chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #121
Sasa unaweza kumuweka mwanasheria kilaza kama Jerry Silaa na chuma cha pua Dickson MatataHuyu ni lawyer anayelipwa na kutetea hata upuuzi wowote, wewe naye mpost mada hujui kitu, do you know lawyers once paid they can defend anything hata kama umeua wao watakutetea ili hali wanajua utafungwa maisha au kunyongwa hadi kufa, huyo ni bush lawyer anatetea hela zake, tumia akili, acha kupost kila kitu ukiona, think first..!!