Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Mie nahisi zilichotwa wakati wa Magufuli, na alikuwa ana kinga flani sasa Magufuli amefariki watu wamemchoma.Most likely zimechotwa mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo maana alikuwa hajafanya utaratibu wa kuzificha!
Dah Mungu ni wetu wote. Huu ni uroho uliopitiliza.Amazing, 1.6$ M cash?
TPA iliwahi kuchunguzwa na Majaliwa wakati ule wa Magufuli, kukawa na heka heka sana nusra jamaa huyu apoteze madaraka.Mie nahisi zilichotwa wakati wa Magufuli , na alikuwa ana kinga flani sasa Magufuli amefariki watu wamemchoma.
Ufisadi uko kila awamu sema watu wanalindana tu.
Hii nchi ndiko ilikuwa ikienda.Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Swali la msingi ni kwanini Majaliwa katika uchunguzi wake, akawatumbua "vidagaa" na kumuacha "papa" Kakoko aendelee kutamba?TPA iliwahi kuchunguzwa na Majaliwa wakati ule wa Magufuli, kukawa na heka heka sana nusra jamaa huyu apoteze madaraka.
Ukaguzi wa CAG ulikuwa haujatoka wakati huo; kwa hiyo kuna habari ambazo Majaliwa hakuweza kuzijua mara moja.Swali la msingi ni kwanini Majaliwa katika uchunguzi wake, akawatumbua "vidagaa" na kumuacha "papa" Kakoko aendelee kutamba?
Dumbest of them all. He is not smart as he looksWho does that in this day and age?!!
He must be the dumbest [if true] to be caught lacking like that.
Amateur hour.
Hata hivyo Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa (anakotokea Majaliwa) na chato zinatakiwa kufanyiwa special auditing kuanzia mwaka 2015-2021. Kuna shida kubwa huko.Ukaguzi wa CAG ulikuwa haujatoka wakati huo; kwa hiyo kuna habari ambazo Majaliwa hakuweza kuzijua mara moja.
Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Wapumbavu team praise and worshipmhh, halafu kina Nyani Ngabu walimuona msukuma mwenzao alikuwa mtakatifu eti
Uongo.mhh, halafu kina Nyani Ngabu walimuona msukuma mwenzao alikuwa mtakatifu eti
Hivi hizo ni sawa sawa na shilingi ngapi za Kitanzania?Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Sio kipenzi chetu. Alikuwa kipenzi cha Kakoko, Doto & co.Mambo ni motooo... RIP kipenzi chetu. [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Labda alikuwa kipenzi cha bimkubwa wake huwezi kujua.Sio kipenzi chetu. Alikuwa kipenzi cha Kakoko, Doto & co.