shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Nendeni kwa mkurugenzi wa nssf ana ATM card ya kutolea dolar nje ya nchi aliyopewa kutokana na lile jengo la karibu na mlimani city, yeye na mkurugenzi wa utumishi na alokuwa mkurugenzi uwekezaji.
Kigogo pachimbe hapo utapata credit nyingine
Kigogo pachimbe hapo utapata credit nyingine
Nimesoma kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 cash baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana "vijisenti" vingi sana hujo Jersey au Switzerland kama yule mzee.
View attachment 1738385