Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha


Ukiwa Boss Mkuu TPA Umasikini haupo!
 

Kwani hata wana muda basi,wataanza hapa hapa kumkejeli Rais.Sisi tutafukua tu hizi Thread zao kuwakumbusha.
 
Ukiwa Boss Mkuu TPA Umasikini haupo!

Ni kweli kabisa pengine usemayo,tatizo langu ni kutoamini kuwa kakutwa na pesa Cash ndani kiasi chote hicho. Huyu hakuwa mjinga kihivyo.Tangu alipotumbuliwa yale masaa yalitosha kabisa kwa yeye kuweza kuficha hizo pesa,unless wakati anatumbuliwa alikwisha kamatwa siku moja kabla.
 

Sura yake tu inakuonyesha ni Mwerevu?
 
Yaani jamaa kweli anaweka mahela yote hayo kwenye begi au sijui gunia, nyumbani kwake?

Kama ni kweli huyo jamaa atakuwa bonge moja la zuzu!

Ila, twende taratibu maana mihemuko ni mingi sana sasa hivi.

Mimi naihifadhi kwanza hukumu yangu.
 
Kama ni kweli huu uwizi ni wa kishamba sana
Hela yote hiyo unaipiga ya nini na unataka
Kuifanyia nini ,sema nachojua mwanadamu pesa haimtosholezi kabisa

Ova
Paliponishangaza mimi ni kuziweka hizo hela nyumbani.

Ila ngoja nisihukumu kwanza as far as the bigger picture is concerned.

Nasubiri nipate taarifa zaidi...
 
Wewe ni mtutsi?
 
Picha kwanini "bureau de change" zilifungiwa linaanza kuonekana...
 
Yaani jamaa kweli anaweka mahela yote hayo kwenye begi au sijui gunia, nyumbani kwake?

Kama ni kweli huyo jamaa atakuwa bonge moja la zuzu!

Ila, twende taratibu maana mihemuko ni mingi sana sasa hivi.

Mimi naihifadhi kwanza hukumu yangu.

Baada ya mwezi mmoja tu hapa,utaona mwelekeo wa Thread kwa Mama Samia.

Upo sahihi kabisa kutokuhukumu haraka,watu hapa wanaendeshwa na mihemuko ya kule twitter,baada ya muda watageuza gia angani.
 
Tuliandika mara kadhaa humu "Mkulu awatazame vema fisi na manyang'au waliomzingira mezani pake!" Huku wakimsifia na kumpamba ilhali wamemziba maskio. SASA MAMBO HADHARANI... R.I.P JPM
FAGIO LA CHUMA LIPITE ILI UCHAFU SUGU UPUNGUE..
 
Ni matumaini kwa Sasa Kama uchunguzi utaendelea kwa viongozi mbali mbali hasa waliokua na kiongonzi yule watakamata pesa nyingi
Chunguza wakurugenzi wote ,makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya, watu wezi Sana ,alafu utasikia mbwewe za watu wale hawana hii majizi yamebanwa, na Hawa mapapa yanatoka wapi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…