Most likely zimechotwa mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo maana alikuwa hajafanya utaratibu wa kuzificha!
Moja ya watu waliokuwa wanakingiwa kifua na ikulu awamu iliyopita.
Siku serikali ikiamua kupambana na ufisadi kwa dhati kabisa ndo tutasonga mbele.
Haya yamefanyika katika utawala wa rais mzalendo. fyoko fyoko fyoko. tuliwaambia wanaiba mkatuona hamnazo
Akili ya aina hii unawezaje kumlaumu? Yaani hata wewe unawaza wizi na kuficha wizi wako. Typical of lamebrain!Naweka ndani nachimba shimo nasakafia na zege. Natoa ninazohitaji kila baada ya miaka miwili.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Moja ya watu waliokuwa wanakingiwa kifua na ikulu awamu iliyopita.
Siku serikali ikiamua kupambana na ufisadi kwa dhati kabisa ndo tutasonga mbele.
Wajinga ni wengi.Unachota hela kwa Magufuli au Samia?Anastahili yatakayo mkuta kwa ujinga wake.Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana huko Jersey au Switzerland kama yule mzee.
View attachment 1738385
Hiyo ni hadithi ya kubuni tu! Alikingiwa kifua wapi? Kuna ufisadi alioshiriki ukaeleweka na akakingiwa kifua? Tusiumbe maelezo ya kijinga kuwafanya watu waone watendaji wote walioteuliwa na Magufuli ni wezi. Yaani unajisahaulisha wizi wa kubeba pesa kwenye viroba!Moja ya watu waliokuwa wanakingiwa kifua na ikulu awamu iliyopita.
Siku serikali ikiamua kupambana na ufisadi kwa dhati kabisa ndo tutasonga mbele.
Sasa atasababisha wenzake wazimwage barabarani kwa kiwewe , maana wakiweka ndani moto wakipeleka benki hatari, watatembea nazo kwenye V8 mpaka wapagawe.
kabisa wenzao tupo kitaa mwaka wa 10 bila ajiraAiseee kuna watu hawana huruma kwa kweli, yani hela zote hizo unajimegea mwenyewe!!!
bado anamtetea eti anasema izo pesa zilichotwa baada ya jiwe kufaMhh, halafu kina Nyani Ngabu walimuona msukuma mwenzao alikuwa mtakatifu eti.
Uko sahihi sana! Kama ni kushambuliana kisiasa, hakika Vyama hivi vya akina Lissu tungetaka kujua ruzuku ziko wapi, zimefanya nini? Wao wenyewe wezi halafu wanazomea kukamatwa mtendaji wa serikali. Lissu aliyekuwa anawatoza wenzake milioni 20 kama gharama ya uwakili, leo hii anazomea!UKweli ni kwamba waliosoma kokote walipo nchi hii wanahangaika usiku na mchana kutafuta nafasi ya wizi. Ni aibu kwamba ktk jambo hili tunalijadili kisiasa. Eti, hata wizi wa huyu ni wizi wa aliyemteua, inakuwa kwamba alisema nimemteua malaika.
Tunajisahau kwamba vyama vingine wanaoongoza kwa kulalama, hata kusema wizi wa viongozi wao ni kama blasphemy! Hata wakihisiwa tu wanasaidiwa kujitetea badala ya kuwalazimisha wajitetee.
Naamini atakuwa amesoma kwenye gazeti na msemaji wa TAKUKURU kathibitisha. Au?
Tuliwaambia Mara kadhaa kwamba Mahakama ya Mafisadi ilinyimwa wateja na walioianzisha,wakawashtaki wasiohusika na ufisadi ili ionekane kuna mashtaka ya ufisadi na mafisadi wakalindwa na system. Mambo yaliyotendwa na awamu ya jiwe yanafuta hata sifa kidogo ilizostahili.Moja ya watu waliokuwa wanakingiwa kifua na ikulu awamu iliyopita.
Siku serikali ikiamua kupambana na ufisadi kwa dhati kabisa ndo tutasonga mbele.
Huwezi iba pesa kizembe hivyo. Wezi wapo tu hata ukikemea wataendelea kuwepoAkili ya aina hii unawezaje kumlaumu? Yaani hata wewe unawaza wizi na kuficha wizi wako. Typical of lamebrain!
Hatari sanakabisa wenzao tupo kitaa mwaka wa 10 bila ajira
UKweli ni kwamba waliosoma kokote walipo nchi hii wanahangaika usiku na mchana kutafuta nafasi ya wizi. Ni aibu kwamba ktk jambo hili tunalijadili kisiasa. Eti, hata wizi wa huyu ni wizi wa aliyemteua, inakuwa kwamba alisema nimemteua malaika.
Tunajisahau kwamba vyama vingine wanaoongoza kwa kulalama, hata kusema wizi wa viongozi wao ni kama blasphemy! Hata wakihisiwa tu wanasaidiwa kujitetea badala ya kuwalazimisha wajitete