Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu

Leo umechambua Kama sio mfia dini.
 
Waarabu wana roho mbaya kuliko Wayahudi,sema tu Waarabu wanazidiwa uwezo wa kivita na Wayahudi ndio maana mambo yanakuwa stable.Vinginevyo waarabu wangekuwa na uwezo Wayahudi wasingekuwepo!
 
Matukio ya kisiasa ,kiuchumi, kimazingira, kidini, au hata ya kijamii yanayotukia katika dunia hii ya sasa, naamini pasi na shaka yanakuwa yamepangwa na kikundi cha watu wachache wenye nguvu ya kimadaraka na kifedha ili kutimiza ajenda kuu za kishetani.

Kama huamini, tizama kwa umakink hichi kibonzo katika jarida maarufu la 'The Economist ' kilichochapishwa miaka michache iliyopita.

Note: Israel na hamas wakipigana katika namna ambayo hamas waliitumia kuishambulia Israeli.
 
Fursa zipi kwa mfano
Eti fursa za viwanja vya michezo. Anatafuta watu na nchi za kuwaunga mkono hamas na palestina. Hatuhitaji fursa za namna hiyo. Tanzania tutaendelea kuwa nchi isiyofungamana na upande wowote. Hata tukikemea mauaji, ukatili,uasi, uonevu na kadhalika tutakemea, lakini si kwa minajili ya kujipatia chochote. Hizo fursa zao labda wapeleke Lebanon huko.
 
People are confusing different positions. Palestine is a "Geographical Area and not a Country" and has NEVER BEEN A COUNTRY. The name Palestine comes from the old Greek-Roman occupying power which has occupied various areas in the Middle East. It is like, for example, "Balkans" it is neither a country but a Geographical area. Israel is a country with its several thousand years of history with different Kings and dignitaries who fought for several thousand years with different Occupying Powers. Israel has its own "Unique Language" and Culture payment Coins and millions of archaeological recordings. Israel is one of the oldest countries on our planet.
 
hizo stori wanapigwa watoto gaza mmebana pumbu hakuna taifa la kiarabu linalopeleka msaada halafu mnasema wamoja.Gaza inakuwa majivu,Usicheze na wazayuni.
Tunaishi kwa maandiko na historia... tunapachikwa iman na zinakuwa thabit mpaka tunaamua kuyaishi maisha ya kufikirika.

Hakuna ajuaye kama kweli au sound...
 
Pale pametulia una uhakika au ndo unskaa kwwa shemeji unakula bure haujui yanayotekea ,hivi unajua hamasi ni kama wako jela
 
Hana cha National Security, Israel ni mke waliyeambiwa kaa hapa akakaa. Hana kauli mbele ya mumewe.

Hiyi siyo "news" hiyo ni 'analysis" ya FaizaFoxy.

Unafikiri kila unachokiona kwenye mtandao ni "news"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Faizafoxy aka bibi kikongwe Mbweha
 
Hiyo ya hamas ni mpango uliosukwa na US na Israel ule.
Yaani Israel atengeneze makusudi tu dili la Hamas kuua raia wake karibu elfu wasio na hatia, na mamia wengine watekwe?!
Em kuwa serious basi
 
Yaani Israel atengeneze makusudi tu dili la Hamas kuua raia wake karibu elfu wasio na hatia, na mamia wengine watekwe?!
Em kuwa serious basi
Hapana, game haijachezwa hivyo, imechezwa kiasi Wapalestina waone wamepata upenyo wautumie.

Kumbukuka "Hamas" linatajwa sana ili watu wasaghau kama tatizo ni Wapalestina na Israel.

Hiyo ni kama samaki katupiwa chambo, matokeo? Wapalestina wakaitumia fursa na ndiyo Israel wakachochewa na US, mkiwaacha hawa watarudi tena, wamalizeni kabisa, sisi tupo na nyinyui. US kasogeza Maowari za kivita, anaendelea kutuma silaha na intelijensia za sattellite kila kukicha.

Ni game kubwa hiyo ya Hollywood.
 
Aiseeeeee!
 
Unaweza kututhibitishia hili tafadhali?
Pitia mtandao kabla ya tarehe 7/10 ujionee. Kilichokuwa kinaendelea.

Ushahidi nimeanza kuuweka juu huko, nimeweka jinsi MBS na Biden wasivyo wiva chungu kimoja, tazama post #19. Ntaendelea kuwaletea vitu kidogo kidogo.
 
Okay, a bit sensible..
Sasa, Saudi Arabia kutafutwa kunaingiaje hapo?!
 
Okay, a bit sensible..
Sasa, Saudi Arabia kutafutwa kunaingiaje hapo?!
Unajuwa USA kipato chake kikubwa cha nje anategemea biashara za vita. Ulinzi na silaha. Saudi Arabia MBS aligoma kuendlea kutowa pesa, akaparana na Iran akagoma kupunguza kiwango cha kuzalisha mafuta ili bei zipande.

Ikawa picha haiendi MBS na Biden, na Wamarekani kama kawaida yao, kama haupo nao basi ni adui yao. Kama hufanyi nao biashara kihiyari waingize pesa, watakutowa tu madarakani kwa njia yoyote ile, mradi uchumi wao uendelee kuwa na nguvu. Huwezi kinyangarakata mmoja ukateteresha uchumi wao wakakuwachia.
 
Pia kwa MBS kuna laana za kuwafunga mashekh.
Wale masheikh walikuwa wanafungwa sababu ya ugomvi wake na iran ni masheikh wa kishia sasa hv wameelewana hakuna hayo mambo.
 
Unajua lakini km saudi arabia kajiunga na brics?na usa alikuwa anamlinda saudia dhidi ya iran hakuna adui mwengine wa saudia na sasa hv wameshaelewana anabaki analinda nn na alikuwa anauza silaha nyingi saudia sababu ya uoga wa kuvamiwa na iran sasa hv vitisho hakuna amepoteza soko la silaha hapo ndio hasira zinapoanzia.
 
hujui hata kusoma nyakari. anayetafutwa hapo ni IRAN. marekani hawezi hata siku moja kuifanyia hivyo saudia kwasababu ni mshirika wake mkubwa sana. hapo anatafutwa iran na muda si mrefu kibuyu kitapasuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…