Sakata la Kanisa lililoripotiwa kupiga muziki saa 24 na kujengwa kuziba barabara Tabora lajengwa usiku kucha kuwahi kulimaliza

Mkuu Mkuu sasa magari yanapitaje tena hapo 😷😷
 
Mpaka rais aseme!!!!
 
Walokole uchwara Tena ni wapumbafu Sana wanajifanya kila kitu wanajua , wakati mchungaji mwenyewe wa kikozi Cha Biblia Cha miezi mitatu , halafu kaishia darasa la pili .
[emoji3][emoji3]
 
Hebu malizeni fitina zenu na Huyo mchungaji ndo uje, inaonekana lipo tatizo kati yenu.
Fitna ndio zimemtuma ajenge katikati ya barabara na kupigia watu kelele wagonjwa wanaumia , watoto wanashindwa kusoma we unasema fitna ? Hebu use common sense .
 
Serikali kama haielewi, muhujum huo mradi.... Sisi tulifanya hivo tulichukua hatua mkononi
 
Naibu Waziri wa Ardhi amelizungumzia sana hili la kutozingatia maeneo kwa ajili ya nyumba za ibada na bar, lakini yaelekea hao mipango miji hawamwelewi
 
S
Sisi sote ni wapendwa wa mwenyezi mungu,ila kuna madhehebu hayajali usiku wala mchana kelele saa 24 viongozi wapo dheria ipo lakini hakuna kinachoendelea sijui ni RUSHWA au vipi?Hapa Masasi eneo la machinjioni hiyo hali ipo!
 
S

Sisi sote ni wapendwa wa mwenyezi mungu,ila kuna madhehebu hayajali usiku wala mchana kelele saa 24 viongozi wapo dheria ipo lakini hakuna kinachoendelea sijui ni RUSHWA au vipi?Hapa Masasi eneo la machinjioni hiyo hali ipo!
Rushwa itakuwa naona , hivi Sasa yapo haya mapumbavu yanapiga kelele kweli hata watoto hawawezi kusoma hapa itetemia shule ya msingi .
 
Huyu mchungaji na vidawa vyake vya kutoka kwa mayunga Bariadi anajiona mjanja .
 
Nilivyoposti sasa hivi yanapiga kelele ndio yameacha .
Mashtaka mpaka lini kwa mtu mpuuzi kama huyo? Mzukieni muda mzuri arambe bakora za kutosha! Tia moto banda analoita ni kanisa, basi!
 
Mbona waislamu wanapiga makelele na spika zao kila mahali katika nchi lakini hampigi kelele? Utakuwa na mapepo wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…