Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

Sakata la Kupotea Rajab Omari Mtana na Hukumu ya Kunyongwa kwa Masheikh 10 Tanga

Shida ya Mohamed Said ni kuamini ukweli ni kile ajuacho yeye kwa kisingizio cha kwamba amefanya tafiti. Umekwepa kabisa kusimulia kile kilichotokea wakati wa mauaji. Bahati mbaya kwako, jaji aliyewahukumu ni Mwislamu, na pia Chiku naye alikuwa mtu wa dini yako.
tuta...
Kipo unachojua wewe ambacho mimi nimekieleza sivyo?
Tafadhali tuwekee hapa.
 
99% ya mabandiko yako ni Uislam na waislame wake
It's okey sio Jambo baya, Ila uwasilishaji wa matukio ni uenezaji wa chuki

Kama muandishi na mtafiti umejaribu kufikiria unachokipanda mioyoni mwa waisalm wenzako?
Kama lengo lako ni Hilo 99% unafanikiwa[emoji120]

Peni yako inawaandika waislam tu, Mkuu umekua mdini Sana kuliko uhalisia,

Udini unafanya uonekane mpuuzi
 
99% ya mabandiko yako ni Uislam na waislame wake
It's okey sio Jambo baya, Ila uwasilishaji wa matukio ni uenezaji wa chuki

Kama muandishi na mtafiti umejaribu kufikiria unachokipanda mioyoni mwa waisalm wenzako?
Kama lengo lako ni Hilo 99% unafaniwia[emoji120]

Peni yako inawaandika waislam tu, Mkuu umekua mdini Sana kuliko uhalisia,

Udini unafanya uonekane mpuuzi
Mkorea,
Kama nisingeandika historia ya Waislam historia yote yao ingepotea kwa kuwa hakuna aliyekuwa katika wasomi aliyeipenda historia yao.

Nakuelewa vizuri sana kwa nini historia hii inakutaabisha.
Wala hauko peke yako.

Mko wengi sana.

Wala hakuna publisher hata mmoja aliyekataa kuchapa kitabu changu kwa kuwa kina chuki kwani hakuna chuki ila yaliyo kweli.

Wala sijaandika kuhusu dini ya Kiislam.
Hii ni political history.

Walioandika historia ya Mau Mau hawakuandika ukabila kwa kuwa Mau Mau walikuwa Wakikuyu.
Inawezekana wewe ukaniona mpuuzi kwa sababu hujapendezewa na historia ya Waislam lakini kwa wengi kati duru za uandishi mimi si mpuuzi.
 
Fundi....
Kuwa na subira yapo mengi nitaeleza hapa.
Acha kuchochea chuki za kidini kwenye maswala ambayo hayahusiani na dini au ukataka kusema Rais wa awamu ya nne kipindi watuhumiwa wanakamatwa na Rais wa awamu ya sita kipindi ambacho hukumu ya kunyongwa inatolewa wanachuki dhidi ya waislam?
 
Acha kuchochea chuki za kidini kwenye maswala ambayo hayahusiani na dini au ukataka kusema Rais wa awamu ya nne kipindi watuhumiwa wanakamatwa na Rais wa awamu ya sita kipindi ambacho hukumu ya kunyongwa inatolewa wanachuki dhidi ya waislam?
Much...
Hakuna nilichoandika kibaya hii ni historia ya kweli ya yaliyotokea.

Siwezi kuandika uchochezi.

Nashangaa hujashtushwa na kuwa kulikuwapo na silaha za kutungua ndege.

Jambo hili halikuwa kweli.
Huu ndiyo uchochezi.
 
Ukisoma vzr hao wanaohujumiana kupeana kesi kupigana na kuuana ni waislamu wenyewe na hayo yote yanatokea kiongozi mkuu wa nchi akiwa muislamu ko wote wanajuana shamba la bwana heri mbuzi wa bwana heri!

Ila kwa uelewa wangu nahis haya mambo hayapo kama yanavosimuliwa Kuna namna wasomaji tunaaminishwa tuamini!

Pambaneni labda mtatusua maana mataifa mengi ya kiislamu mindset zao zimekaa kuwaza vurugu na ubabe usio na tija mambo yakiharibika wanasema shida ni Marekani
 
Hakika ninyi ndiyo mnaharibu Nchi na masuala ya udini siku zote muislamu hujishuku chini ya jua mindset zao zilikwisha aminishwa wao ni inferior chini ya jua na hawapendwi kwahiyo chochote kifanyikapo dhidi yao na wakifanyacho kwa wengine huwa katika dhana zao za kutopendwa,na huyu Msimuliaji Mzee wetu naye ndicho anachokiamini ndiyo Maana hataki kukemea uovu dhidi ya raia Ila anakemea ouvu dhidi ya waislamu Ila Yale ya Kibiti na Rufiji yangekua maeneo ya wakristo hakika makala zako zingejaza server za JF.
 
Walishikwa ugaidi mwaka 2013 raisi alikuwa Kikwete - Muislamu, wamehukumiwa kunyongwa mwaka 2023 raisi wa sasa ni Samia- Muislamu, hivyo ni Waislamu wamehukumiwa kipindi cha Maraisi Waislamu pia.

Anayebomb kubomoa na kutesa Waislamu na nchi Kiislamu Yemeni ni Saudi Arabia, anaye fund Al Shabaab Somalia na kuharibu na kutesa Waislamu Somalia ni Saudi Arabi pia, anzieni hapo kwanza, …
Na anayefund vikundi vya kijeshi vinavyopigana yemen against vikundi vya saudia ni jamhuri ya kiislamu ya watu wa Iran😂
 
Ilikuaje kesi ya ushuru ikabadilika na kwenda kuwa ya ugaidi? Mnona haimake sense kabisa. Wakati hao ndugu wanaenda kumtoa ndugu yao walitumia njia zipi? Maana kuna very thin line kati ya ujambazi na ugaidi au protest na causing chaos. Sio mwende na mabomu kumtafuta ndugu yetu mtegemee watu wachukulie easy
 
Inawezekana mzee wangu Mohamed Said ukawa ni mwandishi mzuri wa historia. Hicho ni kipawa na umshukuru Allah. Lakini,
1. Mbona kama udini na hasa uislamu ndio imekuwa kama silaha pekee uliyokuwa nayo. Hiyo habari bado ingeweza kuwa na uzito tu bila kutaja dini za watu. Unahisi unawasaidia, lakini mbegu ya chuki unayoipanda, ipo siku itamea. Kuna mwanamuziki mmoja aliwahi sema kwamba '“The Hate U Give Little Infants Fs Everybody. “The Hate You Give Little Infants F**s Everybody.” Jitahidi, usipandikize chuki pasipo na ulazima.
2. Kila unachokiamini unadhani ndio UKWELI. Labda kuna siku, kama utaweza, jinyenyekeshe kwa nafsi yako, kaa chini na kujaribu kutafakari kama hiyo vesion ya UKWELI unayoiamini ndiyo version ya UKWELI halisi. Kuna sehemu kwa mfano umeongelea madhira ya waislamu wa Handeni. Lakini, hutuelezi vipi madhira haya makubwa yawapate wakiwa wanaishi miongoni mwa jamii kubwa ya waislamu wenzao. Kwa nini waislamu wa Handeni tu? Huko hakuna mahakimu, police, mawakili, wanasheria wa kiislamu?
3. Mimi sio mwandishi wa habari, lakini kila tunaposoma habari, na hasa hizi zinazohusisha jinai, tunaona jinsi zinavyoripotiwa. Kunakuwa na kosa lililofanyika. Kuna wanaotuhumiwa kufanya kosa, ushiriki wao kwenye tuhuma na mazingira ya ushahidi wa tuhuma. Lakini tunaona pia, upande wa washtaki. Na pia tunaangalia na mhimili wa mahakama ulisemaje. Je habarri zako ziko balanced? Umesimama upande wa watuhumiwa na ukatoa hukumu.
4. Kama unaamini vyombo vya haki na sheria vinafanya kazi, na una ushahidi usioacha shaka, vipi msiwasaidie waathirika hata kwa kuexpose holes kwenye upande wa mashtaka?
 
Wewe ni NGURUWE
Mama...
Nimependezewa sana na hili tusi kuwa mimi ni nguruwe.
Kwa nini mtu anatukana?

Mtu anatukana pale anapoghadhibika na kuwa hana zaidi la kufanya kuondoa ghadhabu zake ila kutoa matusi.

Nini kilichokuudhi wewe?
Umaghadhibika kwa kuwa hutaki kusikia historia ya Waislam.

Hii si mara yangu ya kwanza kutukanwa.

Mara ya kwanza kutukanwa ilikuwa mwaka wa 1988 baada ya jarida maarufu Africa Events lililokuiwa linachapwa London kuchapa makala yangu, ''In Praise of Ancestors.''

Siku zote historia ya TANU na kudai uhuru wa Tanganyika ilikuwa inaanza na Mwalimu Nyerere.

Katika makala ile niliandika kuwa historia ya uhuru imewasahau waasisi wa TANU mfano wa Abdul Sykes na ndugu yake Ally Sykes, Saadan Abdul Kandoro, John Rupia nk.

Makala ikaeleza pia mchango wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) ulioundwa mwaka wa 1933 baada ya kuundwa kwa African Association 1929.

Dr. Mayanja Kiwanuku kutoka CCM Dodoma Idara ya Uhamasishaji Umma akajibu makala yangu kwa jibu kali sana.

Alighadhibishwa na kuona nimeiunganisha historia ya TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na nimetaja mchango wa Waislam.

Majibu yake kwangu yalijaa kejeli na vitisho na mwisho akanitukana kwa kuniita, ''Mbilikimo.''

Nikawa nimefahamu kuwa kilichomghadhibisa ni ile historia ya Waislam katika siasa za Tanganyika.

Hili linawachoma watu wengi sana na limewapendeza wengi pia.

Ningeweza kutoa taarifa kwa Adm kuwa umeniita nguruwe na ukapigwa ban.
Mimi sitaki hili.

Nataka ubakie hapa usome niandikayo.

1687769236785.jpeg
 
Mama...
Nimependezewa sana na hili tusi kuwa mimi ni nguruwe.
Kwa nini mtu anatukana?

Mtu anatukana pale anapoghadhibika na kuwa hana zaidi la kufanya kuondoa ghadhabu zake ila kutoa matusi.

Nini kilichokuudhi wewe?
Umaghadhibika kwa kuwa hutaki kusikia historia ya Waislam.

Hii si mara yangu ya kwanza kutukanwa.

Mara ya kwanza kutukanwa ilikuwa mwaka wa 1988 baada ya jarida maarufu Africa Events lililokuiwa linachapwa London kuchapa makala yangu, ''In Praise of Ancestors.''

Siku zote historia ya TANU na kudai uhuru wa Tanganyika ilikuwa inaanza na Mwalimu Nyerere.

Katika makala ile niliandika kuwa historia ya uhuru imewasahau waasisi wa TANU mfano wa Abdul Sykes na ndugu yake Ally Sykes, Saadan Abdul Kandoro, John Rupia nk.

Makala ikaeleza pia mchango wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) ulioundwa mwaka wa 1933 baada ya kuundwa kwa African Association 1929.

Dr. Mayanja Kiwanuku kutoka CCM Dodoma Idara ya Uhamasishaji Umma akajibu makala yangu kwa jibu kali sana.

Alighadhibishwa na kuona nimeiunganisha historia ya TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na nimetaja mchango wa Waislam.

Majibu yake kwangu yalijaa kejeli na vitisho na mwisho akanitukana kwa kuniita, ''Mbilikimo.''

Nikawa nimefahamu kuwa kilichomghadhibisa ni ile historia ya Waislam katika siasa za Tanganyika.

Hili linawachoma watu wengi sana na limewapendeza wengi pia.

Ningeweza kutoa taarifa kwa Adm kuwa umeniita nguruwe na ukapigwa ban.
Mimi sitaki hili.

Nataka ubakie hapa usome niandikayo.

Wewe ni mbilikimo wa akili pia.
 
Mama...
Nimependezewa sana na hili tusi kuwa mimi ni nguruwe.
Kwa nini mtu anatukana?

Mtu anatukana pale anapoghadhibika na kuwa hana zaidi la kufanya kuondoa ghadhabu zake ila kutoa matusi.

Nini kilichokuudhi wewe?
Umaghadhibika kwa kuwa hutaki kusikia historia ya Waislam.

Hii si mara yangu ya kwanza kutukanwa.

Mara ya kwanza kutukanwa ilikuwa mwaka wa 1988 baada ya jarida maarufu Africa Events lililokuiwa linachapwa London kuchapa makala yangu, ''In Praise of Ancestors.''

Siku zote historia ya TANU na kudai uhuru wa Tanganyika ilikuwa inaanza na Mwalimu Nyerere.

Katika makala ile niliandika kuwa historia ya uhuru imewasahau waasisi wa TANU mfano wa Abdul Sykes na ndugu yake Ally Sykes, Saadan Abdul Kandoro, John Rupia nk.

Makala ikaeleza pia mchango wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) ulioundwa mwaka wa 1933 baada ya kuundwa kwa African Association 1929.

Dr. Mayanja Kiwanuku kutoka CCM Dodoma Idara ya Uhamasishaji Umma akajibu makala yangu kwa jibu kali sana.

Alighadhibishwa na kuona nimeiunganisha historia ya TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na nimetaja mchango wa Waislam.

Majibu yake kwangu yalijaa kejeli na vitisho na mwisho akanitukana kwa kuniita, ''Mbilikimo.''

Nikawa nimefahamu kuwa kilichomghadhibisa ni ile historia ya Waislam katika siasa za Tanganyika.

Hili linawachoma watu wengi sana na limewapendeza wengi pia.

Ningeweza kutoa taarifa kwa Adm kuwa umeniita nguruwe na ukapigwa ban.
Mimi sitaki hili.

Nataka ubakie hapa usome niandikayo.

Mzee ukweli ni kwamba udini umekujaa sana tena sana na haufai kuwa Kiongozi mkubwa utagawa Wananchi Historia ya Uhuru wa Nchi hii imechangiwa na Watu wenye dini na wasio na dini na unafahamu vyema madhara ya hiki unachokifanya kwa vizazi vijavyo na wewe pia una Watoto angalia kizazi chako usikitie najisi.yale ya Kibiti na Rufiji haukuwahi kuandikia makala na hautakaa uandike kwasababu inawatia doa baya waislamu wenzako.
Wewe haufai una udini na ukanda Sana.
 
Wewe ni mbilikimo wa akili pia.
Mama...
Nadhani hili ulilosema wewe la ''Mbilikimo wa Akili,'' ndilo alilokusudia Dr. Mayanja Kiwanuko.

Kilichofuatia ni kuwa wasomaji wangine wakaingia katika mjadala ule kumjibu wakisema CCM imeandika historia ya TANU ipo na watu wameisoma lipi baya kama Mohamed Said na yeye akatuandikia historia ya TANU tukaisoma?

Ikawa kama vile majibu waliyotoa wasomaji yameamua ugomvi.
Lakini mimi nikaona nimjibu Dr. Kiwanuka.

Nilikuwa naamini kabisa kuwa Dr. Kiwanuka hawajui wazee wangu kwa hiyo haijui historia ya TANU.

Mimi nina wajibu wakumsomesha historia hii.
Nikaandika makala, Abdulwahidi Kleist Sykes (1924 - 1968) Founder of a Political Movement.''

Humu nikaeleza ninavyomjua Abdul Sykes kama alivyostahili kuelezwa jinsi alivyohusika katika kuunda chama cha TANU kuanzia 1950 alipochukua uongozi wa TAA akiwa Secretary na Dr. Vedasto Kyaruzi President.

Vipi alikutana na Julius Nyerere mwaka wa 1952 na wakawa marafiki.
Kisa kirefu.

Dr. Kiwanuka hakunijibu.
Alibakia kimya.

Ile makala yangu ya kwanza, ''In Praise of Ancestors,'' gazeti zima lilikusanywa tetesi zinasema lilichomwa moto.

Hki ndiko kiwango cha hofu ya baadhi ya watu kuchukizwa na historia ambayo kwa hakika ni historia ya wazee wangu ikieleza historia ya kweli ya TANU na mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

1687787828377.jpeg


 
Kawele,
Katika kila msikiti lazima utakuta barza ya kahawa.
Baada ya sala watu hukaa khasa Maghrib wakisubiri sala ya Isha.

Katika barza hizi ndipo ziliposikika habari kuwa Handeni kuna operesheni Waislam wanakamatwa katika vizuizi na kushushwa kwenye mabasi.

Yakasikika maneno mengi na siku moja nikajiwa na kijana mmoja nyumbani kwangu simjui wala sijapata kumuona maishani kwangu.

Akaniambia kuwa katumwa na Waislam aje kwangu anieleze yanayotokea Handeni na mimi niandike makala dunia ifahamu.

Niliyosikia sikuwezi kuamini kama kweli ni kweli kama nilivyoelzwa.

Huyu kijana alikataa kunipa jina lake na alikataa kupigwa picha.
Mimi nikampa jina la kupanga, ''Deep Throat.''

Ingia Google mtafute Deep Throat.

NIkamfahamisha kuwa nimekusudia kwenda Handeni nikashuhudie mwenyewe.
Akanionya akasema nithithubutu kwani nitakamatwa.

Picha niliyojenga kutoka kwa Deep Throat ni kuwa Waislam wa Handeni wapo katika dhiki na madhila makubwa.

Hakika hawa ni Watanzania kama ulivyosema lakini haya yaliwatokea Waislam peke yao.

Hivi waislamu mkoani Tanga, wako Handeni tu? Na kwanini wahisiwe ni magaidi wa Handeni, na sio Lushoto au Korogwe au kwingineko? Kuna wakati inataka utulivu na hekima ya juu kuelewa jinsi watu wanavyoleka mambo na kujificha kwenye kichaka cha kuonewa dini zao
 
Mzee ukweli ni kwamba udini umekujaa sana tena sana na haufai kuwa Kiongozi mkubwa utagawa Wananchi Historia ya Uhuru wa Nchi hii imechangiwa na Watu wenye dini na wasio na dini na unafahamu vyema madhara ya hiki unachokifanya kwa vizazi vijavyo na wewe pia una Watoto angalia kizazi chako usikitie najisi.yale ya Kibiti na Rufiji haukuwahi kuandikia makala na hautakaa uandike kwasababu inawatia doa baya waislamu wenzako.
Wewe haufai una udini na ukanda Sana.
The Sup...
Katika harakati za uhuru ni kweli kila mtu aliingia.

Katika utafiti wangu hakuna popote nilipokuta Wapagani katika harakati hizi wala hakuna popote nilipokuta watumishi wa kanisa.

Huu ndiyo ukweli hakuna manufaa yoyote kutaka kupindisha historia ukawatia watu ambao hawakuwapo.

Waandishi walionitangulia kuandika historia ya TANU walijaribu kuibadili na hili ndilo limetufikisha hapa wewe leo unasoma upya historia ya TANU.

Ukitaka kusoma kuhusu ugaidi nina paper niitoa University of Ibadan nakuweka link hapo chini:

1687789090917.jpeg

 
Hivi waislamu mkoani Tanga, wako Handeni tu? Na kwanini wahisiwe ni magaidi wa Handeni, na sio Lushoto au Korogwe au kwingineko? Kuna wakati inataka utulivu na hekima ya juu kuelewa jinsi watu wanavyoleka mambo na kujificha kwenye kichaka cha kuonewa dini zao
Tanga...
Wakati mwingine napata tabu kumwelewa mtu.

Hapa sijaelewa unakusudia nini.
Una maana unaamimi kuwa kulikuwa na magaidi na silaha za kutungulia ndege?
 
Back
Top Bottom