Naweka ndani nachimba shimo nasakafia na zege. Natoa ninazohitaji kila baada ya miaka miwili.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hivi huyo jamaa ndio imamu wenu au mchungaji? maana mbele yake hamuohoji, amuulizi maswali wala uhalali wa anachowaambia.Jiwe na maswahiba wake ndio walikuwa mababu wa ufisadi .View attachment 1738794View attachment 1738795View attachment 1738797View attachment 1738798View attachment 1738799
Haya yamefanyika katika utawala wa rais mzalendo. fyoko fyoko fyoko. tuliwaambia wanaiba mkatuona hamnazo
Moja ya watu waliokuwa wanakingiwa kifua na ikulu awamu iliyopita.
Siku serikali ikiamua kupambana na ufisadi kwa dhati kabisa ndo tutasonga mbele.
Sasa atasababisha wenzake wazimwage barabarani kwa kiwewe , maana wakiweka ndani moto wakipeleka benki hatari, watatembea nazo kwenye V8 mpaka wapagawe.
Aaaah! Bandari ilikuwa yake! Takataka hii kwa kiasi hiki tu cha fedha aingie lupango kwa makofi ya nguvu. Mbona mitaani kibaka wa jogoo tu anaingia lupango huku ameshavunjwa mikono, sembuse hili jangili la nyala za serikali.
Jamani, na sisi pia tuna matumbo ya kulisha, mbona mnatufanya waTz wenzenu mafala hivi? Maisha kwetu magumu lakini kwa huyu chizi na familia yake ni tambarale akitumia nyala zetu za serikali.
Tupa jela akiwa na mguu mmoja tu hayawani huyu.
Amazing, 1.6$ M cash?
Sasa ndugu unafikiri akiwekwa Lissu au Mbowe hapo ndio hawataiba??Haya yamefanyika katika utawala wa rais mzalendo. fyoko fyoko fyoko. tuliwaambia wanaiba mkatuona hamnazo
Kamshikilia kwa mahojiano ndio kuwekwa lupango iwe nyumbu??Sasa kama kakanusha kwanini ashindwe kuweka hadharani sababu za kumuweka lupango? 😳
Sasa ndugu unafikiri akiwekwa Lissu au Mbowe hapo ndio hawataiba??
Sasa kama kakanusha kwanini ashindwe kuweka hadharani sababu za kumuweka lupango? [emoji15]
CCM hakuwezi toka msafi, Ndio maana mlisema jiwe kiboko ya mafisadi, tukahuzunika how corrupt our mind isSasa ndugu unafikiri akiwekwa Lissu au Mbowe hapo ndio hawataiba??
Kumpakua iwe fundisho then kumnyonga
Ushamba huo unaitwa
Ova
Aibu gani hii kwa Kibwetere?TAKUKURU yakanusha kukuta kiwango kikubwa cha fedha cha Dola milioni 1 na laki 6 wakati wa upekuzi kwa Mkurugenzi wa TPA Bw. Deusdedit Kakoko na kusema taarifa hizo hazina ukweli wowote.
Amesema Taasisi hiyo ilikuta kiasi cha Dola Elfu 3 na fedha za Kitanzania Milioni 1 na nusu.
CCM hakuwezi toka msafi, Ndio maana mlisema jiwe kiboko ya mafisadi, tukahuzunika how corrupt our mind is
Mungu mwenyewe alishindwa kuzuia dhambi, ndio iwe Magu azuie watu kuiba??CCM hakuwezi toka msafi, Ndio maana mlisema jiwe kiboko ya mafisadi, tukahuzunika how corrupt our mind is