Gwajima kaambiwa kazaa nje ya ndoa sawa tumekubali na mtoto tumemwona....atawajibishwa kwa kanuni za Manisa lakeGwajima akimshambulia Makonda mnashangilia, mashambulizi yakijibiwa mnalalamika ?!
Mshauri BASHITE aoneshe cheti chake kwanza!we gonga safaari zako achana na manabii wa uongo
maneno ya nini wakati ,una DNA?Mshauri BASHITE aoneshe cheti chake kwanza!
Kama nguvu za giza ndizo zimemfichua Bashite. Safi sana Mzee Gwajima. Endelea..........Usiwe mwehu na wewe, Gwajima si mtumishi wa Mungu bali ni tapeli tu anayesingizia kazi ya Mungu huku nyuma anafanya unyama. Gwajima inabidi awe jela, ana maovu mengi sana ayatendayo. Alimbaka Flora Mbasha na huyu dada wa jana, na wengine wengi tu watakuja kulalamika. Aliwadanganya watoto wa kaka yake mwaka jana kuwa atamfufua baba yao (kaka yake), mpaka leo holaaaaa, zile dawa za kufufua misukule yake zimekwisha nguvu mpaka arudi Nigeria kuongeza nguvu za giza.
Movie limebumaaaaaa
Sterling kafia kwenye maua
chetWana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...
-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?
-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?
-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?
-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?
-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?
-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?
-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?
Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Gwajima anasema kuzaa yeye anazaa Kiroho Na Kimwili. Tena angekuwa hivyo angechagua mzuri siyo kichaa.Zote ni hoja.
Makonda lete cheti cha form 4
Gwajima lete majibu ya DNA Test
-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?
-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?
Hiyo DNA ikapimiwe wapi?Crip ndio nini?
Mwambie basi Gwajima akapime DNA halafu awashitaki shilawadu kwa kumchafua
Waliopata zero miaka ile walikuwa hawapewi vyeti. Labda siku hizi DIVISION FIVE wanapewa.
Ndio maana anazua vituko kila uchwao.....badala kutoa cheti anajua ndio mwisho wake!! Anatapa tapa haswaaaa
Sasa yeye aonyeshe kipi? Cha Paul Christian?
Gwajima ameshawaibu kuwa yeye mwanaume anazalisha!!! Makonda anaweza kuzalisha??? Anaemtuma ana watoto kila mtaaa hadi ma HG wake alizaa nao!!! Sas Shida kwake asie na uwezo wa kuzalisha mwanamke.....anatoa pofuuuHiyo DNA ikapimiwe wapi?