Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
Tetty umezungumza ukweli ikulu ndipo wezi wanapofichama
Hapa dawa ni moja tu: Kuifutilia CCM mbali kwa njia ya sanduku la kura!
Hivi vichwa vya ccm bana tabu tupu,PAC inawajumbe 19,Taarifa yao imejadiliwa na wabunge zaidi ya 350 including mawaziri na makada wa ccm na mwisho kufikia maamuzi yaliyofikiwa,wewe na elimu yako ya kuunga unga unakuja na uharo hapa.Ukweli utazidi kubainika vizuri ndipo hapo tutajua kuwa PAC ni mbugila wa hali ya juu.
tusione aibu watanzania kusema mahakama yetu ni chafu. huku ikitambua bunge ndio muhimili mkuu tumeona kwa uchungu mahakama ikijaribu kuzuia bunge lisifanye kazi hivi majuzi ili kuwalinda wezi waliothibitika kukwapua kiwanda na mabilioni fedha ya umma. eti sasa hao wezi wameenda tena mahakamani kuzuia maazimio ya wananchi kupitia bunge lao yasitekelezwe. mahakama sasa imekua mwizi wa haki badala ya kutoa haki. si muda mrefu mahakama itadhagrauliwa kabisa jambo ambalo ni hatari kwa taifa. mahakama imekua imewekwa ganzi kufanya haki kwa mambo ya umma na tumekua tunaona wezi na matapeli wa nchini na kimataifa wakipewa ruksa na mahakama kutia taifa kabali kutokana na hukumu za kustaajabisha. kuanzia richmond dowans iptl wananchi tumeshuhudia maslahi ya umma yakibwaga mahakamani mfililizo huku wanasheria wetu wakilipwa mabilioni. sasa kwa hili la escrow tunasema wananchi kupitia wawakilishi wao wameamua. kama mahakama ni biashara kwa escrow wameliwa na tunamuonya rais wa jamhuri kama akitetereka. jaji mkuu ana kazi ya kusafisha nyumba yake, hakika ni chafu kabisa
nawahi mahakamani nishuhudieusikimbie weee, andika kwa uzuri plus mpangilio (paragraph).
We punguani watu tumesha acha kuangalia TBC1 hilo ni danguro la ccm, hawawezi ikosoa ccm jambo ambalo ni baya sana. Pili, mahakama za Tanzania hazina uwezo kisheria kutoa maamuzi juu ya sakata la ESCROW kwasababu mkataba ulifungwa chini ya mahakama ya kimataifa ya biashara, na hawa ndiyo wanapaswa kutujulisha ikiwa IPTL imelipwa au la, na siyo mahakama ya Tanzania; hili fahamu kabla haujaleta mada za kipumbavu huku jf.Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la ESCROW. Mtakumbuka kuwa IPTL na PAP walitoa taarifa ya kupinga maazimio hayo na kuyaita ni ya kipuuzi.
Inaonekana IPTL na PAP wametafskari vya kutosha na wameona kuwa kuna haja ya Mahakama Kuu kutoa ufafanuzi juu ya maazimio hayo hasa kutokana na kuonekana kuwa yanaingilia mihimili mingine ya dola na yanajichanganya.
Source: TBC1
Wanahangaika. Kumbuka pia muda mfupi kabla ya bunge kujadili suala hili walienda mahakamani na sasa muda mfupi kabla rais haja huku wa hatua wanakimbilia tena mahakamani. Ninatumaini mahakama italiona hili kuzuia mgangano usio wa lazima kati ya mihimili ya dola.Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la ESCROW. Mtakumbuka kuwa IPTL na PAP walitoa taarifa ya kupinga maazimio hayo na kuyaita ni ya kipuuzi.
Inaonekana IPTL na PAP wametafskari vya kutosha na wameona kuwa kuna haja ya Mahakama Kuu kutoa ufafanuzi juu ya maazimio hayo hasa kutokana na kuonekana kuwa yanaingilia mihimili mingine ya dola na yanajichanganya.
Source: TBC1
Hivi vichwa vya ccm bana tabu tupu,PAC inawajumbe 19,Taarifa yao imejadiliwa na wabunge zaidi ya 350 including mawaziri na makada wa ccm na mwisho kufikia maamuzi yaliyofikiwa,wewe na elimu yako ya kuunga unga unakuja na uharo hapa.
Tusione aibu watanzania kusema mahakama yetu ni chafu.
Huku ikitambua bunge ndio muhimili mkuu tumeona kwa uchungu mahakama ikijaribu kuzuia bunge lisifanye kazi hivi majuzi ili kuwalinda wezi waliothibitika kukwapua kiwanda na mabilioni fedha ya umma. Eti sasa hao wezi wameenda tena mahakamani kuzuia maazimio ya wananchi kupitia bunge lao yasitekelezwe. Mahakama sasa imekua mwizi wa haki badala ya kutoa haki. si muda mrefu mahakama itadharauliwa kabisa jambo ambalo ni hatari kwa taifa.
Mahakama imekua imewekwa ganzi kufanya haki kwa mambo ya umma na tumekua tunaona wezi na matapeli wa nchini na kimataifa wakipewa ruksa na mahakama kutia taifa kabali kutokana na hukumu za kustaajabisha.
Kuanzia richmond dowans iptl wananchi tumeshuhudia maslahi ya umma yakibwagwa mahakamani mfulilizo huku wanasheria wetu wakilipwa mabilioni kwa kushindwa kesi. sasa kwa hili la escrow tunasema wananchi kupitia wawakilishi wao wameamua. Kama mahakama ni biashara kwa escrow wameliwa na tunamuonya rais wa jamhuri kama akitetereka.
Jaji mkuu ana kazi ya kusafisha nyumba yake, hakika ni chafu kabisa
Well said. You have made my day.Popote ulipo Habinder Singh Seth hakikisha unakwamisha maazimio ya Bunge letu TUKUFU ili mziki huu uwe mnene mwaka mzima mpaka uchaguzi MKUU utasaidia sana na watanzania wengi watakuwa wameamka juu ya wizi wa kutisha uliofanywa.JK na wewe kaa kimya ili watu wawe na akili maana uvivu wa kufikiri kwa watanzania ni mkubwa ili wajue kama wameibiwa wanatakiwa hata wakienda hospitali Wafie milangoni maana Dawa hakuna,UMEME upande ikiwezekana watu walipe laki mbili na nusu kwa mwez.maana hili TAIFA ni la Vilaza.kikwete oyeeeeeeee,Harbinder Singh Seth oyeeeeeeeee,maisha magumu kwa kila MTANZANIA safiiiiiiiiiiiiiii.
na mimi naombea hivyo,hali izidi kuwa mbaya zaidi labda ndio wajinga watapata akiliPopote ulipo Habinder Singh Seth hakikisha unakwamisha maazimio ya Bunge letu TUKUFU ili mziki huu uwe mnene mwaka mzima mpaka uchaguzi MKUU utasaidia sana na watanzania wengi watakuwa wameamka juu ya wizi wa kutisha uliofanywa.JK na wewe kaa kimya ili watu wawe na akili maana uvivu wa kufikiri kwa watanzania ni mkubwa ili wajue kama wameibiwa wanatakiwa hata wakienda hospitali Wafie milangoni maana Dawa hakuna,UMEME upande ikiwezekana watu walipe laki mbili na nusu kwa mwez.maana hili TAIFA ni la Vilaza.kikwete oyeeeeeeee,Harbinder Singh Seth oyeeeeeeeee,maisha magumu kwa kila MTANZANIA safiiiiiiiiiiiiiii.