Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Naweka ndani nachimba shimo nasakafia na zege. Natoa ninazohitaji kila baada ya miaka miwili.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
"Hapana huo ni uongo, hizo taarifa za kukutwa na fedha nyumbani kwake sio sahihi, ni watu nadhani pengine ni maadui zake wanajaribu kutengeneza hoja za kuonyesha alikuwa na hizo hela, KAKOKO anashikiliwa na sisi TAKUKURU hilo halina ubishi" Brigedia Generali Mbungo, Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU