Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Ahahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.

Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.

Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Hahahahahahahahahaha
 
Ahahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.

Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.

Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Hahahaha jamaa ana ela kitambo sana toka miaka 1990 huko, yani kitambo sana
 
Kwaiyo mshahara wake kwa mwezi inafika milioni mia na au??!tofauti na hapo ni hela ya wizi iyo,inatakiwa afungwe na mnyororo kwenye roli LA jeshi aburuzwe hadi nyororo ibakie na mfupa wa koo tu, Lol
Hiyo avatar ni ww?
 
Ahahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.

Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.

Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Ww ni nani akupe 10.7m mzeeeee au chaiiii?????


Kumbe msimamizi wa windhock n mtoto wake
 
Maisha haya Mimi hapa kodi tu ya mwezi huu kizaizai
Kuna siku nilikuwa napanga pale K/Nyama aisee nilidaiwa kodi mpaka mwenye nyumba akaingia chumbani kunipiga ngumi, dah! Tulikunjana kinomer sema badae roho ikanambia 'lakini hapa sikwako'

Ikabidi nije Yombo Bagamoyo kuweka kachumba kamoja! Nakwenyewe tukanyang'anywa maeneo yetu na akina Rizmoko na Abood...

Dunia bwana, Karibu Dumira
 
Ahahahahahahahaha yaani kuna siku tulienda kwake kusalimia, aisee mpaka natoka nilishajikusanyia milioni kumi na moja kama laki saba hivi, aisee nilitamani niende kila siku.

Yule mwanae tall mpole sana anayesimamia Windhoek akanambia bro ungekuwa na kifaa kikubwa tungekuwekea na tubia kidogo nikamwambia usjali ili nikimbize mzigo wangu.

Yule mzee ana mkwanja balaa aisee, JK mwenyewe alipewa 10b Mizengo Pinda 6b hadi akapagawa akaenda BBC akatangaza kugombea Urais ahahah
Hivyi USALAMA WA TAIFA walikuwa wapi
 
Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!

Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Kabla hawaja ficha ushahidi, Mh Rais anatakiwa awashighulikie wafuatao haraka iwezekanavyo.
1. Dotto James, katibu mkuu hazina
2. Biswalo, Dpp
3. Bashiru KmK
4. Katibu mkuu ofisi ya Vp.
Hawa watu wana circle hatari ya wizi wa mali zetu.
 
Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!

Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
St. Magunia na wenzie walikuwa wezi tyuu!
 
Ww ni nani akupe 10.7m mzeeeee au chaiiii?????


Kumbe msimamizi wa windhock n mtoto wake
Ndio mwanae kabisa dogo Maji ya kunde hivi mrefu! Kama kuna tamasha utamuona mtaratibu sana huwezi jua kama ndo kashikishwa mikoba.

Kuna mzee mmoja ndo alikuwa kaandaliwa kuwa meneja wa Kanda ya Afrika maana Kabla Magu hajaingia ilikuwa Windhoek ifungue brunch take kubwa hapa Tz ya kuhudumia Afrika nzima.

Nilisoma na mwanae pale Tosa Maganga, kuna mizigo-zigo Mara inaagizwa kuingiza kwenye godown tu aisee pale pana hela we acha, yaani wana pesa nyingi sana, Prof. Tibaijuka alipewa hizo 1.6b ili ardhi ya kiwanda ipatikane..

Siunajua alikuwa wazir wa Ardhi, maaskofu walipewa mzigo ili baadhi ya vifaa vya kiwanda vipite bandarini kama Mali ya Kabisa visilipe kodi!
 
Sema jamaa kafeli sana, hizo hela unaweza zificha hata chini ya siti ya gari yeye aliziwekaje ndani ya nyumba? Gari ambayo hutembelei mara kwa mara ndo unafichia pesa humo.
Mkuu umeshawahi kukaguliwa na polisi
Unadhani hilo begi la dola alikuwa kaliweka kabatini tu
 
Ndio mwanae kabisa dogo Maji ya kunde hivi mrefu! Kama kuna tamasha utamuona mtaratibu sana huwezi jua kama ndo kashikishwa mikoba.

Kuna mzee mmoja ndo alikuwa kaandaliwa kuwa meneja wa Kanda ya Afrika maana Kabla Magu hajaingia ilikuwa Windhoek ifungue brunch take kubwa hapa Tz ya kuhudumia Afrika nzima.

Nilisoma na mwanae pale Tosa Maganga, kuna mizigo-zigo Mara inaagizwa kuingiza kwenye godown tu aisee pale pana hela we acha, yaani wana pesa nyingi sana, Prof. Tibaijuka alipewa hizo 1.6b ili ardhi ya kiwanda ipatikane..

Siunajua alikuwa wazir wa Ardhi, maaskofu walipewa mzigo ili baadhi ya vifaa vya kiwanda vipite bandarini kama Mali ya Kabisa visilipe kodi!
Hahahahahahahahahaha kudadeki na jamaaaa alikuwa na pesa ila ni mkatoliki au?



Ww kusoma na mwanae tuuu akakupa cash au alikupa cheque?
 
Pesa kidogo sana hiyo kwa hiyo nafasi yake. Mi ndani ya miaka minne ningekuwa nimepiga B kama mia kenda kasoro.
Halafu ungezifanyia Nini?
Maisha yako hapa duniani Ni miaka 70 ukipendelewa 77 na hata hiyo 70 unaweza usiifikie
 
Back
Top Bottom