King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
- Thread starter
-
- #121
Upunguani ? haya majibu haya hapa nenda kanisani kwenu mlangoni ukaangalie Pimbi mkubwa .Kumbe una chuki binafsi na walokole eeeh?
Acha upunguwani
Njoo Nyegezi Mwanza chini ya Kamanga hospital uone jinsi hao Lutheran unaowasifu wanavyopiga mziki wa juu kuanzia saa kiumi alfajiri hadi asubuhi mpaka sisi wakazi wa eneo hili tunapata shida kweli kweli.Walokole utawajua tu humu. Hakuna watu wangese kama hao walokole. Mbezi beach Rafia kuna moja kila jioni ni mikelele aisee makazi ya watu. Wanakera sana. Fungeni sound proof. Bora vya waislam ni adhana ya dk chache kisha inavumilika. Huwezi kukuta huu ujinga Lutheran churches n.k
Ila kweli siku hizi baadhi ya sharika zimeanza kuwa na huo uduanzi.Njoo Nyegezi Mwanza chini ya Kamanga hospital uone jinsi hao Lutheran unaowasifu wanavyopiga mziki wa juu kuanzia saa kiumi alfajiri hadi asubuhi mpaka sisi wakazi wa eneo hili tunapata shida kweli kweli.
Haya majibu ya serikali tayari kasome mlangoni mwa kanisa .*****! Wachawi hamtaisha hapa Tanzania
[emoji106][emoji106]Yaani watu wanasapoti uvunjifu wa sheria na taratibu waziwazi huku wakiwa na weak reasons .
Sasa hapa kwenye hii mada kitu gani hakieleki , katiba inatoa haki watu kuishi kwa amani na utulivu , Kuna shule , Kuna wagonjwa , watu wanataka kupumzika , eti watu wanyamaze tu wapigiwe muziki kisa eti kuna watu wanaabudu.
Mungu hayuko hivyo huyo anayetaka masauti makubwa hivyo huyo atakuwa ni ibilisi , hilo sio hapo kariakoo tu Tanzania nzima kuna wengine kama hao kazi kukera wenzao kwa kisingizio cha ibada.
Sheria zifuate mkondo bika kuangalia mtu dhehebu , rangi bila hivyo sheria hazina maana yoyote ile .
kweli !? Mbona vilabu vya pombe hamvipigii kelele !?Tabora nimekaa hapo baadhi yenu mambo ya majungu huwa ndo kipaumbele chenuPicha inakuja mkuu .
Huna lolote kilabu gani ? Jina tu la ID yako linasadifu kuwa wewe ni miongoni mwa walokole uchwara .kweli !? Mbona vilabu vya pombe hamvipigii kelele !?Tabora nimekaa hapo baadhi yenu mambo ya majungu huwa ndo kipaumbele chenu
sawasawa hujakosea mganga ..wakiomba unaungua motoHuna lolote kilabu gani ? Jina tu la ID yako linasadifu kuwa wewe ni miongoni mwa walokole uchwara .
Hujaelewa uzi au mada ,tumia akili kuelewa . Picha zipo , barua ipo , maelezo yapo nini huelewewi utakuwa ndio miongoni mwa haohao walokole uchwara , haya notisi iko mlangoni kwenu kwenye maturubai yenu mnayodai Ni kanisa .Nilivyosikia barabara nikaenda fasta kwenye picha.....
Ulitaka wadanganywe na sharif majiji au kishki kama unavyodanganywa wewe?Ndio yanavyodanganyana maskini .
Mungu hasikilizi maombi ya vichaa , msumbue wagonjwa ,wazee , watoto , wananchi kwa kero zenu Mungu awasikie ? Labda mungu wenu wa bariadi , maana hata mtaji wa kwenda Nigeria huna .sawasawa hujakosea mganga ..wakiomba unaungua moto
Kumbe wewe hujielewi kabisa, kwa taarifa yako wachungaji wengi wana-hold degree ya theology unadhani wameipata kilofa lofa?Kweli mkuu ? Yaani mleta mada amuonee wivu ,gubu mchungaji aliyeishia darasa la pili? Ili awe kama yeye ? Yaani amuonee wivu ,gubu mjasilia dini ? Amuonee wivu ,gubu mchungaji ambaye Hana hata baiskeli ? Yaani amuonee wivu gubu mchungaji anayeishi Hana kazi yoyote zaidi ya kujasilia sadaka ? Simple logic but very meaningful .
Kaeni na huyo Mch muyaeke vzr, mbn kanisa lenyewe ni la muda tuu, mbn kesi ni rahisi tuuMungu hasikilizi maombi ya vichaa , msumbue wagonjwa ,wazee , watoto , wananchi kwa kero zenu Mungu awasikie ? Labda mungu wenu wa bariadi , maana hata mtaji wa kwenda Nigeria huna .
Ustaarabu wao ni nini?Wewe acha ujinga hao ni wastaarabu sana wapiga adhana , wakimaliza wanazima spika zao wanaswali wenyewe ndani kwa ndani tofauti na walokole uchwara mnapigia watu kelele si msali wenyewe humo ndani au mungu wenu hasikii mpaka mpige muziki mkubwa sana kama wehu .
Ulitaka wadanganywe na sharif majiji au kishki kama unavyodanganywa wewe?
Uwe na degree halafu uwe na IQ ya 0.00000001 is it possible ?Kumbe wewe hujielewi kabisa, kwa taarifa yako wachungaji wengi wana-hold degree ya theology unadhani wameipata kilofa lofa?
Kagonoke huko