Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Yale ma ng'ombe ya kijani saiz sioni kabisa wasap status zao wala majukwaani manina sana kumbe ndio yalikua yana ficha uozo huu kiasi hiki ?
 
Wanyongeee wanyongee wanyongee.....my black arrssee..

Watu wansanuka tu ...
 
Sikatai kuwa hawakupiga,kila awamu watu waliokuwa kwa Inner Circle walikuwa wanapiga pesa. Shida yangu ni hapo pa kukutwa na kiasi hicho cha pesa Cash ndani.

Hata kama walikuwa na “ushamba” kama usemavyo wewe,but si kwa kiwango hicho. Mtu atumbuliwe baada ya masaa 24 ndiyo TAKUKURU waende kupekuwa nyumbani kwake wakute kiasi chote hicho cha pesa? Ni ngumu kuamini.
Inawezekana kabla ya kauli ya Raisi,alikuwa ameshawekwa chini ya ulinzi..
 
Kwa cheo chake na wizi aliokuwa anafanya naona kama $ 1.6m ni ndogo sana kwake....Ukichukua note za $ 100 kupata $ 1.6m ni easy ,ni sawa na mabunda 160 ya bundle ya note 100.
Sema jamaa kafeli sana, hizo hela unaweza zificha hata chini ya siti ya gari yeye aliziwekaje ndani ya nyumba? Gari ambayo hutembelei mara kwa mara ndo unafichia pesa humo.
 
Porojo za Kigogo na Chahali hizi. Hivi kama kweli alikuwa na pesa ndani akae nazo tu tangu JPM afariki? Unadhani yeye alikuwa hajui kuwa watu wamempania? Tutadanganywa sana hiki kipindi cha mwezi mmoja,baadae tutarudi kule kwa kumdhihaki tena SSH kama kawaida yetu.Ni swala la muda tu mbona.

Nimecheka Kigogo “anatoa” maelekezo ya nani akamatwe.
Uzuri wa kigogo anatoa taarifa watu wanampinga weeee baadaye zikiwa za kweli wanakimbiana,katika habari 10 anazotoa karibu 70% zina ukweli ,30% zinakuwa mislead na "TEETH" kwa ajili ya kumuondelea kuaminika.
 
Jamani msimshutumu sana bwana katoto.

Huenda labda hizo pesa ni mshahara wake, alimake mdogo mdogo mpaka kufikia hiyo $ 1.6 bn.
hahahaaaaaa!!!
1. Engineer , mkurugenzi wa TRC
2. Engineer, mkurugenzi wa ATCL
3. Engineer , mkurugenzi wa tanroads
4. Engineer , mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari
5. Maengineer mameneja wa tanroads mikoa yote tanzania.
6. Engineer, yahya wa tume ya madini
Hawa niliowataja hapo juu, wachunguzwe, na wafuatiliwe kuna Kilio kubwa sana cha upigaji wa fedha za umma tangu mwaka 2015-- 2021.
 
Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!

Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
Aisee. Kwa hiyo lazima kuna picha ya mtuhumiwa na hiyo exhibit - USD$1.6 na yuko lock up sasa hivi…..
 
Ni kweli bundle 160 za note za $ 100 angeweke tu kwenye gari tu na si ndani au angechimba handaki tu na kuzihifadhi.
Wala si handaki ni kashimo kadogo anapangua perves kisha anazika ndoo ndogo tu ya litre 10 anatumbukiza mzigo na kuiseal ndoo na mfuniko kisha anarudishia perving blocks.

Siku unawapa outing mke na familia kwa ujumla huku nyuma unafanya yako kimya kimya. Hao takukuru hata kama wajanja kiasi gani kusanukia hilo ni ndoto 😁😁😁
 
  • Nzuri
Reactions: BRB
Most likely zimechotwa mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo maana alikuwa hajafanya utaratibu wa kuzificha!
Pumbafu sana wew...mnajifarijifariji tu.Waziri mkuu aligundua huo wiz Magu akiwa hai na alimuogopa kumtumbua kwakua ilikua kipenzi chake.Sijui aliwalisha nn jiwe mpk mkawa kama mazombie,Nakwambien Wakiamua kufunua ulaghai na propaganda za jiwe na utapeli kwa watanzania wanyonge,legacy itakua stunt
 
Waziri Mkuu ajitathmini mapema..Kama hakukatiwa mpunga huyu sijuii.
Swali la msingi ni kwanini Majaliwa katika uchunguzi wake, akawatumbua "vidagaa" na kumuacha "papa" Kakoko aendelee kutamba??

Ndiyo utambue kuwa enzi za Hayati Magufuli, nchi alikuwa ikiendeshwa kwa mtindo wa "double standards" wa hali ya juu sana!
 
Back
Top Bottom