Sakata la jezi feki mhusika anaogopwa ,serikali imeshindwa kumtaja vilabu vimeshindwa kumtaja ,polisi tutajieni huyo mtu ninani?

Una tabia na akili za kimaskini
Mkuu kwanza umekula?
Umaskini wangu upo palepale ila mungu yupo anasaidia kokote nilipo.
 
Usiwahukumu kwenye hili ,kwani hakuna ushahidi wala uthibitisho isipokuwa dhana tu.
Huo ushahidi utautoa wapi. Ushahidi pekee Ni hizo nyaraka za uagizaji na mwagizaji mwenyewe.
 
Tunataka maendeleo afu magendo, wizi, na kuwaficha watu waovu kama hao unafanyika live live. Hapo lazima watakua na uhusiano na maswala ya utawala. Angekua mtu wa chini aisee angekoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…