Sasa unaweza kumuweka mwanasheria kilaza kama Jerry Silaa na chuma cha pua Dickson MatataHuyu ni lawyer anayelipwa na kutetea hata upuuzi wowote, wewe naye mpost mada hujui kitu, do you know lawyers once paid they can defend anything hata kama umeua wao watakutetea ili hali wanajua utafungwa maisha au kunyongwa hadi kufa, huyo ni bush lawyer anatetea hela zake, tumia akili, acha kupost kila kitu ukiona, think first..!!
Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napoHuko Mbezi Africana, Salasala na maeneo jirani kuna mtandao mkubwa wa watu kuvamia na kupora ardhi na kughushi nyaraka.
Waziri analijua hilo.
Kuna watu wamekufa kwa kupoteza ardhi zao kwa matapeli hao wa ardhi.
WatanzanNi ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.
Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!
Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya
View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ
Huyo wakili amelipwa pesa, anatoa jasho na mishipa, anatetea uovu. Nchi hii imejaa wahuni tupu, ambao wanakutapeli wanaleta mawakili waongo kama huyu. Aende mahakamani sasa.Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.
Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!
Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya
View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ
Ni kweli kabisa mkuu. JPM alipambana kusaidia watu lakin kelele zilitoka, kila sehemu kumpinga.Ni kazi sana kuwa kiongozi Tanzania......ndio maana viongozi wanaamua tu kushughulikia matumbo yao tu.......
Nimewahi shindana nao sana washenzi hawa, Nguzo yao kubwa huwa ni title deed, wakiletwa kwenye historia ya eneo huwa wanakwama by 100%, mara nyingi husaidiwa na wanasheria kununua eneo la wizi, ( IFIKE PAHALA WANASHERIA WANAOSAIDIA WIZI AU UTAPELI WAADHIBIWE KAMA WAHALIFU WOWOTE WALE)Tapeli wa ardhi unampeleka mahakamani????
Huko utazungushwa hata miaka 50 bila bila
Wapigaji wa ardhi wao mahakamani wala hawana wasi napo.....
Ova
Matajiri huwa hawakai karibu na masikini kukwepa mazingira ya wivu, fitna, majungu, uchawi, masikini huwa anaamini tajiri hana utajiri wa halali, au mali ya halali, anaamini kuwa masikini, basi uko sahihi kwa kila kitu, na huwezi kudhulumu.Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napo
Ova
Utapeli huu ni chain ndefu, tapeli, wakili pengine akapewa wrong infos, maafisa ardhi, na pengine mpaka kwa kamishna kabisa!Nimemsikiliza vizuri wakili
Nimegundua vitu vifuatavyo
Kwanza kuna mtandao wa utapeli wa viwanja ambao huyo mahururu na huyo Mwanajeshi anayesema ni chake na hiyo kampuni na maafisa ardhi wakiotoa offer ni sehemu ya mtandao wa utapeli huo
Pili ninegundua kuwa kuna ugomvi wa matapeli na maafisa ardhi ,kisa cha kesi hizi nyingi ni kudhulumiana hela au viwanja.Huyo Mahururu inaonyesha wakikubaliana kitu na maafisa ardhi anawadhulumu viwe viwanja au pesa inaelekea kadhulumu sana kwa kujitia mjanja wa mjini wa utanifanya nini kwenda huko.
Tatu hicho kiwanja ghorofa lilipomolewa sio chake Mahururu hana hati ya wizara ya ardhi yenye jina lake.Hivyo sio chake kisheria
Nne hana kibali cha ujenzi chenye jina lake yeye Mahururu. Kibali cha ujenzi hakisomi jina lake sababu hana hati ya hicho kiwanja
Kifupi ukisikiliza wakili anavyoongea tu unaona kabisa anahangaika kutetea tupelo.kuanxia macho anavyoongea hsdi posture .Anajua kabisa hiyo issue utapeli mtupu
UVCCM mmejipanga pamoja na chawa wa ukonga kumtetea mtu wenu wa hovyo. Hapa anagongwa misumari ya haki, na inamuingia vizuriiiiNimewahi shindana nao sana washenzi hawa, Nguzo yao kubwa huwa ni title deed, wakiletwa kwenye historia ya eneo huwa wanakwama by 100%, mara nyingi husaidiwa na wanasheria kununua eneo la wizi, ( IFIKE PAHALA WANASHERIA WANAOSAIDIA WIZI AU UTAPELI WAADHIBIWE KAMA WAHALIFU WOWOTE WALE)
Anayo hatimiliki? Mbona swali unakwepa?Matajiri huwa hawakai karibu na masikini kukwepa mazingira ya wivu, fitna, majungu, uchawi, masikini huwa anaamini tajiri hana utajiri wa halali, au mali ya halali, anaamini kuwa masikini, basi uko sahihi kwa kila kitu, na huwezi kudhulumu.
Wengi wakishatoboa kimaisha wanahama uswekeni, wanaenda uzunguni
Ana hati miliki imetolewa mwezi wa tatu 1987, ya huyo mama wa jerry silaa ikatolewa miezi kama minne baadae mwaka 1987, tumia kichwa kufikiri, sio kubebea mafua.Anayo hatimiliki? Mbona swali unakwepa?
Hujawahi ibiwa ardhi wewe, kaa kimya! Hapa ni uwajibikaji mambo ya chama weka pembeni.UVCCM mmejipanga pamoja na chawa wa ukonga kumtetea mtu wenu wa hovyo. Hapa anagongwa misumari ya haki, na inamuingia vizuriiii
Hana hatimiliki. Mimi nina uhakika huo.Ana hati miliki imetolewa mwezi wa tatu 1987, ya huyo mama ikatolewa miezi kama minne baadae mwaka 1987, tumia kichwa kufikiri, sio kubebea mafua
Kuna jamaa hapo ana vijana wengi wa mtaani anawatuma kavamie pale anawasaidia kughushi nyaraka.Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napo
Ova
Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broilerKuna jamaa hapo ana vijana wengi wa mtaani anawatuma kavamie pale anawasaidia kughushi nyaraka.
Anawaambia akijitokeza mwenyewe akileta documents tu wanatumia mwanya huo kwenda kutengeneza zao wanafanya 'back date'.
Kisha dogo aliyevamia anamuuzia huyo jamaa tapeli kubwa wakati kesi inaendelea anakuja kujenga.
Kama mmiliki halali ulijenga chochote wanakuja kuvunja na mabaunsa.
Hao watu wanajulikana sana, kipindi cha Magufuli baadhi waliitwa kitengo cha kufutilia nyaraka za kughushi wengi wakakimbilia mafichoni mikoani na kubadili simu.
Mleta mada huenda hajui au anafanya siasa kitu ambacho ni hatari. Ipo siku litamtokea yeye au nduguye tukio la kuvamiwa eneo lake au nyumba kabisa atakuja kuilalamikia serikali haifanyi kazi.
Acheni siasa kwenye jambo baya kama hili.Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broiler
Huko Mapinga, Kerege hakufai sitaki eneo hata bure.Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broiler