo wamekwenda kumwekea raisi zuio asifanyie kazi maazimio
 
Unategemea waamue infavour of PAC wakati nao walilamba? Hii issue itaifikisha nchi pabaya
 
Niliwaambia kuwa kesho uwenda azungumzia uchaguzi tu wa serikali za mitaa... Sasa kama shauri liko mahakamani tena mahakama kuu... Hiyo ni kick ya kutoongelea masuala ya maazimio ya Ubunge.
 
Wenye uamuzi wa mwisho kwa kila kitu ni wananchi,kupitia bumge letu. Hutunga sheria na kuipa mahakama, huisimamia serilaki kwa niaba yetu. Washindwapo tunawaprron moja baada ya mwingine ama hata wote, wana uwezo wa kuitoa serilaki kwa kupiga kura kutokuwa na imani nayo. Na kama yote yakishindikana, wananchi bado tuna uwezo tuna uwezo wa kumtoa hata rais tukiamua.
 
Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la ESCROW. Mtakumbuka kuwa IPTL na PAP walitoa taarifa ya kupinga maazimio hayo na kuyaita ni ya kipuuzi.

Inaonekana IPTL na PAP wametafskari vya kutosha na wameona kuwa kuna haja ya Mahakama Kuu kutoa ufafanuzi juu ya maazimio hayo hasa kutokana na kuonekana kuwa yanaingilia mihimili mingine ya dola na yanajichanganya.

Source: TBC1


Jk na mtoto wake Khalifa Jakaya.jpgView attachment 212053
 
Watanzania bado tupo nyuma kwenye Capitalism. Hasara tuliyoipata kwa kushtakiwa na DOWANS ni matokeo ya wanasiasa wanaojiona ni wataalamu kwa sababu tu walishaenda semina.
Tutajifunza tu, taratibu.
Subiri tupigwe tena. Bongo ndio sehemu ya madili.
 
Mahakama kuu ya tanzania ni mojawapo ya Chombo cha hovyo kabisa kwa rushwa
 
Cha muhimu vijana tufanye mabadiliko ww unaedai ccm imekukuza kaombe nafasi ya kugombea ubunge bagamoyo Kwa raise wako ila huku Kimara hatuna raisi
 
Unaweza kujitetea kwa mengi...kwamba unachofanya ni sehemu ya siasa za mtandaoni za Tanzania

Unaweza kuiridhisha nafsi yako na kuufurahia uhuru na uficho wa utambulisho wako humu mtandaoni..

Nimefuatilia post zako nyingi sana

I tell you one thing; HISTORIA NA VIZAZI VYA HII NCHI VITAKULAANI

Mkuu, naona una kazi kweli ya kufuatilia posts za wenzako. Haya nambie nini umenufaika na kazi hiyo? Na ni nani anakulipa?
 
Back
Top Bottom