Sakata la Kampuni ya Lugumi: IGP na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani watupiana mpira

Hata kama huo mkataba uliingiwa na wizara kwa niaba ya jeshi la polisi, lazima uongozi wa jeshi uwe na copy ya huo mkataba. Kwa sababu hao ndio "user department" na wao ndio walipeleka hayo mahitaji huko wizarani. Sasa labda waeleze kuwa hawakushirikishwa kwenye mchakato wa kumpata huyo mzabuni (lugumi) au hawautambui huo mkataba.

Kinachofanyika hapa ni kutupiana mpira kwa sababu wanajua ule mkataba una madudu ndani yake.

Na katibu Mkuu wa wizara anachofanya ni kumsuta IGP "wewe si ulikuwepo kabla yangu, kwa hiyo unaulewa vizuri huo mkataba"

Lakini mwisho wa siku IGP Mwema nae ajiandae "kutenguliwa"
 
Itafahamika ni swala la muda tu.!
 
Hivi huyo mangu ni chaguo la ngosha au mkwere? Maana hapo naona kama safari yake ya kurudi ziwa singidani kuvua samaki ndio inawadia na huyo katibu ajiandae kwenda kwao bukoba kuvuna kahawa
 
Kama IGP alimsimamisha afisa manunuzi wake, mbona la kupeleka documents anasita? Au nae anamjengo mmoja kati ya hizo 40? Kwa katubu mkuu bado mgeni sana kwenye hiyo Wizara. Haelewi historia ya hicho kitu.
Kuja mambo hapo.
Wacha wapapatuwane tu
 
Magu kivipi tena wewe fisi wakati ngoma ipo chini ya kamati ya Bunge? Au mnataka mpewe fursa ya kusema Magu dikteta anaingilia Bunge?
Wewe fisi wa lumumba wacha kutokwa na mapovu, naona yamekujaa kwenye migongo ya midomo yako utadhani umebugia uyoga wenye sumu tulia sindano ikuingie vizuri
 
Likishajadiliwa Bungeni mapendekezo/maazimio ya Bunge hupelekwa wapi kwa ajili ya utekelezaji ikiwa ni pamoja na wahusika kuchukuliwa hatua?

Acha kukurupuka kama hujui kaa kimya.
Mkuu huyo wacha kuhangaika naye maana ni mfagiaji pale lumumba
 
Kitaeleweka tuu uyu mjeda nae anagwaya nini kama yeye ndo custodian wa mkataba si awape copy.
Ingawa am sure IGP na Katibu wote wana mikataba ila as long as aliyekuwa anajibu maswali ni IGP yeye ndo apeleke mkataba kwa PAC
 
Itafahamika ni swala la muda tu.!
Muda sawa hata miaka kumi au ishirini ni muda pia ila tungesikia basi hata tetesi tu juu ya Escrow inge tupa moyo,haya majipu ni kama yana fanyiwa sorting vile.
 
Tanzania Daima nanyi wachokozi! Hamjui hilo jipu limekaa pabaya sana - liktumbuliwa ina maana mhusika inabidi awe ameishaandika wosia! Haya ndio yale mzee wa 'wapigwe tu' alikuwa akiyasema 'ukiwagusa nchi itayumba'.
Teeeeeeh teeeeeeeeh umenikumbusha mzee wa wapigwe cheki alivyo lala chali chezea mkwere weye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…