Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Bado tunasafari ndefu.

View attachment 1738279

Hiyo ni kama 3.7 Billion Tshs to be exact.

Halafu kuna watu wanasema ufisadi uliisha awamu ya tano. Haukumalizwa bali ni watu wachache walijimilikisha mianya ya pesa kwa kukingiwa kifua na ikulu.

Siku ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma utakapopigwa vita kwa vitendo na kwa nguvu zote ndo nchi itasonga mbele.

Huo nao ni uongo tuu hakuna hicho kitu
 
Mwendazake aliminya uhuru wa habari alifikiri itamsaidia, Matokeo yake ndiyo haya, Zitto aliwahi sema jamaa alikuwa mshamba sana wa Madaraka.
 
Bado tunasafari ndefu.

View attachment 1738279

Hiyo ni kama 3.7 Billion Tshs to be exact.

Halafu kuna watu wanasema ufisadi uliisha awamu ya tano. Haukumalizwa bali ni watu wachache walijimilikisha mianya ya pesa kwa kukingiwa kifua na ikulu.

Siku ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma utakapopigwa vita kwa vitendo na kwa nguvu zote ndo nchi itasonga mbele.
Hii nchi watu wachache wanakula mema ya nchi ☹️☹️wee ngoja ni suala la muda na sisi tunaenda kula nchi mda si mrefu🚶🚶🚶
 
Jamani msimshutumu sana bwana katoto.

Huenda labda hizo pesa ni mshahara wake, alimake mdogo mdogo mpaka kufikia hiyo $ 1.6 bn.
hahahaaaaaa!!!

Hizi hela haiwezekani akakutwa nazo nyumbani tena cash huu ni uongo kabisa na muda utaongea, huyu mtu ana makosa lakini hicho kiasi ni uongo mtupu.
 
Nilichojifunza ni kwamba sasa hivi hata Billion 3 ni wizi mkubwaaaa!!!! . Enzi zile za kubeba pesa za Escrow kwenye sandalusi, EPA wizi wa Billioni 20 vilikuwa ni vijisenti vya mboga.

Hii ni ishara kwamba nchi yetu inakwenda vizuri. Ni imani yangu tutafika pazuri zaidi.

Asante rais Magufuli kwa kutuachia misingi imara kama taifa.
 
Hii habari inafikirisha sana, bilion 3 cash ndani, haya sawa.

Jamani kama kuna fisadi humu ama ndugu wa fisadi waambieni watumwagie hiyo mipesa sisi wanyonge kamata kamata ndio ishaanza ivoooo.
 
Kiasi kinanakshiwa kwa fedha za kigeni $$$ hawasemi thamani yake in Tsh..

Tuwaache TAKUKURU wafanye kazi yao ya uchunguzi.
 
Aliyekua Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari, aliyesimamishwa kazi, injinia Kakoko amepekuliwa nyumbani kwake na polisi na TAKUKURU na kukutwa na begi kubwa lenye pesa za kimarekani 1,625,800.
 
Sikatai kuwa hawakupiga,kila awamu watu waliokuwa kwa Inner Circle walikuwa wanapiga pesa. Shida yangu ni hapo pa kukutwa na kiasi hicho cha pesa Cash ndani.

Hata kama walikuwa na “ushamba” kama usemavyo wewe,but si kwa kiwango hicho. Mtu atumbuliwe baada ya masaa 24 ndiyo TAKUKURU waende kupekuwa nyumbani kwake wakute kiasi chote hicho cha pesa? Ni ngumu kuamini.
Mkuu hizo pesa kukutwa nazo nyumbani usishangae ni nyingi kwetu sie hohehae lakn kwao ni peanut.kwa dollar 100 bills hiyo pesa inakaa uzuri kabisa kwenye briefcase.

Pili inaweza kuwa pesa iliyokamatwa ni Ile tunaita ' Hamad kibindoni' Ile pesa inayoweza kumfaa wakati wa dharula.

Hiyo jamaa anaweza kuwa na pesa nyingi kwenye mabenki ya ndani na nje
 
Huyu jamaaa na afungwe tu alifanya bandari Kama mradi wake yeye na marehemu.

Bado na yule ndyamukama wa airport ni watu wezi Sana walijiona wao ndio wao kwa kuwa walifanya kazi pamoja na mhutu mwenzao walipokuwa tanroads.

Mama Samia anatakiwa kudeal nao Sana Hawa wahutu wa jiwe ambao aliwapa madaraka
TANROADS syndicate ilitafuna nchi sana kwa msaada wa MATAGA.

wao wakilipwa vocha tu wanakuja kuharisha sifa kwenye social networks.

Ilihitaji mtu mwenye akili ndogo sana kuamini kama nchi ilikuwa haichezewi na hii syndicate kutoka TANROADS.

Kwanini uteuzi wowote kwenye key position mteuliwa alitoka TANROADS?
 
Nina uhakika jamaa hakosi banda la mbwa angezitia kwenye ndoo ndogo akazifungia ndani ya banda la mmbwa😁
Wale uwa kama wanga, kuna kipindi wazee wa kazi walikuja chunguza nyumba ya jamaa flani mtaani alikuwa jambazi, walikuta kaficha bastola kwenye tairi la gari liko vzuri la ring imewekwa yani kama spare tyre. Sijui uwa wanajuaje na walikuwa wajeda enzo za Marehemu Mkapa.
 
Back
Top Bottom