Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Sakata la Jerry Silaa kuvunja majumba ya watu nchi nzima: Johnson Mahululu aidai serikali ya Tanzania bilioni 20

Huyu ni lawyer anayelipwa na kutetea hata upuuzi wowote, wewe naye mpost mada hujui kitu, do you know lawyers once paid they can defend anything hata kama umeua wao watakutetea ili hali wanajua utafungwa maisha au kunyongwa hadi kufa, huyo ni bush lawyer anatetea hela zake, tumia akili, acha kupost kila kitu ukiona, think first..!!
Sasa unaweza kumuweka mwanasheria kilaza kama Jerry Silaa na chuma cha pua Dickson Matata
 
Huko Mbezi Africana, Salasala na maeneo jirani kuna mtandao mkubwa wa watu kuvamia na kupora ardhi na kughushi nyaraka.
Waziri analijua hilo.
Kuna watu wamekufa kwa kupoteza ardhi zao kwa matapeli hao wa ardhi.
Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napo

Ova
 
Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.

Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!

Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya



View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ

Watanzan
Ni ubatili mtupu na uonevu. Tulisema haya mambo iachie Mahakama itoe haki. Jerry Slaa hawezi kutoa haki maana hana mamlaka ya kutoa haki. Anaweza aka-initiate process ya kupatika haki na si kutoa maamuzi kama vile yeye ni mahakama. Mfano kuvunja Ghorofa ya mtu bila amri ya Mahakama.

Sikiliza kisa cha kuhuzunisha cha ukiukwaji Mkubwa wa Haki uliofanywa na Jerry Slaa!

Verry unpleasant kwa mtu wa level ya kwake kufanya alichokifanya



View: https://youtu.be/xTWIKdgZxrQ

Huyo wakili amelipwa pesa, anatoa jasho na mishipa, anatetea uovu. Nchi hii imejaa wahuni tupu, ambao wanakutapeli wanaleta mawakili waongo kama huyu. Aende mahakamani sasa.
 
Nimemsikiliza vizuri wakili

Nimegundua vitu vifuatavyo
Kwanza kuna mtandao wa utapeli wa viwanja ambao huyo mahururu na huyo Mwanajeshi anayesema ni chake na hiyo kampuni na maafisa ardhi wakiotoa offer ni sehemu ya mtandao wa utapeli huo

Pili ninegundua kuwa kuna ugomvi wa matapeli na maafisa ardhi ,kisa cha kesi hizi nyingi ni kudhulumiana hela au viwanja.Huyo Mahururu inaonyesha wakikubaliana kitu na maafisa ardhi anawadhulumu viwe viwanja au pesa inaelekea kadhulumu sana kwa kujitia mjanja wa mjini wa utanifanya nini kwenda huko.

Tatu hicho kiwanja ghorofa lilipomolewa sio chake Mahururu hana hati ya wizara ya ardhi yenye jina lake.Hivyo sio chake kisheria

Nne hana kibali cha ujenzi chenye jina lake yeye Mahururu. Kibali cha ujenzi hakisomi jina lake sababu hana hati ya hicho kiwanja

Kifupi ukisikiliza wakili anavyoongea tu unaona kabisa anahangaika kutetea tapeli.kuanxia macho anavyoongea hsdi posture .Anajua kabisa hiyo issue utapeli mtupu
 
Tapeli wa ardhi unampeleka mahakamani????
Huko utazungushwa hata miaka 50 bila bila
Wapigaji wa ardhi wao mahakamani wala hawana wasi napo.....

Ova
Nimewahi shindana nao sana washenzi hawa, Nguzo yao kubwa huwa ni title deed, wakiletwa kwenye historia ya eneo huwa wanakwama by 100%, mara nyingi husaidiwa na wanasheria kununua eneo la wizi, ( IFIKE PAHALA WANASHERIA WANAOSAIDIA WIZI AU UTAPELI WAADHIBIWE KAMA WAHALIFU WOWOTE WALE)
 
Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napo

Ova
Matajiri huwa hawakai karibu na masikini kukwepa mazingira ya wivu, fitna, majungu, uchawi, masikini huwa anaamini tajiri hana utajiri wa halali, au mali ya halali, anaamini kuwa masikini, basi uko sahihi kwa kila kitu, na huwezi kudhulumu.

Wengi wakishatoboa kimaisha wanahama uswekeni, wanaenda uzunguni
 
Nimemsikiliza vizuri wakili

Nimegundua vitu vifuatavyo
Kwanza kuna mtandao wa utapeli wa viwanja ambao huyo mahururu na huyo Mwanajeshi anayesema ni chake na hiyo kampuni na maafisa ardhi wakiotoa offer ni sehemu ya mtandao wa utapeli huo

Pili ninegundua kuwa kuna ugomvi wa matapeli na maafisa ardhi ,kisa cha kesi hizi nyingi ni kudhulumiana hela au viwanja.Huyo Mahururu inaonyesha wakikubaliana kitu na maafisa ardhi anawadhulumu viwe viwanja au pesa inaelekea kadhulumu sana kwa kujitia mjanja wa mjini wa utanifanya nini kwenda huko.

Tatu hicho kiwanja ghorofa lilipomolewa sio chake Mahururu hana hati ya wizara ya ardhi yenye jina lake.Hivyo sio chake kisheria

Nne hana kibali cha ujenzi chenye jina lake yeye Mahururu. Kibali cha ujenzi hakisomi jina lake sababu hana hati ya hicho kiwanja

Kifupi ukisikiliza wakili anavyoongea tu unaona kabisa anahangaika kutetea tupelo.kuanxia macho anavyoongea hsdi posture .Anajua kabisa hiyo issue utapeli mtupu
Utapeli huu ni chain ndefu, tapeli, wakili pengine akapewa wrong infos, maafisa ardhi, na pengine mpaka kwa kamishna kabisa!
 
Nimewahi shindana nao sana washenzi hawa, Nguzo yao kubwa huwa ni title deed, wakiletwa kwenye historia ya eneo huwa wanakwama by 100%, mara nyingi husaidiwa na wanasheria kununua eneo la wizi, ( IFIKE PAHALA WANASHERIA WANAOSAIDIA WIZI AU UTAPELI WAADHIBIWE KAMA WAHALIFU WOWOTE WALE)
UVCCM mmejipanga pamoja na chawa wa ukonga kumtetea mtu wenu wa hovyo. Hapa anagongwa misumari ya haki, na inamuingia vizuriiii
 
Matajiri huwa hawakai karibu na masikini kukwepa mazingira ya wivu, fitna, majungu, uchawi, masikini huwa anaamini tajiri hana utajiri wa halali, au mali ya halali, anaamini kuwa masikini, basi uko sahihi kwa kila kitu, na huwezi kudhulumu.

Wengi wakishatoboa kimaisha wanahama uswekeni, wanaenda uzunguni
Anayo hatimiliki? Mbona swali unakwepa?
 
Hao wadhulumishi hawanaga wasi na mahakama kabisa wanajua kucheza napo

Ova
Kuna jamaa hapo ana vijana wengi wa mtaani anawatuma kavamie pale anawasaidia kughushi nyaraka.
Anawaambia akijitokeza mwenyewe akileta documents tu wanatumia mwanya huo kwenda kutengeneza zao wanafanya 'back date'.
Kisha dogo aliyevamia anamuuzia huyo jamaa tapeli kubwa wakati kesi inaendelea anakuja kujenga.
Kama mmiliki halali ulijenga chochote wanakuja kuvunja na mabaunsa.

Hao watu wanajulikana sana, kipindi cha Magufuli baadhi waliitwa kitengo cha kufutilia nyaraka za kughushi wengi wakakimbilia mafichoni mikoani na kubadili simu.

Mleta mada huenda hajui au anafanya siasa kitu ambacho ni hatari. Ipo siku litamtokea yeye au nduguye tukio la kuvamiwa eneo lake au nyumba kabisa atakuja kuilalamikia serikali haifanyi kazi.
 
Mimi najiuliza! Huyo aliebomolewa havioni viwanja visivyo na mgogoro? Mbona viwanja vyake vingi vina kesi! Shida iko wapi?
 
Tapeli akiitaka hati huipata hata kwa wiki mbili tu, utapeli ni chains.....
Mwenye haki halali utasotea sana.
[Land history matters, huu utaratibu nani alipata hati mwanzo unachochea wizi maana matapeli wapo fasta×100 zaidi katika kupata hati.]
 
Kuna jamaa hapo ana vijana wengi wa mtaani anawatuma kavamie pale anawasaidia kughushi nyaraka.
Anawaambia akijitokeza mwenyewe akileta documents tu wanatumia mwanya huo kwenda kutengeneza zao wanafanya 'back date'.
Kisha dogo aliyevamia anamuuzia huyo jamaa tapeli kubwa wakati kesi inaendelea anakuja kujenga.
Kama mmiliki halali ulijenga chochote wanakuja kuvunja na mabaunsa.

Hao watu wanajulikana sana, kipindi cha Magufuli baadhi waliitwa kitengo cha kufutilia nyaraka za kughushi wengi wakakimbilia mafichoni mikoani na kubadili simu.

Mleta mada huenda hajui au anafanya siasa kitu ambacho ni hatari. Ipo siku litamtokea yeye au nduguye tukio la kuvamiwa eneo lake au nyumba kabisa atakuja kuilalamikia serikali haifanyi kazi.
Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broiler
 
Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broiler
Acheni siasa kwenye jambo baya kama hili.
Yapo mengi tu ya kumkosoa Jerry Slaa au serikali au CCM au Mh. Samia lakini siyo hili la kusitisha uvamixi na utapeli wa ardhi.
 
Hebu lala huko mapinga ufuge kuku zako za broiler
Huko Mapinga, Kerege hakufai sitaki eneo hata bure.
Nimepoteza hekari kadhaa wahusika viongozi wa serikali za mtaa/Kijiji na matapeli walikuwa wafanyakazi wa zamani wa ardhi.
 
Back
Top Bottom