Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
Tetty umezungumza ukweli ikulu ndipo wezi wanapofichama
Sasa wewe unataka wote waliotuhumiwa mpaka sasa wangekuwa wapo ndani how? kwa detention law ? au sharia hizi hizi maana wakati mwingine inashangaza sana mtu hana imani na mahakama za Tanzania lakini hapo hapo anataka watuhumiwa wote wawekwe ndani kwa njia ipi? kwa sababu zito kasema au bunge?